Naangalia takwimu naona Rwanda na Zanzibar wanakaribiana mno kwa idadi ya watalii wanao tembelea nchi hizo mbili..
Ingawa Rwanda wanatumia pesa mara 50 zaidi kutangaza nchi yao..
Nafikiri ndani ya miaka mitatu ijayo wataiacha Zanzibar .....ingawa Zanzibar ni brand kubwa Sana kiutalii..
Tumlaumi nani??
Kuona Gorilla tu Ni $1500 per day per person.Rwanda wanacheza na western media na pia wao wanacheza na figures. Vitu vichache sana na vya kawaida mno mtalii atafanya Rwanda. Kama kutembelea maziwa madogo kama Burera na kwenda kuangalia wale Gorilla. Sema Zanzibar waongeze matangazo kama kwenye premier league ili kupaisha jina ambalo lenyewe tu kwa sasa ni utambulisho mkubwa.
Naona Rwanda wataizidi Tz yote now
Yani mtanzania anaelalamikia tozo ya 1000 ndio aende kuangalia Simba kwa magharama...Kuna umuhimu pia wa kuangalia watalii wa ndani.
..Huko tunakowatangazia vivutio vyetu, wananchi wao wana UTAMADUNI wa kudunduliza, na kuweka akiba, ili waweze kutembelea vivutio mbalimbali,ndani, au nje, ya nchi zao.
..Nitafurahi zaidi kama Watanzani watakuwa na uwezo na utamaduni wa kutembelea vivutio mbalimbali vilivyoko nchini kwetu.
Yani mtanzania anaelalamikia tozo ya 1000 ndio aende kuangalia Simba kwa magharama.
Kwanza fahamu zanzibar ni nchi ya kiislamu hivyo kidogo ni closed society,ni kikwazo pia,lakini vikwazo vingine ninuwezo wetunwa kujitangazaNaangalia takwimu naona Rwanda na Zanzibar wanakaribiana mno kwa idadi ya watalii wanao tembelea nchi hizo mbili..
Ingawa Rwanda wanatumia pesa mara 50 zaidi kutangaza nchi yao..
Nafikiri ndani ya miaka mitatu ijayo wataiacha Zanzibar .....ingawa Zanzibar ni brand kubwa Sana kiutalii..
Tumlaumi nani??
Mkuu figure za serekali ya CCM kuhusu watalii ni zakupika, huwa wanazidisha nambers waonekanwe wanaingiza watalii wengi, yawezekana kabisa kuwa Rwanda washatuacha mbali
Kwanza fahamu zanzibar ni nchi ya kiislamu hivyo kidogo ni closed society,ni kikwazo pia,lakini vikwazo vingine ninuwezo wetunwa kujitangaza
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Alokwambia izo takwimu n za ccm nan
Sema Zanzibar waongeze matangazo kama kwenye premier league ili kupaisha jina ambalo lenyewe tu kwa sasa ni utambulisho mkubwa.
Kipindi hatuna ndege, makelele yalikuwa kibao, oooo nairobi airport inatushinda umekuwa hub ya kimataifa kwasababu wana ndege zao zinapeleka direct flights nairobi..madege tuliyonunua kwa matrillioni ya fedha ni kwa ajili ya kusomba watalii ughaibuni kuwaleta Tanzania.
..tumetumia trillion 2 kununua madege, huku wizara ya kilimo imepangiwa bajeti billion 294.
mkuu wangu hakika umenena jambo la muhimu Sana Aisee inasikitisha Sana hii Nchi kutawaliwa na viongozi wapuuzi na wasiokua maono Kama haya CCM wapo kunufaisha matumbo Yao tu na familia zao!Kwa mfumo upi mkuu?
Huu wa CCM unaojenga ubeberu wa ndani?
Unajua Tanzania ni nchi yenye unyonyaji wa ndani mbaya kuliko ule wa makaburu.
Tanzania Waziri anawaza kujenga familia yake na kuirithisha mali nyingi za kutosha kupitia ofisi.
Hali kadhalika mfagiaji wa ofisi ya waziri naye anawaza kuijenga familia yake na kuirithisha mali nyingi. Yaani kila mtu anawaza mali japo hakuna mfumo wa kuwawezesha wananchi kuishi maisha ya kati na ya chini kupitia vipato vyao vidogo na kuweka akiba ya kuwawezesha kuishi maisha ya raha na amani.
CCM imewafanya watanzania wengi ni wanafiki, wenye roho Mbaya na hasira mioyoni mwao. Watu wanadhulumiana sana ,watu wanawaza kuhujumu ili maisha yaende. Utajengaje nyumba ya milioni 70 kwa mshahara wa laki tatu na nusu. Hakuna mfumo wa kuwajengea nyumba za bei nafuu. Wauza mihogo wanawaza kujenga nyumba ili waondokane na utumwa wa kupanga kwa bei kubwa. Ardhi ipo kubwa lakini maafisa wa ardhi wananeemeka na makesi ya matapeli ya viwanja. Hawana muda wa kupima vuwanja japo vifaa vipi na mishahara wanalipwa. Serikali ya CCM na bunge lake hawana Muda wa kujadili kwa dharura kesho ya watu wasio na vipato vikubwa.
Muda wao ni kulinda chama chao ili kidumu madarakani kupitia dola na sio kuwajengea wananchi maisha ya vizazi vijavyo.
Kuna vyama vyenye Suluhisho la maisha ya mtanzania lakini CCM inatumia kila mbinu kuhakikisha kuwa watanzania hawainuki walipo ili baadae watawala na familia zao wawakodishie watoto wa maskini mashamba na kuwapangishia majumba ya kukaa kwa bei kubwa mana Shirika la nyumba halipo kwa ajili ya kujenga nyumba za watu wa chini.
Jiulize kwa nini Mbagala na Gongo la mboto hakuna nyumba za NHC pale barabarani ili wajasiria mali wa kitanzania nao wapangishe frem kwa bei nafuu wafanye biashara? Nyumba za NHC ni kwa ajili ya matajiri na wahindi.
Bila kuwa na mfumo bora wa makazi haiwezekani kwa mtu wa Maisha ya kati na Chini kuweka akiba ya kwenda kutalii.
Mtu anadunduliza pesa ili ajenge kwa keshi au mkopo wa muda mfupi ambao pia hautoshi kujenga nyumba mpaka ikaisha zaidi ya kuungaunga kwa miaka mingi. Wakati huo huo hakuna mtu wa huyo anaweka akiba ili mtoto asome nasari skuli mtoto angalau ajue kuimba na kucheka kwa kiingereza. Miamala bado inamsubiri bila kujali kuwa ana akiba kiasi gani.
Wenzetu wana mifumo inayochochea Uadilifu na uzalendo wa kweli sio huu wa kinafiki wa akina Hamza wa CCM . Ni mzalendo kwa sababu amevaa nguo ya kijani!!
Wenzetu wanaunganishwa na mifumo bora ya makazi Bora yanayowafanya wananchi wanaishi bila stress za maisha awe Tajiri au maskini wote wanatafuta zaidi pesa ya kula na kutalii au kwenda kwenye viwanja vya michezo.
Afrika tuna mifumo ya ''Law of Jungle.''
Rwanda sijui watalii wanatembelea kuona nini. Ooh nimekumbuka ile museaum alijitengenezea kagame eti mauaji ya kimbari 😂😂Naangalia takwimu naona Rwanda na Zanzibar wanakaribiana mno kwa idadi ya watalii wanao tembelea nchi hizo mbili..
Ingawa Rwanda wanatumia pesa mara 50 zaidi kutangaza nchi yao..
Nafikiri ndani ya miaka mitatu ijayo wataiacha Zanzibar .....ingawa Zanzibar ni brand kubwa Sana kiutalii..
Tumlaumi nani??
Kipindi hatuna ndege, makelele yalikuwa kibao, oooo nairobi airport inatushinda umekuwa hub ya kimataifa kwasababu wana ndege zao zinapeleka direct flights nairobi
Haya tumeleta zenu, nyienyie mnawashwa, ooo midege kibao, bajeti ya kilimo inapwaya, tunaongeza kodi ili ipatukane pesa oooh makodi yamezidi nchi hiii
Yani ni upumbavu upumbavu kwenda mbele, watanzania sisi mxiiiew