ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Kwenye league hatuangalii mpira mwingi... kikubwa matokeoPamoja na kupoteza kwa magoli manne kwa moja ti.u ya Jkt Ruvu wamenikosha katika umiliki mzuri,jinsi walivyoweza kutumia nafasi kati ya mtu na mtu,kuanzia langoni mwao hadi kukaribia au kuingia eneo la box ya Simba
Shida ni jinsi ya safu ya mbele inavyojipanga na namna wanavyoshirikiana katika kutafuta goli au kufunga
Ruvu itafute wachezaji watatu maahiri hapo mstari wa mbele hakika wanaweza kuwa moja ya timu bora katika ligi yetu ya Nbc.
Hongereni kwa soka zuri kama ni
Kufungwa si ajabu hata Manchester United naye kafungwa jana nne tena bila!
Kwangu mimi leo mmeonyesha Quality kuliko hata washindi.
Pamoja na kupoteza kwa magoli manne kwa moja timu ya Jkt Ruvu wamenikosha katika umiliki mzuri,jinsi walivyoweza kutumia nafasi kati ya mtu na mtu,kuanzia langoni mwao hadi kukaribia au kuingia eneo la box ya Simba
Shida ni jinsi ya safu ya mbele inavyojipanga na namna wanavyoshirikiana katika kutafuta goli au kufunga
Ruvu itafute wachezaji watatu maahiri hapo mstari wa mbele hakika wanaweza kuwa moja ya timu bora katika ligi yetu ya Nbc.
Hongereni kwa soka zuri kama ni
Kufungwa si ajabu hata Manchester United naye kafungwa jana nne tena bila!
Kwangu mimi leo mmeonyesha Quality kuliko hata washindi.
wanaweza kuwa moja ya timu bora katika ligi yetu ya Nbc.
.
tigo premierNBC wanatenda ya kudhamini hii ligi kwa miaka mingapi?
Mwaka jana ilikuwa Vodacom, mwaka kesho anaweza akawa mwingine.
Sawa mkuu ngoja tusubiritigo premier
Ukisema matokeo tu si sawa kuna kipindi tuwe ma expart tutafute kujikwamua ktk aina ya soka tulio nayo na tusonge mbele next level si kuweka mazoea...mpira wetu ubadilike na hapa swala la quality linachukua nafasi yake pakubwa sanaKwenye league hatuangalii mpira mwingi... kikubwa matokeo
Huyo huyo yeyote ajayeNBC wanatenda ya kudhamini hii ligi kwa miaka mingapi?
Mwaka jana ilikuwa Vodacom, mwaka kesho anaweza akawa mwingine.
Hiyo ni kawaida hata bar elona ilipokua kwenye chart na kina messi kila timu iliikamia na ikawa ni sifa kubwa kumfunga barcelona....sasa kwa form ya yanga sasa hivi kila timu inakamia kumfunga yanga ambaye hajapotezaTatizo wanakamia kwa Kurwa halafu wanaachia kwa DOtto
Viongozi wa Ruvu Shooting ni hopeless kabisa.Mpira ni sayansi-Waangalie Ruvu shooting namna walivyokuwa wanacheza ila miili ilikuwa imechoka sana...walitambua sana kwamba wana mechi mbili kubwa kwao Yanga na Simba kwa kufuatana na tena mechi hizi tofauti yake ni siku tatu tu....Halafu mechi ya Yanga wakaipeleka Kigoma,wakatumia energy ya kutosha kupata sare na baada ya hapo ikaanza safari ya masaa 48 kufika dar and then ucheze na Simba.....
Hasara ipo kwao ktk vita ya kushuka daraja,ile goal difference ya -11 baada ya kuongezeka goal 3
Timu ndogo waache tamaa ya pesa bila kuangalia mustakabali wa timu zao kubaki ligi kuu