Rwanda inatuingilia katika mambo yetu ya ndani sasa.

Rwanda inatuingilia katika mambo yetu ya ndani sasa.

Ni sawaa,lakini japo elimu ya Tanzania iko kwenye hali mbaya,elimu ya Rwanda ni mbayarest.Kwa wenzangu tuliowahi kufika Rwanda mtakubaliana na mimi kuwa Four ya Tz ni two ya Rwanda.Anyway,ni ushauri mzuri.
 
huyu mwandishi ni mganda si mnyarwanda na ni mawazo yake. aliyeanzisha uzi huu ni zuzu na nadhani ametegeshea kuona thinking ability ya commentators
Hawa mavuvuzela wa Kagame wanasahau kua RPF ilipoingia madarakani, watutsi wengi waliokua Tz ktk nafasi mbalimbali waliosomeshwa kwa kodi na nguvu zetu waTz, walirejea Rwanda na kushika nafasi mbalimbali, leo hii wanakaa kitako na kuandika upuzi kama huu kwa kusudi ili kulitusi taifa letu tukufu. Kweli wema mtendee mbuzi utakula nyama yake, lakini sio watutsi/
 
achana na machangudoa wa siasa na uchumi

ssenyonga ni mganda, ana shida kweli, na ndugu zake wengi tu wanahangaika angeanza nao... wapo wengine marekani wanachapa lapa kila kona bila kitu... anyway waganda na warwanda siku zote wanatuangalia sisi kama low class wakati tunapeta

karata ya genocide inakaribia kuexpaya sasa wako bize kutafuta mapya
 
Dear Tanzania, yes this situation can be fixed

1373762282ssenyonga.jpg
Allan Brian Ssenyonga

It is the dry season in Kigali and the grass is really brown where it is and dust reigns where it isn't. As if that is not bad enough a bad cold choose to visit me and kept me at home for a while as I struggled to stay hydrated.

Of course my editor takes no prisoners so I had to drag myself out of bed and heed his calls to submit my article. I almost forgot what I had set out to write when that phenomenal girl, Malala Yousafzai who was shot in the head by the Taliban, appeared on Al Jazeera giving a live address to UN delegates. Resilience is her other name for sure.
Better news came in a day earlier when it was finally confirmed that Kenyan footballer, Victor Wanyama has finally joined an English Premier League club, Southampton. Wanyama became the talk of town when he scored against Barcelona in a Champions League game.

Of course Kenyans cannot brag to be the only ones with a premiership player since there is a Burundian turning out for Newcastle United in the form of Gael Bigirimana. And not to be left out, Rwandans also have a representative in the form of Alfred Martin Mugabo, who turns out for Arsenal FC's reserve team.

Away from the premier league, Ugandans also received good news with former Uganda Cranes captain, Ibrahim Sekagya making the switch from Austria's Red Bull Salzburg to its American sister club, New York Red Bulls. After captaining the Austrian side to a league double, Sekagya will now have the pleasure of playing in the same team with Arsenal legend, Thierry Henry in the US Major League Soccer.

At this point you may want to ask me about football in Tanzania and I could point to the game between Tanzania's Taifa Stars and Uganda Cranes. However there is something about Tanzania that had me thinking a lot in the recent days. It concerns the country's education sector.

Tanzania's media reported that over 10,000 places in A Level are likely to remain vacant as a result of the massive failures recorded in last year's O Level national exams. Tanzania can no longer pretend that there is no problem affecting its education system. The major contention has been with the language of instruction.

Tanzanians use Swahili as the language of instruction throughout primary and by the time they get to secondary many are more comfortable with the language that has unified them than English the world's true global language.

There surely is a problem of English language teaching in Tanzania and since form four exams are written in English it is clear that many students will have trouble understanding the questions before them. Therefore students need to have very good teachers of English and more emphasis placed on the subject.

We all know that in an African Ujamaa setting (if I can borrow Mwalimu Nyerere's teachings) if a homestead lacks something then one should not feel shy to ask the neighbour for help. In the 70s the gallant soldiers of the Tanzania People's Defence Forces joined hands with other Ugandans to ‘help' Uganda in getting rid of Idi Amin Dada.
Even as nelson Mandela lies in hospital, I am sure he remembers that when the going was tough, Tanzania offered the ANC military wing a home to train from in preparation to fight for the apartheid government back home.

I therefore believe that just like Uganda and South Africa knocked on Tanzania's door for help, Tanzania can also seek help from its neighbours to address this small issue affecting its education sector.
Yes Tanzania can hire teachers from Uganda and Kenya for example to teach English in their schools. And by the way this would even be a good time since teachers in Uganda and Kenya are asking for pay rises that their respective governments seem unwilling to offer.

This solution is not even unique in the region. When Rwanda switched from French to English several Kenyan and Ugandan teachers were hired to address the gap that had been created by the switch.
Actually to keep its pride, Tanzania can simply go for an exchange programme where it supplies its Swahili teachers to Uganda in exchange for English language teachers.

That way at the end of the day we have Ugandans speaking better Swahili while Tanzanians will; speak better Swahili. I know I may get a bashing from Tanzanians but I will just be listening to the classic song by The Temptations, "Aint Too Proud To Beg."

Blog: Allan's Wordy World | The wordification of my mind
Twitter: @ssojo81

Contact email: ssenyonga[at]gmail.com

http://www.newtimes.co.rw/news/index.php?i=15418&a=13900

bryan alitakiwa atoe boriti kwenye jicho lake

ni mganda anayetawaliwa kisultani na museven, na kwa kukosa identity anadhani wanyankole ni warwanda

we really ahve to give them some education
 
ametoa ushauri mzuri kwa kweli na sioni tatizo hapo

bahati nzuri kazi zangu nimefanya na kenya, rwanda, burundi na tanzania for 8 years.,... hawana chochote cha kumshauri mtanzania kwa lolote lile

labda usultani na ujing wa kujisifu... in 1999 tulipata spenosr ya kwenda kusoma shahada za uzamili UK, na waganda na warwanda walibali kuosha vyombo na kukamua ngombe, sisi tulirudi, wakenya walibaki kupractice, ila waganda na warwanda wanakamua ngombe hadi leo

they ahve nothing to tell anyone, Kampala and Kigali are a good examples to see it
 
huyu mwandishi ni mganda si mnyarwanda na ni mawazo yake. aliyeanzisha uzi huu ni zuzu na nadhani ametegeshea kuona thinking ability ya commentators
of koz I noticed that. naona waganda & watutsi wameunga tela la wakenya kujiona wako matawi sana, mtu asiewajua ndio atawatetemekea/
 
Huyu hajui alisemalo! Anafikiri Tanzania ilipokubali uwekezaji wa sekta binafsi kwenye elimu (English medium primary schools) ilikua inabahatisha? Hapa nae anafikiri ametoa ushauri mpya wakati ameongea vitu ambavyo tayari tunafanyia kazi. Hivi anajua kwamba hao anaosema tuombe waje kufundisha Tanzania, tayari wapo kibao kwenye shule zetu za chekekea? (Maana wanachojua ni kiingereza tu). Huyu Alan ni Mganda, je ana habari kwamba Museveni amesoma Tanzania kuanzia primary mpaka Chuo kikuu? Anajua maelfu ya wanyarwanda wanaosoma vyuo vikuu vya Tanzania? Anahabari kwamba baada ya Kagame kuingia madarakani alikuja Tanzania kuomba wasomi wa kuendesha taasisi za Rwanda?

Kwenye kiingereza tulishawakaribisha zamani na wapo, ila kwa vile hawajui kitu zaidi ya kiingereza, tumeamua kwenda Jamaica kukopa wataalam wa kufundisha Hesabu! Fani nyingine hatuna tatizo, tunajitosheleza mpaka tunaweza kusaidia wengine.

Karibu Tanzania Allan, tunatoa elimu ya hali ya juu ya uandishi wa habari.
 
of koz I noticed that. naona waganda & watutsi wameunga tela la wakenya kujiona wako matawi sana, mtu asiewajua ndio atawatetemekea/

Hawatuwezi, tuko juu sana kwenye kila secta. Tumewafundishia viongozi na tunaendelea kuwafundisha utawala bora. Tena Waganda na wanyarwanda ndio kabisa wasiseme maana sisi ndio tunawafanya wawe na jeuri. Tunao hata uwezo wa kuwawekea vikwazo vya kiuchumi wakalia kilio cha kusaga meno. Wakaulize Burundi yalishawakuta kipindi cha mwisho mwisho cha Rais Buyoya.
 
Watanzania lazima wawe makini sana na hawa Wanyarwanda.
Sioni sababu ya kushabikia kila kitu wanachokitupa mtandaoni.

Suala kama la elimu haliwahusu wao kulizungumzia.
Wanatakiwa waongelee Utusi unavyowamaliza wahutu kwasababu hilo ni tatizo lao.

Kagame amekiri kuwa hataki vikosi vya SADC kule Congo ili aendelee kufanya mauaji na uhuni.
Mkumbuke kuwa Kagame amezaliwa kati kati ya milio ya risasi na hivyo harufu ya damu ya mwanadamu kwakwe ni kama chocolate au Coffee.

Anachokifanya hapa ni kutafuta kitu cha kuwachonganisha Watanzania ili waondoe focus katika DRC na yeye aweze kuendeleza utusi na umumiyani.

Narudia, Kagame hakuzaliwa hospitali amezaliwa kati kati ya risasi hivyo sauti anayoijua zaidi ni risasi na harufu anayoijua ni damu.

Watanzani mkianza ku-entertain hoja za hawa watu ,watatafuta kitu ambacho kinaweza kuwachonganisha watanzania wenyewe. Wanachotaka ni kuhakikisha kuwa Tanzania inakuwa katika vurugu kama za DRC ili Kagame aendeleze kiu yake ya mauaji dhidi ya Wahutu.

Jihadharini sana na habari kutoka Rwanda. Elimu si tatizo lao, na kama ni ushauri mbona wao hawataki kusikia ushauri wa kuzngumza na FDL. Mnyarwanda hawezi kushauri kuhusu elimu wakati ambapo hataki kushauriwa kuhusu amani.

Soma hapa chini uone Kagame anavyohangaika hovyo! na bado SADC itakamlia koo ataachia tu.
http://www.dailynews.co.tz/index.ph...asks-us-for-inclusion-in-dr-congo-peace-talks

cc JokaKuu Jasusi EMT
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: EMT
Watanzania lazima wawe makini sana na hawa Wanyarwanda.
Sioni sababu ya kushabikia kila kitu wanachokitupa mtandaoni.

Suala kama la elimu haliwahusu wao kulizungumzia.
Wanatakiwa waongelee Utusi unavyowamaliza wahutu kwasababu hilo ni tatizo lao.

Kagame amekiri kuwa hataki vikosi vya SADC kule Congo ili aendelee kufanya mauaji na uhuni.
Mkumbuke kuwa Kagame amezaliwa kati kati ya milio ya risasi na hivyo harufu ya damu ya mwanadamu kwakwe ni kama chocolate au Coffee.

Anachokifanya hapa ni kutafuta kitu cha kuwachonganisha Watanzania ili waondoe focus katika DRC na yeye aweze kuendeleza utusi na umumiyani.

Narudia, Kagame hakuzaliwa hospitali amezaliwa kati kati ya risasi hivyo sauti anayoijua zaidi ni risasi na harufu anayoijua ni damu.

Watanzani mkianza ku-entertain hoja za hawa watu ,watatafuta kitu ambacho kinaweza kuwachonganisha watanzania wenyewe. Wanachotaka ni kuhakikisha kuwa Tanzania inakuwa katika vurugu kama za DRC ili Kagame aendeleze kiu yake ya mauaji dhidi ya Wahutu.

Jihadharini sana na habari kutoka Rwanda. Elimu si tatizo lao, na kama ni ushauri mbona wao hawataki kusikia ushauri wa kuzngumza na FDL. Mnyarwanda hawezi kushauri kuhusu elimu wakati ambapo hataki kushauriwa kuhusu amani.

Soma hapa chini uone Kagame anavyohangaika hovyo! na bado SADC itakamlia koo ataachia tu.
http://www.dailynews.co.tz/index.ph...asks-us-for-inclusion-in-dr-congo-peace-talks

cc JokaKuu Jasusi EMT

Nguruvi3,
I may not agree with you entirely on Kagame, and I also think Kagame has a right to meet with Secretary of State John Kerry without the presence of SADEC. I do not know who has called for this meeting on Congo but I believe Kagame has issues he would like to discuss with the US Secretary of State. Kerry can then call a meeting on Congo involving all parties but I believe Kagame has a right to meet the US on his own.
 
Hawatuwezi, tuko juu sana kwenye kila secta. Tumewafundishia viongozi na tunaendelea kuwafundisha utawala bora. Tena Waganda na wanyarwanda ndio kabisa wasiseme maana sisi ndio tunawafanya wawe na jeuri. Tunao hata uwezo wa kuwawekea vikwazo vya kiuchumi wakalia kilio cha kusaga meno. Wakaulize Burundi yalishawakuta kipindi cha mwisho mwisho cha Rais Buyoya.
Tutafika,
Kama tumewafundisha Waganda na Wanyarwanda utawala bora, mbona kwetu umetushinda? Mwigulu anajua utawala bora ni nini?
 
CCM wanashughulika na namna ya kuvunja nguvu za CDM, na si kuongeza kiwango cha elimu Tanzania.
Kwao CCM ubora wa Elimu ni swala la mzazi.
Ujanja wote hapa dunia upo katika lugha ya kiingereza, kiingereza ni ugha ama lugha nyingine lakini ni lazima tukubali kwamba ndiyo lugha ambayo tukiimudu tunaweza kumudu mikiki mikiki ya Technolojia.
Soution ya muda mrefu ni kuimarisha lugha ya kiswahili kwa kukopa maneno ya kilatini na kiarabu na kutafsiri vitabu vingi iwezekanavyo vya ujanja wote duniani na kufundisha kwa kutumia kiswahili. Hii ni kazi nzito sana na itakayochukua miaka zaidi ya 20 kama tutaunda timu ya watu makini na wenye nia safi.Wenzetu Wachina kwao wanasoma kichina na bado wameweza kuakata mbuga. Lugha ya kichina ni very rich in vocaburary hata kuliko kiingereza.
Vinginevyo tutaendeleaa kuula wa chuya huku Mahabithi ndani ya serikali ya CCM wakiendelea kuelimisha watoto wao nje ya nchi kwa kodi zetu.

Potelea mbali,Nitaendeea kuosha vyombo kwa wazungu kwa miaka mingine 15 mpaka vijana wangu wote wamalize vyuo hapa US.

Uzuri ni kwamba naenda kuosha vyombo kwa mzungu huku naendesha Audi kali sana ya Royal Blue
 
Tutafika,
Kama tumewafundisha Waganda na Wanyarwanda utawala bora, mbona kwetu umetushinda? Mwigulu anajua utawala bora ni nini?

Mwigulu ni mpigadebe wa chama kama alivyo Mtatiro wa CUF na wengine wa CDM. Sio watawala hawa!
 
CCM wanashughulika na namna ya kuvunja nguvu za CDM, na si kuongeza kiwango cha elimu Tanzania.
Kwao CCM ubora wa Elimu ni swala la mzazi.
Ujanja wote hapa dunia upo katika lugha ya kiingereza, kiingereza ni ugha ama lugha nyingine lakini ni lazima tukubali kwamba ndiyo lugha ambayo tukiimudu tunaweza kumudu mikiki mikiki ya Technolojia.
Soution ya muda mrefu ni kuimarisha lugha ya kiswahili kwa kukopa maneno ya kilatini na kiarabu na kutafsiri vitabu vingi iwezekanavyo vya ujanja wote duniani na kufundisha kwa kutumia kiswahili. Hii ni kazi nzito sana na itakayochukua miaka zaidi ya 20 kama tutaunda timu ya watu makini na wenye nia safi.Wenzetu Wachina kwao wanasoma kichina na bado wameweza kuakata mbuga. Lugha ya kichina ni very rich in vocaburary hata kuliko kiingereza.
Vinginevyo tutaendeleaa kuula wa chuya huku Mahabithi ndani ya serikali ya CCM wakiendelea kuelimisha watoto wao nje ya nchi kwa kodi zetu.

Potelea mbali,Nitaendeea kuosha vyombo kwa wazungu kwa miaka mingine 15 mpaka vijana wangu wote wamalize vyuo hapa US.

Uzuri ni kwamba naenda kuosha vyombo kwa mzungu huku naendesha Audi kali sana ya Royal Blue

Tanzania inakoelekea ni kufundisha shule za msingi kwa lugha ya kiingereza, ndio maana shule za english medium zinafanya kazi kubwa sana. Hiki sio kitu cha kubadilika ghafla, kinahitaji maandalizi ya kutosha. Kumbuka kwa sasa waalimu wa shule za msingi ni lazima wawe walifaulu form 4, na wale wa UPE wanajiendeleza kwa lazima. Hili linafanyika ili mfumo utakapobadilika basi iwe rahisi kwa waalimu kubadilika pia (Namaanisha itahitaji nguvu ndogo kuwapiga msasa wa lugha waalimu ili wapige kazi kama kawaida). Tuko strategic
 
Ukweli 100%
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1373855170897.jpg
    uploadfromtaptalk1373855170897.jpg
    12.8 KB · Views: 34
Nguruvi3,
I may not agree with you entirely on Kagame, and I also think Kagame has a right to meet with Secretary of State John Kerry without the presence of SADEC. I do not know who has called for this meeting on Congo but I believe Kagame has issues he would like to discuss with the US Secretary of State. Kerry can then call a meeting on Congo involving all parties but I believe Kagame has a right to meet the US on his own.
Yes Jasusi, he has the right, I agree with you but we should not ignore the fact that SADC members have troops in DRC fighting against Kagame's force.
Side lining the stake holder in the meeting is to allow Kagame to disgorge his hatred ideology and perhaps confuse the world.

If Kagame is for permanent solution he should not hesitate if not fear to cooperate with other stakeholder the likes of SADC for solution.

It's the same Kagame who assisted Ntaganda for years just arrested him under duress in Nairobi
If Kofi Annan and Mkapa would have opted Kagame out of the meeting then Ntaganda would have not been arrested.
This underscore the importance of involving everyone when seeking the solution.
 
Mwigulu ni mpigadebe wa chama kama alivyo Mtatiro wa CUF na wengine wa CDM. Sio watawala hawa!
But he is a product of a system we have created. Hujasikia Mwenyekiti wake akimsifia?
 
acha jazba za jinsi hii mkuu.hii inaonesha baadhi ya watanzania wenzangu mmepigwa" mimba ya uchungu"kutokana na sumu ya ujinga na umaskini na kukosa kabisa hisia za ubinadamu kwa kuendekeza chuki za wazi za ukabila hata kushindwa kutafakari kidogo tu kile anachosema umdhaniaye kuwa adui yako.hakuna sababu ya msingi ya kuwaadhibu unaowaita watusi kwa kauli zenye ghadhabu jinsi hii!binadamu wote ni sawa na afrika ni moja

sent from my blackberry 9220 using jamiiforums

kilichosemwa siuoni ubaya wake elimu yetu ni kweli ina madhaifu makubwa katika miaka ya 6o-80 ilikuwa safi\kuanzia 80 to date wapi tuliteleza?
 
Back
Top Bottom