Rwanda kuanza kutumia nguruwe kama mlo mashuleni

Rwanda kuanza kutumia nguruwe kama mlo mashuleni

Hiyo ni kwa sjili yrnu mnayoionsnhakisi, kwa Waislam inabaki kuwa siyo halisi.


Qur'an ipo wazi kabisa, kula nguruwe ni haramu. Hili sidhani kama kuna ambae halijuwi Tanzania hii, awe asiwe Muislam.
Umepewa hadithi je umeisoma. Umepewa sura ya Mwanzo je umeisoma? Acha kukaririshwa soma mwenyewe uelewe.
 
La haraka haraka kichwani ni "swine flu" Elewa kuwa siku hizi dunia kiganjani, unaweza kumtumia chatgpt:

Swine can carry a variety of diseases that can be transmitted to humans. Some of the diseases associated with swine include ringworm, erysipelas, leptospirosis, streptococcosis, campylobacterosis, salmonellosis, cryptosporidiosis, giardiasis, balantidiasis, infection with pathogenic E. coli, and brucellosis¹.
Hata maharage ukila kwa kuzidisha maradhi utayapata.
Vile vile ngamia pamoja na samaki Kambale
...........
 
Huwa watu wanaonyesha jamii ya Israel/Jews ni watu wenye akili mno lkn kwao Nguruwe ni katazo kubwa ni ‘forbidden’ kabisa sasa sijajua nguruwe na akili vina uhusiano upi?
Israel [emoji1134] wengi wanatumia Nguruwe, wasiotumia ni wafuasi wa dini ya kiyahudi tu mkuu wangu
 
Siyo kila kila maagizo waliyopewa walawi kwamba ni amri kwa wanadamu wote la khasha bali makatazo na maagizo mengine yalikuwa yanatolewa kwa sababu maalum na jambo maalum. Yako mambo mengi Sana walawi/Wana wa israeli walipewa kwa sababu za kutumiza mahitaji maalum ya Mungu na namna nyinginezo na hayakuhesabiwa kama Amri za Mungu wala makatazo kwa watu wote.

Hapo mwanzo Mungu aliumba mimea yote na wanyama wote kuwa ni chakula cha wanadamu na amesema hivyo. Kwa hiyo uamuzi wa kula au kutokula ni wa mwanadamu. Soma Mwanzo 1: 26-31.
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
View attachment 2639065

Mipango inaendelea kuwezesha shule kujumuisha nyama ya nguruwe katika ratiba ya chakula nchini Rwanda kama njia ya kutokomeza utapiamlo, Olivier Kamana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Rasilimali Wanyama amenukuliwa na gazeti la New Time nchini humo akisema.

"Tunaziomba shule kuanzisha miradi ya ufugaji wa nguruwe ili kuweza kumudu nyama ya nguruwe," alisema.

Mnamo mwaka wa 2019, mpango wa lishe shuleni ulitekelezwa katika shule za sekondari (zinazosaidiwa na serikali na za serikali) huku wanafunzi 680,000 wakipokea ruzuku ya Serikali ya chakula cha shule.

Takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa shule za msingi na sekondari ziliongezeka kutoka 2,877 mwaka 2017 hadi 2,963.

Mnamo 2021, Rwanda ilizalisha tani 185,989 za nyama. Idadi ya nguruwe imeongezeka kutoka 989,000 mnamo 2012 hadi takriban milioni 1.5 mnamo 2021.

Nchi hiyo iilizalisha wastani wa tani 23,000 za nyama ya nguruwe kwa katika mwaka 2019 na inalenga kuongeza uzalishaji wa nyama hiyo hadi kufikia tani 68,000 ifikapo 2024.

“Tunashughulikia mpango wa kutumia vyanzo mbadala vya protini kulisha mifugo badala ya mahindi. Hii itasaidia kuongeza idadi ya wafugaji wa nguruwe na uzalishaji wa nguruwe,” Kamana alisema.

---

NB. Afya haina dini
Rwanda mna akili nyingi sana!
 
Ukiona mtawala anaanza kuwalazimisha watu kwenda kinyume na dini zao elewa kuwa siku zake zinahesabika.
Mkuu aliyeleta uzi alikuwekea mtego anafahamu kwa vyovyote ungefika kwa Kasi ya 5G🤔
 
Ukiona mtawala anaanza kuwalazimisha watu kwenda kinyume na dini zao elewa kuwa siku zake zinahesabika.
AAAAAAA Nimefurahia kukuona baada ya siku tele. Najua umenisahau ila mimi sijakusahau. Kilichofanya nisikusahau ni tabia yako ya kunibishia. Niliwahi kukuambia kuwa bei ya umeme haitashuka. Ulinibishia sana tena ukaniona ni msaliti nisiyewatakia mema viongozi wa wakati ule. Nikashikilia msimamo wangu kuwa bei haitashuka. Ukaendelea kubisha, nikakupatia hadi mfano hai wa mradi wa Songas, kuwa tuliahidiwa umeme bei yake itashuka.
 
AAAAAAA Nimefurahia kukuona baada ya siku tele. Najua umenisahau ila mimi sijakusahau. Kilichofanya nisikusahau ni tabia yako ya kunibishia. Niliwahi kukuambia kuwa bei ya umeme haitashuka. Ulinibishia sana tena ukaniona ni msaliti nisiyewatakia mema viongozi wa wakati ule. Nikashikilia msimamo wangu kuwa bei haitashuka. Ukaendelea kubisha, nikakupatia hadi mfano hai wa mradi wa Songas, kuwa tuliahidiwa umeme bei yake itashuka.
Unafikiri bei inashuka kwa kufumba na kufumbuwa? itashuka tu, ngoja kwanza tujitisheleze kuzalisha na kuusambaza umeme.

Usimsikilize Maharage, kachacha huyo na hayo ni mawazo yake tu.
 
View attachment 2639065

Mipango inaendelea kuwezesha shule kujumuisha nyama ya nguruwe katika ratiba ya chakula nchini Rwanda kama njia ya kutokomeza utapiamlo, Olivier Kamana, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Rasilimali Wanyama amenukuliwa na gazeti la New Time nchini humo akisema.

"Tunaziomba shule kuanzisha miradi ya ufugaji wa nguruwe ili kuweza kumudu nyama ya nguruwe," alisema.

Mnamo mwaka wa 2019, mpango wa lishe shuleni ulitekelezwa katika shule za sekondari (zinazosaidiwa na serikali na za serikali) huku wanafunzi 680,000 wakipokea ruzuku ya Serikali ya chakula cha shule.

Takwimu za hivi karibuni zinaonesha kuwa shule za msingi na sekondari ziliongezeka kutoka 2,877 mwaka 2017 hadi 2,963.

Mnamo 2021, Rwanda ilizalisha tani 185,989 za nyama. Idadi ya nguruwe imeongezeka kutoka 989,000 mnamo 2012 hadi takriban milioni 1.5 mnamo 2021.

Nchi hiyo iilizalisha wastani wa tani 23,000 za nyama ya nguruwe kwa katika mwaka 2019 na inalenga kuongeza uzalishaji wa nyama hiyo hadi kufikia tani 68,000 ifikapo 2024.

“Tunashughulikia mpango wa kutumia vyanzo mbadala vya protini kulisha mifugo badala ya mahindi. Hii itasaidia kuongeza idadi ya wafugaji wa nguruwe na uzalishaji wa nguruwe,” Kamana alisema.

---

NB. Afya haina dini
Nyingi ya habari za Rwanda ni uzushi , kuna uzushi ulienea eti kila mtoto wa shule ya msingi Rwanda anayo Laptop hii sio kweli kwa sisi tulioishi Rwanda hali harisi twaijua kuna watoto hata viatu kwa maana ya yebox2 hawana sembuse laptops , Maisha yao ghari sana fikiri ukikutana na demu show ya one time tu anakupiga faranga 50,000 sawa na laki na ushee ya bongo wakati bongoland show ya one time dada zetu hawana shobo hadi 30thou tunamalizana ila sio Rwanda na ukiwa na laki ukiingia kwenye matumizi ni sawa na hakuna kichekesho wale mademu tunaoringishiwaga watsap ukienda ni wakutafuta kwa tochi bongo bado tumejariwa warembo kila kona anzia singida shuka manyara njoo kati panda dar nenda kusini ni PC za ukweli Rwanda zile PC ndefu ni za kuhesabu tu kinachoongelewa kuhusu Rwanda na ukienda utakikuta ni usafi wako vizuri na wako serious katika mambo mengi tu mengine njoo Rwanda tulipo hapa ndio tunajua ukweli leo wanyarwanda wanaona bongo ndio kimbilio kule maisha magumu balaa hiyo nyama ya kuwalisha wanafinzi daily itoke wapi ???
 
Nyingi ya habari za Rwanda ni uzushi , kuna uzushi ulienea eti kila mtoto wa shule ya msingi Rwanda anayo Laptop hii sio kweli kwa sisi tulioishi Rwanda hali harisi twaijua kuna watoto hata viatu kwa maana ya yebox2 hawana sembuse laptops , Maisha yao ghari sana fikiri ukikutana na demu show ya one time tu anakupiga faranga 50,000 sawa na laki na ushee ya bongo wakati bongoland show ya one time dada zetu hawana shobo hadi 30thou tunamalizana ila sio Rwanda na ukiwa na laki ukiingia kwenye matumizi ni sawa na hakuna kichekesho wale mademu tunaoringishiwaga watsap ukienda ni wakutafuta kwa tochi bongo bado tumejariwa warembo kila kona anzia singida shuka manyara njoo kati panda dar nenda kusini ni PC za ukweli Rwanda zile PC ndefu ni za kuhesabu tu kinachoongelewa kuhusu Rwanda na ukienda utakikuta ni usafi wako vizuri na wako serious katika mambo mengi tu mengine njoo Rwanda tulipo hapa ndio tunajua ukweli leo wanyarwanda wanaona bongo ndio kimbilio kule maisha magumu balaa hiyo nyama ya kuwalisha wanafinzi daily itoke wapi ???

Kuhusu pisi za kinyarwanda kiukweli kuna propaganda nyingi sana.
 
Hiyo ni kwa sjili yrnu mnayoionsnhakisi, kwa Waislam inabaki kuwa siyo halisi.


Qur'an ipo wazi kabisa, kula nguruwe ni haramu. Hili sidhani kama kuna ambae halijuwi Tanzania hii, awe asiwe Muislam.
na ngamia je?
 
Mungu ni wa ajabu kweli. Yaan nguruwe pamoja na kuchukiwa na watu flan leo wanasayansi wamegundua moyo wake unaweza kuwekewa na ukaendelea kuishi. Kitimoto ni kama maji usipoyanywa utayaogea tu.
 
Ukiona mtawala anaanza kuwalazimisha watu kwenda kinyume na dini zao elewa kuwa siku zake zinahesabika.
Ukiona mtawala anaanza kuuza raslimali za nchi kwa wageni ambspo ni kinyume na matakwa ya Wananchi wake elewa siku zake zinahesabika.
 
La haraka haraka kichwani ni "swine flu" Elewa kuwa siku hizi dunia kiganjani, unaweza kumtumia chatgpt:

Swine can carry a variety of diseases that can be transmitted to humans. Some of the diseases associated with swine include ringworm, erysipelas, leptospirosis, streptococcosis, campylobacterosis, salmonellosis, cryptosporidiosis, giardiasis, balantidiasis, infection with pathogenic E. coli, and brucellosis¹.
Hata binadamu, ngombe, mbuzi, kondoo, ngamia n.k wanabeba hao pathogens, wewe umewaona wa nguruwe tu?
 
Back
Top Bottom