ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mzee wao wa Chama baada ya kuona Chama ni Cha Wachaga(Wakristo) amebidi atoe ya moyoni, unfortunately CCM sio chama Cha kidini ndio maana amepiuzwa.
Chadema wamekuharibuWadanganyika siku mkijitambua mtaelewa lakini itakuwa too late.
Mnapambana na chama badala ya kupambania Taifa na Utaifa wenu.
Nadhani ule ujumbe wa mfia dini Amesema kisiwani wote ni wa dini fulani watawala wameambiwa wafanye hangΔ kabla mfia msalaba hajachukua nchi. Kisiwani kuna dini zote sijui nini shida na wavisiwani.
Adui wa mdanganyika ni mdanganyika mwenyeweβ¦
Sina chamaChadema wamekuharibu
Mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe.. CHADEMA watabaki wenye akili na misimano thabitiMy Take
Naunga mkono hoja.
Ukiwa na akili timamu huwezi Baki kwenye chama ambacho limejaa Wala rushwa,hakijielewi ,hakina sera,hakina dira na Wala hakijui nini itakuwa mstakabali wake
Uwepo wake unategemea ushawishi wa mtu mmja mmja na sio Imani ya wanachama ππππ
View: https://x.com/Jambotv_/status/1841421736056590433?t=YSlZY8ROP808Ql35nzwS8A&s=19
Kwenye ripoti ya CAG, wezi wapo CCMMy Take
Naunga mkono hoja.
Ukiwa na akili timamu huwezi Baki kwenye chama ambacho limejaa Wala rushwa,hakijielewi ,hakina sera,hakina dira na Wala hakijui nini itakuwa mstakabali wake
Uwepo wake unategemea ushawishi wa mtu mmja mmja na sio Imani ya wanachama ππππ
View: https://x.com/Jambotv_/status/1841421736056590433?t=YSlZY8ROP808Ql35nzwS8A&s=19
Cha ajabu mnaongoza kuwateka chadema na kuwauwa. Mbona hamjawai kuwateka na kuwauwa chauma?.Mzee wao wa Chama baada ya kuona Chama ni Cha Wachaga(Wakristo) amebidi atoe ya moyoni, unfortunately CCM sio chama Cha kidini ndio maana amepiuzwa.
Sidhani. Huyu anataka udiwani. CCM kama ilivyo CDM wana wagombea wao tayari katika nafasi hiyo.Amepita kusalimia ACT lakini kituo ni CCM kwenye hifadhi ya majangili ya mali za umma
Chauma hawajawahi wahi kutaka kuleta vurugu.Cha ajabu mnaongoza kuwateka chadema na kuwauwa. Mbona hamjawai kuwateka na kuwauwa chauma?.
MumeishiwaUkabila tu ,kamfata mruvuma mwezake