Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
Unamjuaje mshirikina?Afrika haiendelei sababu ya[emoji116]
Wivu
Unafiki
Imani za kishenzi
Ushirikina
Acha wamzike tu kama kweli huyo mzee alikuwa mshirikina alitakiwa kufukiwa shimo kimo cha kisima ama atupwe kwenye mto wenye mamba afie huko, sio ajabu hawa washirikina ni waaribifu sana wa maisha ya watu, serikali ingekuwa inaamini hizi mambo basi ingefungua mahabusu kwaajili ya hawa walozi
Watakuelewa wachache mkuu.Aaaagh, kwahiyo walimfunga kamba au, mi nasemaga, imani ndio ugonjwa mbaya kabisa wa akili kuwahi kuikumba hii dunia. Ni lini mtaanza kunielewa?! Si Uislam , si Ukrosto, si takataka nyingine yeyote, ni mental illness hiyo
Haupo sahihi ktk kufikiri kwako sababu hakuna imaninya dini inayoruhusu hayo.Hao waliofanya hivyo hawana imani ya kweliWatakuelewa wachache mkuu.
Kuna watu wamekuwa watumwa kwa imani za kipumbavu wanashindwa kuchanganua mambo huku wamepewa kichwa naakili
Hakuna imani ya dini inaruhusu hayo kufanyika.Waliofanya hayo hawana imani ya kweli .Imani zinahimiza msamaha na kuwaonya na kuwaombea watu tukiwarekebisha kwa upendoAaaagh, kwahiyo walimfunga kamba au, mi nasemaga, imani ndio ugonjwa mbaya kabisa wa akili kuwahi kuikumba hii dunia. Ni lini mtaanza kunielewa?! Si Uislam , si Ukrosto, si takataka nyingine yeyote, ni mental illness hiyo
Nilimaanisha imani za kwetu hiziHaupo sahihi ktk kufikiri kwako sababu hakuna imaninya dini inayoruhusu hayo.Hao waliofanya hivyo hawana imani ya kweli
Malawi wana mahakama za wachawi. Wanawajuaje?Unamjuaje mshirikina?
Kuamini ushirikina pia ni tatizoAfrika haiendelei sababu ya[emoji116]
Wivu
Unafiki
Imani za kishenzi
Ushirikina
Acha wamzike tu kama kweli huyo mzee alikuwa mshirikina alitakiwa kufukiwa shimo kimo cha kisima ama atupwe kwenye mto wenye mamba afie huko, sio ajabu hawa washirikina ni waaribifu sana wa maisha ya watu, serikali ingekuwa inaamini hizi mambo basi ingefungua mahabusu kwaajili ya hawa walozi