Implication ni kwamba Ester Mapunda aliliwa na wananchi wenzake kupitia mambaBaada ya tukio hilo wavuvi wa fukwe hizo kwa kushirikiana na askari wa jeshi la polisi na maliasili walifanya msako mkali katika maeneo ya ziwa hilo na kufanikiwa kumuua mamba huyo na wananchi walimfanya kitoweo.
Nimeshangaa sana mkuu.Inahitaji moyo kula nyama ya mnyama aliyekula nyama ya binadamu mwenzio siku chache tu nyuma.
Wote wana makosa au wote hawana makosa.Mamba mla watu na watu wamemla mamba
Siyo kweli, ukila ng'ombe unakuwa hujala majani hata kama ng'ombe kala majani.Implication ni kwamba Ester Mapunda aliliwa na wananchi wenzake kupitia mamba
Ngoja siku Moja Nita testSana,
Yaan watu wamekula watu ndani ya mamba...,πMamba mla watu na watu wamemla mamba
π€£π€£π€£Unawatetea haoSiyo kweli, ukila ng'ombe unakuwa hujala majani hata kama ng'ombe kala majani.
Itakua walitupa utumbo bila kukagua vili vyomo ndaniWalivyompata na kumuuwa hawakukuta mabaki ya marehemu tumboni kweli?
Au hawakujali muhimu ilikuwa ni kumpa displini mamba kwa kumla
Unaweza kumkuta kakipande la kiungo muhimu utumboni.Inahitaji moyo kula nyama ya mnyama aliyekula nyama ya binadamu mwenzio siku chache tu nyuma.
Aliyeliwa alikuwa anaoga.Unaweza kumkuta kakipande la kiungo muhimu utumboni.
Ha ha ha kwa hiyo mamba kala mpaka mapovu.nataniaAliyeliwa alikuwa anaoga.
Njaa. Nchi hii watu wana shida sana, ndiyo maana nasema kuwa kiongozi Bongo inatakiwa uwe na roho ya ukatili. Kuna watu wanamaliza miezi na miezi bila kula nyama. siyo kwamba na vegeterian bali wameikosa.
Laini sana kama nyama ya kuku.Hivi nyama ya MAMBa ni tamu sana?
Waliowahi kuila wanasema ni tamu kama kuku, ila mi navyoona Mjusi ni mjusi tuHivi nyama ya MAMBa ni tamu sana?
Tamu sana tena iwe makange pilipili nyingi πππHivi nyama ya MAMBa ni tamu sana?