Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
Karibu jamvini na asante kwa mawazo constructive.Hodi hodi wana bodi! Naomba mnipokee ndiyo mara yangu ya kwanza nachangia.
Ibra Mo, pamoja na yote ulioyasema ambayo na mazuri ya kufanyiwa kazi na Chadema, pia waanze kuanzia sasa kuwa na orodha yote ya vituo vilivyopigia kura mwaka huu ili iwasadie kuwa na idadi ya mawakala wa 2015 watayarishe bajeti kuanzia sasa. Itakpofika hiyo 2015 watakuwa wamejiweka mahali pazuri kwa kushindana bila ya kuwa na wasiwasi wa fedha ya kuwalipa wakala.Mimi naliona hili lilkuwa ni tatizo kwa vyama vingi VYA UPINZANI. Haya ni maoni yangu.