Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Wananchi mkoa wa Ruvuma wametakiwa kupuuza maneno ya baadhi ya wanasiasa wanaotumia majina ya viongozi wa juu wa Chama cha Mapinduzi, kuwarubuni na kuwaambia kuwa wametumwa kuja kugombea nafasi za ubunge na udiwani badala yae wasubiri wakati wa kampeni kuchagua watu sahihi.
Soma Pia: Ruvuma: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Soma Pia: Ruvuma: Matukio Yanayojiri Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025