Tetesi: Rwanda kuwekeza Tanzania kwenye sekta ya Madini

Nilishasema magufuli akiiba pesa anaenda kuzihifadhi kwa kagame
 
Wanataka kujaribu kutuibia kwa kuzipeleka Rwanda maana walishindwana na wazungu ambao hawanaga makandokando.

Na jinsi nchi hii inavyomilikiwa na watu wachache kabisa basi zoezi hili la kwenda kuzihifadhi Rwanda litapewa baraka zote na kutekelezeka.
 
Wajameni, kwa kweli kama hizi hata kama ni fununu tusifanye hili kosa.

Tutakuwa wapuzi dunia nzima kumkaribisha Mr Slim wa Rwanda kuja kufanya yale anayoyafanya kule DR Congo.

Mr Slim na serikali yake wanauza almasi wakati Rwanda hata unga wa ugali ananunua Tanzania kutoka kwa Azam (Bakheresa Group of Companies).

Tanzania, tusifanye huu ujinga kwa kweli.
 
Aisee kama ni kweli....! Yatakuwa maajabu ya ng'ombe kutembelea supermaket ya vikombe.
 
Acheni uoga,Mara Rwanda hawana kitu Mara kainchi kadogo hawana lolote sasa wanataka kuwekeza yaani kufanya kazi ambayo imetushinda tangu Uhuru sasa tunachoogopa nini hasa kama tumewazidi kwa kila kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…