Ruvuma: Watu 9 wafariki baada ya Gari yao kusombwa na Maji

Daah! Msiba mzito huu Poleni sana Wafiwa.
 
Watu wazima 11 wamekaa tu dereva anaingiza gari kwny maji hakuna hata mmoja mwnye akili na kila siku wanasikia hzi mambo WTF
 
Duh watu hawajufunzi. Matukio haya yanajirudia sana.
 
Basi utasikia ahadi yao ilishafika. Tuna shida sana kwenye tafakuri tunduizi.
 
Usajili tu huu wa T795 BIS ni tatizo Sijawahi ona number plate ya kibongo Ina HERUFI "I" [emoji15] anyway poleni sana wafiwa
 
Basi utasikia ahadi yao ilishafika. Tuna shida sana kwenye tafakuri tunduizi.
Hatujafundishwa kutafakari, bongo zetu zinaishia kiwango cha kuwaza tu. Ndio maana tulikuwa tunasema zidumu fikra za Mwenyekiti. Yaani kwamba mwenye fikra (anayefanya tafakari) ni Mwenyekiti peke yake, wengine wanawaza tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…