Kenya 2022 Ruto, W, S (PhD), the 5th

Kenya 2022 Ruto, W, S (PhD), the 5th

Kenya 2022 General Election
Piga ua Kibera tumeamua kwenda na Dr Ruto huyo nyanya akalee wajukuu


Odinga hajapangiwa na Mungu kuwa Raisi huo ndiyo ukweli. Serikali ya Tanzania inatakiwa kujirudi maana serikali ilifikiri Odinga atashinda na kumpuuza Ruto na sasa ndiyo Raisi wa Kenya. Wenzetu ni demokrasia ya ukweli ndiyo maana ilikuwa ngumu sana kusoma watu maana sisi tumezoea kuiba kura.
 
Back
Top Bottom