Rwanda husifiwa kuwa mji mzuri hapo Kigali ila hii sehemu hata siku moja hawatangazi

Rwanda husifiwa kuwa mji mzuri hapo Kigali ila hii sehemu hata siku moja hawatangazi

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Kwa mtu ambaye Rwanda hujafika na jinsi inavyotangazwa unaweza kusema haina kasoro.

Kila sehemu duniani kuna kasoro mfano Nairobi-Kibera, Dar-Mwananyamala na n.k

Sasa huko Rwanda Kigali

IMG_8076.jpg
 
Kwanini wanaificha? Halafu wanaifichaje? Kwamfano wakiniona naelekea sehemu hiyo huwa wanafanyaje kuificha? Wanaihamisha au wanaweka giza nakuwa sioni kitu?
 
Au ni Kigogo -Dar ya kigali ?
 


Umetupasha Habari

Rwanda Mjitafakari Haraka
 
Picha ya muda kidogo alafu ukifika hayo maeneo ni pasafi na nyumba zina unafuu
 
Asante kwa taarifa..ila rwanda ni kusafi..huwezi linganisha na hizo slumz za dsm..dsm ni moja ya majiji machafu sana ea.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hakuna sehemu ambayo hakuna masikini, hasa Afrika na Asia au Amerika ya kusini. Masikini kama matajiri wako kila sehemu duniani.

Tofauti iko je makazi ya masikini ni mchafu, wana maji, huduma za afya kama vyoo na zahanti (kuepuka magonjwa ya milipuko) na usalama.

Makazi hayo ya Rwanda hata ukiyalinganisha na mengine ya namna hiyo, yatakuwa na nafuu na ndio maana hayasikiki kama unavotaka kuaminisha wana jamvi!
 
Back
Top Bottom