Tetesi: Rwanda kuwekeza Tanzania kwenye sekta ya Madini

Tetesi: Rwanda kuwekeza Tanzania kwenye sekta ya Madini

Kwa hiyo kwa kuwa alikuwa haivi naye, unataka huyu assign naye? Huyu naye akitoka akaja mwingine unataka naye asiive na wale ambao huyu wa sasa haivi nao?
Ndo maana nikasema muda utaongea usijibu tu bila kufikiria au kwakua ni wahuko huko
 
Litakua jambo jema kama hii taarifa itakua sio ya kweli, Rwanda???
 
Mkuu inawezekana tu.
---
Unadhani wakati wa ubinafshaji wa mabenki kila mwekezaji alikuja na keshi?
---
Hii ni inaweza kuwa "economy table" mtu akala dume.
>>YANGU MACHO TU.
Labda iwe wanatumiwa tu na jamaa yetu.
 
And yet we calk ourselves great thinkers. Tuanze kula tena korosho na almond vichwa vichangamke
Yafaa uanze haraka maana kumeoza huko. Labda uwe mtusi mwenzao unaona sawa. It won't happen. Mark my words
 
Eastern Congo ya Tanzania itakuwa Geita, Kagera na Kigoma. Tunasubiri kwa hamu yale mambo yao Bosco Ntaganda na Laurence Nkunda
 
Harafu usifikiri Tanzania ni mazezeta kama mnavyofikiria ,Tuna TISS inafanya KAZI ndani Na nje ya nje Yetu kuhakikishi nchi inapata kile kinachostahili.
Hujui unalolosema wewe,awamu ya tatu na ya nne zisinge vurunda kama hao jamaa wangekuwepo fungua ubonhowako huo uliojaa maji
 
Back
Top Bottom