Rwanda: Mchina aliyerekodiwa akimpiga mfanyakazi aliyefungwa kwenye mti ahukumiwa kifungo cha miaka 20

Rwanda: Mchina aliyerekodiwa akimpiga mfanyakazi aliyefungwa kwenye mti ahukumiwa kifungo cha miaka 20

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Mahakama Nchini humo imemhukumu Mfanyabiashara ambaye ni Raia wa China kifungo cha miaka 20 gerezani baada ya kurekodiwa akimpiga Mwananchi mwaka 2021

Sun Shujun alikuwa anakabiliwa ya Mashtaka ya kupiga Wafanyakazi wake waliokuwa wanatuhimiwa kwa wizi, ambapo katika video iliyorekodiwa alionekana akimchapa mtu aliyefungwa kwenye nguzo

Hii si mara ya kwanza kwa Raia wa China wanaofanya kazi Afrika kushutumiwa kwa ukatili. Mwaka 2020, Mchina aliyekuwa Mmiliki wa Mgodi wa Makaa ya Mawe Nchini Zimbabwe aliwapiga risasi na kuwajeruhi Wafanyakazi wawili baada ya kulalamika kuhusu mishahara



======

A Chinese citizen was convicted Wednesday in Rwanda on charges of torture, according to Rwandan media reports.

Last year, a video circulated online showing Sun Shujun, the Chinese national, flogging two Rwandan workers, who had been tied to a tree.

Shujun said the two men had stolen minerals from his company, Ali Group Holdings Ltd,, Rwanda's KT Press reported.

The Chinese Embassy in Kigali condemned the "unlawful acts" in a statement at the time, according to local media.

This is not the first time Chinese nationals working in Africa have been accused of abusing their local workers. In Zimbabwe in 2020, a Chinese coal mine owner shot and wounded two local workers after they complained about wages they were owed.

Source: Rwanda: Chinese National Gets 20-Year Sentence for Torture in Rwanda
 
Rwanda wanazidi kuijeshimisha nchi yao..hao washenzi wakiruhusiwa hua ni makatiri sana..kwanza mishahara yao midogo..kazi ngumu.

Bongo igeni mfano huu..wahindi waarabu na wachina..wanapaswa wawaheshimu wenye nchi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Afu jamaa anapigwa wafanyakazi wenzake wapo pembeni wanasupport mchina anavyomtesa ndugu yao. Hawa wachina wakitawala siku watakua wabaya sana kuliko wazungu,Ona Zambia wanavyobagua watu weusi hatar sana!
 
Hawa Rwanda wako very smart, tofauti na nchi kama yetu ungesikia karudishwa kwao baada ya balozi kuomba!!
 
Mfanya biashara mchina Sun Shujun anayefanya shughuli zake Rwanda kahukumiwa kwenda jela miaka 20 na mahakama nchini Rwanda.

Sun anaonekana kwenye video amefunga mfanyakazi wake na kamba na kumcharaza huku wafanyakazi wengine waliovalia majaketi ya orange wakiangalia tu .

Pia mnyarwanda mwengine Renzahi Alexis ambae mahakama ilimkuta na hatia ya kumsaidia mchina kumpiga naye alihukumiwa miaka 12 kwenda jela.

Renzaho Alexis, a Rwandan man who is considered by the court to be an accomplice in the beating, was also sentenced to 12 years in prison.

Soma zaidi chini kwa kiingereza na video.

 

Chinese mine manager in Rwanda sentenced to 20 years in prison for whipping local workers​

Michelle De Pacina
Fri, April 22, 2022, 2:56 AM
4c49c101d9fcb3337bd60107042e159d

A Chinese businessman was charged with torture and sentenced to 20 years in prison by a court in Rwanda after he was filmed beating a local worker who was tied to a pole last year.

Sun Shujun, 43, is seen in a video yelling at the Rwandan man hunkered on the ground and whipping him with a rope while other men in orange jackets watched.




Sun was arrested after the video circulated online in August 2021. He was later released on bail.

Renzaho Alexis, a Rwandan man who is considered by the court to be an accomplice in the beating, was also sentenced to 12 years in prison.

Judge Jacques Kanyarukiga said that Sun had “tortured the victims and issued corporal punishment with malicious intent, and this is a grave crime.”

While prosecutors accused Sun of assaulting four people, he only admitted to assaulting two workers. He said he beat them because he was “frustrated and fed up of them constantly stealing minerals.”

Witnesses told the court that workers suspected of stealing from Sun were tied and whipped.

Sun, a manager of a mine that produces cassiterite in the Rutsiro district, said that his two victims received compensation of more than 1 million Rwandan francs (approximately $1,000) and a reconciliation letter.

Prosecutors, however, argued that the victims only accepted his payments because “they were traumatized and afraid of him.”

In a statement, the spokesperson for the Chinese Embassy in Rwanda wrote, “The Chinese Embassy in Rwanda has taken note of the recent ruling of 20 years’ imprisonment by a Rwandan court regarding a Chinese citizen. The Embassy always asks Chinese citizens in Rwanda to abide by local laws and regulations.”

“Meanwhile, the Embassy calls for the case to be handled appropriately in a rational, fair and just manner, and requests the legitimate rights of Chinese citizens to be properly protected,” the spokesperson added. “The Embassy will continue to follow the case. The Chinese Embassy remains committed to promoting relations between the two countries and friendship between our people.”




Sun can appeal to a higher court, according to Rwanda courts spokesman Harrison Mutabazi.



Featured Image via @ChinaAfrProject

Scroll to continue with content​

Ad

Enjoy this content? Read more from NextShark!
Thai oil worker blows up warehouse because she was sick of her boss, causes $1.2 million in damages
Decades-old San Francisco Chinatown jewelry store faces closure after losing $250,000 in burglary
Former Radio 1 DJ who preyed on Filipino children called ‘very embodiment of depravity’ by judge
Caught on camera: Husband's awkward reaction to his wife's ex embracing her at their wedding
 
Bora hao rwanda sheria kwao msumeno,ingekuwa bongo huyo anaepigwa ndo angewekwa ndani.
 
Kagame Ni Mwamba sana hawa wachina wajinga sana
 
Back
Top Bottom