Tetesi: Rwanda kuwekeza Tanzania kwenye sekta ya Madini

Tetesi: Rwanda kuwekeza Tanzania kwenye sekta ya Madini

Roho inaniuma kama hata nina faida nayo Kumbe ndiyo maana kuna mtu anakiburi cha Ajabu kumbe Ajua nini? Kinaendelea na Kama ni kweli basi mjue mzee hatakuwa tayari Kuretire
Sure braza, naiona hii hali, Mr slim kamshika pabaya. hata kuzuia Makinikia yalikuwa ni maelekezo aliyopewa!!!
 
Kipofu kwa kipofu daima wataingia wote shimoni. Ndio maana mmejengea ukuta madini yenu. FISIEM ni FISIEM tu
 
I start to doubt utaifa wa mtu flani na patriotism yake...... kuna sehemu kosa kubwa sana limefanyika.... Nchi inagawiwa mchanga kweupeee...hao Rwanda wanatoa wapi mtaji na uzoefu na wanawekeza kwa mtindo upi..
 
Nafikiri suala la madini ni sensitive sana kwa muktadha wa maendeleo na uchumi wetu. Pia wanyarwanda ni marafiki zetu, tumeoa kwao na wao wameoa kwetu. Hata baadhi ya wanajeshi wake wamekulia bongo na wengine wamepata mafunzo hapa hvy sio wa kuogopa kiivyo.

Pia uchumi wa Rwanda unakua sana na hata hela yao ni kubwa kuzidi yetu.

Sidhani kama wao kuwekeza ndo iwe ishu sana ya watu kuitolea macho. Ni bora mara kumi mtu mweusi mwenzako akuibie kuliko mzungu maana tumewaona kama mungu hapa duniani.

Kwanza mpaka sasa sijasikia kama waziri karuhusu utokewaji wa leseni na hvyo kuna watanzania wengi wanahitaji kuuza bidhaa hyo, huenda ni fursa nzuri.

Pia uwezo wa kuwa monitor kila kitu tunawez na hata kushika Mali zao maana wapo karibu, kuliko wazungu ambao hawataki kutoa ushirikiano wa madini yaliyosafirishwa kienyeji (blood diamond) na sehemu nyingine wamesababisha nchi kuingia vitani.

What I believe ni kuwa kwa sasa nchi imeamua kuwa madini yetu yauzwe hapa hapa, wazo jema sana, pili mwenye uwezo wa kujenga mambo wa kuchenjua madini, nasikia wachina wapo mbioni kujenga na hvyo kwa kuwa sheria yetu imeshatungwa na somehow imeziba mianya mbali mbali, maybe tusubir tuone na si kila kitu tunapinga, tusijeambiwa kuwa binadamu huzaliwa, hukua, huoa, huzeeka na hufa bado tunakata tu. Sijui kwa nini tunakuwa tumeshakata tamaa za maisha basi kila kitu kwetu ni kichefuchefu tu. Please
Sheria gani iliyotungwa na kuziba mianya? Hiyo ya kumkabidhi kila kitu baba jesica na mwanae dotto? Hiyo ambayo CAG haruhusiwi kukagua migodi yetu? Hiyo ambayo rwanda wamegawiwa mgodi wa tanzanite bila hata kujua tenda imetangazwa lini na kwa taratibu gani?

Nachelea kukuita mmoja wao hao watutsi maana unaona KUOA kwetu na AY kuoa kwenu tayari ni ndugu...pole sana...kuoa sio undugu ndio maana mkeo unamkula angekuwa nduguyo usingemkula uroda...pia ndio maana kuna talaka....acha ujinga wa kiwango hicho.

Hivi aliyekuambia kuwa na strong currency ndio utajiri ni nani? Basi rwanda currency yao ipo juu kuliko yuen ya china soo rwanda ni tajiri kuliko china?

Pia hao rwanda kwa utajiri upi unao uongelea wewe...ule wa kuiba madini ya congo drc?...blood diamonds?...kwa wazungu sawa ila kwa babu zako wanyarwanda clean diamonds...hell nooo.

Unaongelea rwanda ipi hasa wewe...hiyo ya msaliti kagame? Huyo anayegombana na kila mtu kwa tamaa zake za mali na utajiri wa wenzake?...unajua kilichomgombanisha na mjomba wake museveni mpaka sasa wanachekeana kichina?....acha mambo zako wewe.

Kwa usalama wa taifa letu na maslahi ya vizazi vyetu vijavyo...rwanda na hasa hii ya kagame ni ya kuwekwa mbali sana na sisi...weka mbali na watoto sumu kali hiyoo tena yenye rangi ya fanta orange...

Acha nisiongee mengi TOL asijekuniuwa bureeee....japo najua nitakufa muda wowote mungu akipenda ila kwa tol ukimchana namna hii lazima akutumie vijana wake.
 
I start to doubt utaifa wa mtu flani na patriotism yake...... kuna sehemu kosa kubwa sana limefanyika.... Nchi inagawiwa mchanga kweupeee...hao Rwanda wanatoa wapi mtaji na uzoefu na wanawekeza kwa mtindo upi..
Baba sio raia...huitaji hata cheti cha la saba kujua hilo....

haiwezekani wewe umekuwa presdaa first trip out of the country unaenda kwa tall kuangalia makaburi ya halaiki...

kwa sie watu wa kale tunaamini alienda kutambikia mizimu na kushukuru kwa mababu zake kwa kuukwaa ukulu.

Hapo hatujaongelea tabia zake mbofumbofu zisizo hata na chembe ya utanganyika mixer uzanzibari....

To cut a story short....huyu sio mwezetu soo anawekeza kwao....itoshe kusema TUMEINGIA CHOO CHA JINSIA MBADALA.
 
Baada ya wawekezaji wa kigeni kuzingua juu ya ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa rasilimali kama makinikia serikali ya Rwanda inatarajia kuja kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini

Ni jambo jema na kutia moyo kuona waafrika wenzetu na jirani zetu wanakuja kuwekeza
Huu ni wakati wetu sisi waafrika kujiendeleza sisi kama sisi baina ya nchi na nchi
Na kupitia hivyo utaratibu umeshaanza na serikali ya rwanda inatarajiwa kuwekeza kwenye migodi 18 ya mwanzo kama makubaliano ya mwanzo

Na uzuri ni kuwa tutapata kodi ya kutosha na kunufaika vya kutosha

My take:
Tujitahidi sana wawe wanalipa kodi ya kutosha na sisi tufaidike na pia kama itawezekana serikali ya tanzania iingie ubia na serikali yetu iwekeze kwenye migodi yote ya tanzania ambayo inaonekana inasua sua

Na hili litatufanya tunufaike mno kiuchumi
Mmh isije ikawa ndio ilikuwa Mipango ya ile jamii kuchukua urais kwa nchi zetu ili waje wachume
 
Baada ya wawekezaji wa kigeni kuzingua juu ya ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa rasilimali kama makinikia serikali ya Rwanda inatarajia kuja kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini

Ni jambo jema na kutia moyo kuona waafrika wenzetu na jirani zetu wanakuja kuwekeza
Huu ni wakati wetu sisi waafrika kujiendeleza sisi kama sisi baina ya nchi na nchi
Na kupitia hivyo utaratibu umeshaanza na serikali ya rwanda inatarajiwa kuwekeza kwenye migodi 18 ya mwanzo kama makubaliano ya mwanzo

Na uzuri ni kuwa tutapata kodi ya kutosha na kunufaika vya kutosha

My take:
Tujitahidi sana wawe wanalipa kodi ya kutosha na sisi tufaidike na pia kama itawezekana serikali ya tanzania iingie ubia na serikali yetu iwekeze kwenye migodi yote ya tanzania ambayo inaonekana inasua sua

Na hili litatufanya tunufaike mno kiuchumi
He Binge letu limetaarifiwa kuhusu huu uwekezaji??, kwa Rwanda kama Rwanda, siamini, uwezo huo hawana, ispokuwa , kama kuna Mataifa ya nje has a ya magharibi yanataka kuitumia Rwanda kama daraja LA kuingilia kusomba madini yetu , huku Rwanda wakipewa padenti kidogo, ila Mimi naliomba Bunge letu WASIKUBALI RWANDA KUJA KUWEKEZA HAPA TANZANIA, watatuletea ukabila, maana mpaka sasa kwao hawaminiani, Mtutsi na Mhutu, wanaishi kama urafiki wa Chui na Kondoo, wasije tuvurugia mdhikamano tulioachiwa na Baba wa wa Taifa Mwalimu, Bunge , chonde chonde , msikubali hats kidogo.
 
Maajabu ya serikali ya CCM kushindwa kuchimba madini na kuikabidhi Serikali ya Rwanda.
Mimi nawasihi Vigogo wa CCM, Waukatae huu mpango, kama upo , maana hawa jamaa watatuletea ya DRC KONGO ,Hawa ni wachumia tumbo.
 
Mimi nawasihi Vigogo wa CCM, Waukatae huu mpango, kama upo , maana hawa jamaa watatuletea ya DRC KONGO ,Hawa ni wachumia tumbo.
Acha mawazo mgando...hawa ccm mumewapannchi for 50+ years wakatufikisha hapo bado unawaamini kumzuia mwenyekiti wao?

Ingia mtaani dai haki yako kama raia..keshokutwa sio mbali onyesha nguvu yako kama raia...acha kulialia.
 
Na bado jamaa anazidi kujiimarisha tz
 
Back
Top Bottom