Babu Kingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 431
- 164
HIZO ROBOTS KUTOKA NJE! IKIWA KAMA NJE YENYEWE NI CHINA TAYARI NI MASHAKA MAANA ZINAWEZA KUPIMA MGONJWA JOTO ZIKAMPELEKEA MAJIBU DOKTA KWAMBA MGONJWA ANA HOMA KALI KULIKO KAWAIDA WAKATI MGONJWA LABDA ALIKUWA KTK HATUA ZA KURUHUSIWA AKACHEZE SOKA!Akiongea kupitia televisheni waziri Ngamije amesema Roboti tano zilizoagizwa kutoka nje ambazo zimepewa majina ya Kinyarwanda zitatumika kama kiunganishi kati ya dokta na mgonjwa, na hivyo kupunguza mawasiliano ya binadamu na hatari za kusambaa kwa virusi.
NI HATUA MOJA MBELE RWANDA IMEPIGA HASA UKICHUKULIA UDOGO WA ENEO LAO LA NCHI NA PIA UCHACHE WA RAIA WAO ILA VITU KAMA HIVYO VINAVYOHUSIKA NA MAISHA YA BINADAMU KTK KADHIA ZA 'COVID-19 TESTS' NI VYEMA AFRICA TUANGALIE WATENGENEZAJI WENGINE WENYE VIWANGO ZAID KTK BIASHARA.
WE MUST SAY NO TO UNRELIABLE HEALTH EQUIPMENTS SOURCES.