ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
- #21
Ila wanaohingwa na kununuliwa wapo wapi?Kwenye ripoti ya CAG, wezi wapo CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wanaohingwa na kununuliwa wapo wapi?Kwenye ripoti ya CAG, wezi wapo CCM
Huyo kaenda ACT na sio CCMYaani CCM ikipata mwanachama toka CHADEMA inasheherekea kama vile timu ya ndondo imemsajili Kylian Mbape.
Jinsi CCM wanavyopata wazimu wa furaha mtu akitoka CHADEMA hadi inashangaza.
Sasa ACT nao wameingia kwenye mkumbo wa CCM.
"wanaohahingwa' wapo huko huko CCM..!!Ila wanaohingwa na kununuliwa wapo wapi?
hawajambo lizaboni hapoMumeishiwa
Machadema ni kama Malaya ndio maana Huwa wanafika bei eg Msigwa, Viongozi wote wa Bavicha zamani,Wabunge nk 😁😁"wanaohahingwa' wapo huko huko CCM..!!
Utaniambia mkuu kama atafika mwaka mpya akiwa ACTSidhani. Huyu anataka udiwani. CCM kama ilivyo CDM wana wagombea wao tayari katika nafasi hiyo.
Amandla...
Mnawauwa chadema sababu ndiyo wapinzani wa kweli na hiyo ni kawaida kwa ccm tokea vyama vingi vianze. Alafu mnasumbua polisi wa watu na nyinyi ndiyo mnaowayuma kuuwa. Jinga kabisaChauma hawajawahi wahi kutaka kuleta vurugu.
. Chadema ni wahuni tuu lazima washughulikiwe,Wameshindwa siasa Sasa wanataka walete vurugu,hawatapata nafasi.
Malaya ni ccm mnanunua mabwanaMachadema ni kama Malaya ndio maana Huwa wanafika bei eg Msigwa, Viongozi wote wa Bavicha zamani,Wabunge nk 😁😁
Wahuni tuu haoMnawauwa chadema sababu ndiyo wapinzani wa kweli na hiyo ni kawaida kwa ccm tokea vyama vingi vianze. Alafu mnasumbua polisi wa watu na nyinyi ndiyo mnaowayuma kuuwa. Jinga kabisa
Sawa. Nasubiri.Utaniambia mkuu kama atafika mwaka mpya akiwa ACT
My Take
Naunga mkono hoja.
Ukiwa na akili timamu huwezi Baki kwenye chama ambacho limejaa Wala rushwa,hakijielewi ,hakina sera,hakina dira na Wala hakijui nini itakuwa mstakabali wake
Uwepo wake unategemea ushawishi wa mtu mmja mmja na sio Imani ya wanachama 😁😁👇👇
View: https://x.com/Jambotv_/status/1841421736056590433?t=YSlZY8ROP808Ql35nzwS8A&s=19
Atakuwa ameangushwa kwenye uchaguzi wa kanda huyo!Mnajitekenya halafu mnacheka wenyewe.. CHADEMA watabaki wenye akili na misimano thabiti