Tetesi: Rwanda kuwekeza Tanzania kwenye sekta ya Madini

Tetesi: Rwanda kuwekeza Tanzania kwenye sekta ya Madini

Mbona Rwanda ni masikini yaani masikini awekeze kwa mwenye afadhali

This is a big time jok...I dont buy this at all
Kama taarifa za Rwanda kuharamia maliasili ya Congo ni za kweli....ikiwa taarifa hizi uwekezaji Tzania ni za kweli pia basi mpaka kufikia sasa Rwanda inaweza kua ktk nafasi ya kuwekeza ktk sekta ya madini Tzania...Rwanda haihitaji kua kama ulaya kuwekeza ktk sekta hii ya madini...ni suala la mikakati smart tuu ya kiuchumi na uongozi makini kuwezesha utekelezaji wa hio mikakati, lakini pia kuibiwa kutategemea pia udhaifu wetu ktk kufikia makubaliano....

Jambo la muhimu ni kua uwekezaji wowote ktk sekta ya madini na maliasili zote kwa ujumla sio tuu unatakiwa kutunufaisha kifedha manufaa ya msingi kuliko yote ni elimu yote na teknolojia inayohusika ktk hio sekta ili mwisho wa siku tuwekeze sisi binafsi, ikiwa mwekezaji hakubaliani na hilo baasi atafute ustaarabu mwingine, ikiwa atakubalika bila hilo tutaibiwa tuu na tutaendelea kua watumwa wa wanaovuna vyakwetu.
 
Baada ya wawekezaji wa kigeni kuzingua juu ya ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa rasilimali kama makinikia serikali ya Rwanda inatarajia kuja kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini

Ni jambo jema na kutia moyo kuona waafrika wenzetu na jirani zetu wanakuja kuwekeza
Huu ni wakati wetu sisi waafrika kujiendeleza sisi kama sisi baina ya nchi na nchi
Na kupitia hivyo utaratibu umeshaanza na serikali ya rwanda inatarajiwa kuwekeza kwenye migodi 18 ya mwanzo kama makubaliano ya mwanzo

Na uzuri ni kuwa tutapata kodi ya kutosha na kunufaika vya kutosha

My take:
Tujitahidi sana wawe wanalipa kodi ya kutosha na sisi tufaidike na pia kama itawezekana serikali ya tanzania iingie ubia na serikali yetu iwekeze kwenye migodi yote ya tanzania ambayo inaonekana inasua sua

Na hili litatufanya tunufaike mno kiuchumi
yaan kweli kama unafurahia uwekezaji WA.Rwanda. Tanzania kweli wewe punguani
 
Wawekeze sana,waanze na viwanda vya tooth sticks kabla ya madini,manina
 
Kwa nini tusiwekeze wenyewe. Hivi Rwanda wanattuzidi fedha.
 
Baada ya wawekezaji wa kigeni kuzingua juu ya ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa rasilimali kama makinikia serikali ya Rwanda inatarajia kuja kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini

Ni jambo jema na kutia moyo kuona waafrika wenzetu na jirani zetu wanakuja kuwekeza
Huu ni wakati wetu sisi waafrika kujiendeleza sisi kama sisi baina ya nchi na nchi
Na kupitia hivyo utaratibu umeshaanza na serikali ya rwanda inatarajiwa kuwekeza kwenye migodi 18 ya mwanzo kama makubaliano ya mwanzo

Na uzuri ni kuwa tutapata kodi ya kutosha na kunufaika vya kutosha

My take:
Tujitahidi sana wawe wanalipa kodi ya kutosha na sisi tufaidike na pia kama itawezekana serikali ya tanzania iingie ubia na serikali yetu iwekeze kwenye migodi yote ya tanzania ambayo inaonekana inasua sua

Na hili litatufanya tunufaike mno kiuchumi
hili sidhani kama liko sawa kwa huyu jamaa bora wazungu waje wachukue bila kodi kuliko huyu jamaa.
kwa hili nipo tayari kuandamana
 
Rwanda wanakitu gani cha kutuzidi hadi waje kuwekeza kwetu hasa kwenye sekta ya madini..hivi hawa teknologia si kama sie tu.....tulilogwa waTz..
 
Baada ya wawekezaji wa kigeni kuzingua juu ya ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa rasilimali kama makinikia serikali ya Rwanda inatarajia kuja kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini

Ni jambo jema na kutia moyo kuona waafrika wenzetu na jirani zetu wanakuja kuwekeza
Huu ni wakati wetu sisi waafrika kujiendeleza sisi kama sisi baina ya nchi na nchi
Na kupitia hivyo utaratibu umeshaanza na serikali ya rwanda inatarajiwa kuwekeza kwenye migodi 18 ya mwanzo kama makubaliano ya mwanzo

Na uzuri ni kuwa tutapata kodi ya kutosha na kunufaika vya kutosha

My take:
Tujitahidi sana wawe wanalipa kodi ya kutosha na sisi tufaidike na pia kama itawezekana serikali ya tanzania iingie ubia na serikali yetu iwekeze kwenye migodi yote ya tanzania ambayo inaonekana inasua sua

Na hili litatufanya tunufaike mno kiuchumi
Wana uzoefu wa kutosha ktk sekta hiyo ambao wameupata huko Congo.....
 
Tena awe na mshauri kabisa wa uchumi na aandikiwe mshahara kabisa
Hata akigombea sawa tu
I had enough of this crap
 
Back
Top Bottom