Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,723
- 7,408
Alafu kwa elimu gani? Waliyo nayo awo wanyarwandaRwanda wana hela gani ya kuwekeza Tanzania. What nonsense is this?
Something very fishy here. It won't work by the grace of God.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu kwa elimu gani? Waliyo nayo awo wanyarwandaRwanda wana hela gani ya kuwekeza Tanzania. What nonsense is this?
Something very fishy here. It won't work by the grace of God.
Kama taarifa za Rwanda kuharamia maliasili ya Congo ni za kweli....ikiwa taarifa hizi uwekezaji Tzania ni za kweli pia basi mpaka kufikia sasa Rwanda inaweza kua ktk nafasi ya kuwekeza ktk sekta ya madini Tzania...Rwanda haihitaji kua kama ulaya kuwekeza ktk sekta hii ya madini...ni suala la mikakati smart tuu ya kiuchumi na uongozi makini kuwezesha utekelezaji wa hio mikakati, lakini pia kuibiwa kutategemea pia udhaifu wetu ktk kufikia makubaliano....Mbona Rwanda ni masikini yaani masikini awekeze kwa mwenye afadhali
This is a big time jok...I dont buy this at all
yaan kweli kama unafurahia uwekezaji WA.Rwanda. Tanzania kweli wewe punguaniBaada ya wawekezaji wa kigeni kuzingua juu ya ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa rasilimali kama makinikia serikali ya Rwanda inatarajia kuja kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini
Ni jambo jema na kutia moyo kuona waafrika wenzetu na jirani zetu wanakuja kuwekeza
Huu ni wakati wetu sisi waafrika kujiendeleza sisi kama sisi baina ya nchi na nchi
Na kupitia hivyo utaratibu umeshaanza na serikali ya rwanda inatarajiwa kuwekeza kwenye migodi 18 ya mwanzo kama makubaliano ya mwanzo
Na uzuri ni kuwa tutapata kodi ya kutosha na kunufaika vya kutosha
My take:
Tujitahidi sana wawe wanalipa kodi ya kutosha na sisi tufaidike na pia kama itawezekana serikali ya tanzania iingie ubia na serikali yetu iwekeze kwenye migodi yote ya tanzania ambayo inaonekana inasua sua
Na hili litatufanya tunufaike mno kiuchumi
bora mara 1000000000hayo madini mpeni hata bakhresa au mengi hela itabaki Tanzania.
hili sidhani kama liko sawa kwa huyu jamaa bora wazungu waje wachukue bila kodi kuliko huyu jamaa.Baada ya wawekezaji wa kigeni kuzingua juu ya ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa rasilimali kama makinikia serikali ya Rwanda inatarajia kuja kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini
Ni jambo jema na kutia moyo kuona waafrika wenzetu na jirani zetu wanakuja kuwekeza
Huu ni wakati wetu sisi waafrika kujiendeleza sisi kama sisi baina ya nchi na nchi
Na kupitia hivyo utaratibu umeshaanza na serikali ya rwanda inatarajiwa kuwekeza kwenye migodi 18 ya mwanzo kama makubaliano ya mwanzo
Na uzuri ni kuwa tutapata kodi ya kutosha na kunufaika vya kutosha
My take:
Tujitahidi sana wawe wanalipa kodi ya kutosha na sisi tufaidike na pia kama itawezekana serikali ya tanzania iingie ubia na serikali yetu iwekeze kwenye migodi yote ya tanzania ambayo inaonekana inasua sua
Na hili litatufanya tunufaike mno kiuchumi
Kwa nini wasiwasi mkuu!Hii taarifa ni kweli?
Mbona nimekuwa na wasiwasi sana kama ikiwa kweli.
Wana uzoefu wa kutosha ktk sekta hiyo ambao wameupata huko Congo.....Baada ya wawekezaji wa kigeni kuzingua juu ya ukwepaji wa kodi na utoroshaji wa rasilimali kama makinikia serikali ya Rwanda inatarajia kuja kuwekeza Tanzania katika sekta ya madini
Ni jambo jema na kutia moyo kuona waafrika wenzetu na jirani zetu wanakuja kuwekeza
Huu ni wakati wetu sisi waafrika kujiendeleza sisi kama sisi baina ya nchi na nchi
Na kupitia hivyo utaratibu umeshaanza na serikali ya rwanda inatarajiwa kuwekeza kwenye migodi 18 ya mwanzo kama makubaliano ya mwanzo
Na uzuri ni kuwa tutapata kodi ya kutosha na kunufaika vya kutosha
My take:
Tujitahidi sana wawe wanalipa kodi ya kutosha na sisi tufaidike na pia kama itawezekana serikali ya tanzania iingie ubia na serikali yetu iwekeze kwenye migodi yote ya tanzania ambayo inaonekana inasua sua
Na hili litatufanya tunufaike mno kiuchumi
Hata MUNGU mwenyewe aliyemuumba kagame bado hamuamini seuse wewe mwanadamu....TALL hafai hata kwa kurumangia.Sijawahi mwamini Kagame!!!