Uchaguzi hautaingia duru la pili. Raila ameshinda mapema kabisa uchaguzi huuKwenye uchaguzi huu huko kenya mimi ninaiona sana serikali ya umoja wa kitaifa, Odinga rais, Ruto pm ninahisi uchaguzi katika duru ya kwanza hakuna atakaye pata zaidi ya 50% hivyo ngoma itaingia duru ya pili ambapo sasa hapo lolote linaweza kutokea ila ninampa bwana kitendawili nafasi zaidi
Unajadili siasa zenu alafu unatafutwa ubamizwe, si bora tujadili za waliostaarabika!.Tanzania siasa zetu zipo jela tumebaki kujadili siasa za Kenya.
Raila kamwe hatakuwa Rais iyo nakuhakikishia hata Mungu hatakubali. Ni mkabila na mwenye visasi. Ruto ndie rais ajaye wa Kenya. Ruto the 5th. God bless president Ruto we all love you.Raila the 5th
Ametoa hotuba nzuri Sana.Pongezi kwa Rais Mteule Dr. Wiliam Ruto.
Hakika Ruto anastahili kuliongoza Taifa la Kenya.
Hongera kwa wakenya wote.
sasa umejua kama siasa nazijua? au bado huamini kilicho tokea?Wapi amepewa support? Hujui siasa za Kenya.
sasa umeamini kuwa sibahatishi.Wewe hakuna kitu unaelewa na hata ushaambiwa na wenzako. Wacha sisi wakenya ndio tuzungumzie siasa za Kenya coz sisi ndio tunaielewa. Wewe unabahatisha
Umesahau Kenya wanaruhusiwa kupinga matokeo ya uchaguzi mahakamani?sasa umeamini kuwa sibahatishi.
Sasa ni Muda wa Kumpongeza Rais mteule Dr. W. Ruto Rais wa tano wa Kenya.
hata mwaka 2017 alienda kupinga ushindi wa Rais Uhuru Mahakamani.....hiyo ni haki yake lkn kwa sasa Ruto ndiye Rais mteule anasubiria kuapishwa.Umesahau Kenya wanaruhusiwa kupinga matokeo ya uchaguzi mahakamani?
2017 Raila hakushiriki uchaguzi wa marudiohata mwaka 2017 alienda kupinga ushindi wa Rais Uhuru Mahakamani.....hiyo ni haki yake lkn kwa sasa Ruto ndiye Rais mteule anasubiria kuapishwa.
Declared president-elect by a divided commission!!sasa umeamini kuwa sibahatishi.
Sasa ni Muda wa Kumpongeza Rais mteule Dr. W. Ruto Rais wa tano wa Kenya.