Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Implication ni kwamba Ester Mapunda aliliwa na wananchi wenzake kupitia mambaBaada ya tukio hilo wavuvi wa fukwe hizo kwa kushirikiana na askari wa jeshi la polisi na maliasili walifanya msako mkali katika maeneo ya ziwa hilo na kufanikiwa kumuua mamba huyo na wananchi walimfanya kitoweo.