Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
WanaJf, Hi!
Nchi ya Rwanda na DRC ni majirani zetu kabisa na ni washirika wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Hata hivyo matukio ya usimikaji na ufadhili wa kundi la M23 unaofanywa na nchi ya Rwanda hatuwezi kuubariki katu sababu madhara kwa raia ni MENGI sana.
Sasa hata iwe vipi iwapo nchi hizi zitaamua kumaliza mgogoro huu kwa mtutu wa bunduki mbabe anajulukana "Ni nchi ya DRC". Kwa kuwa kitakwimu nchi hii ina idadi ya watu 92,000,000 huku Rwanda ikiwa na watu 13,000,000. Hivyo, DRC inaizidi Rwanda takribani watu 79,000,000. So technically DRC anahitaji kitu kidogo sana kushinda vita hiyo nacho ni raslimali fedha za kumudu kazi.
Rwanda asipotumia busara atajilaumu kwa hii vita anayoenda kuanzisha. Nchi wanachama wa EA (Tanzania, Burundi, Kenya, Uganda, na Sudan) waingilie kati haraka. Madhara yajayo ni makubwa ingawa binafsi PK simpendi kabisa.
Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Msakila M Kabende
Jf Member
Nchi ya Rwanda na DRC ni majirani zetu kabisa na ni washirika wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Hata hivyo matukio ya usimikaji na ufadhili wa kundi la M23 unaofanywa na nchi ya Rwanda hatuwezi kuubariki katu sababu madhara kwa raia ni MENGI sana.
Sasa hata iwe vipi iwapo nchi hizi zitaamua kumaliza mgogoro huu kwa mtutu wa bunduki mbabe anajulukana "Ni nchi ya DRC". Kwa kuwa kitakwimu nchi hii ina idadi ya watu 92,000,000 huku Rwanda ikiwa na watu 13,000,000. Hivyo, DRC inaizidi Rwanda takribani watu 79,000,000. So technically DRC anahitaji kitu kidogo sana kushinda vita hiyo nacho ni raslimali fedha za kumudu kazi.
Rwanda asipotumia busara atajilaumu kwa hii vita anayoenda kuanzisha. Nchi wanachama wa EA (Tanzania, Burundi, Kenya, Uganda, na Sudan) waingilie kati haraka. Madhara yajayo ni makubwa ingawa binafsi PK simpendi kabisa.
Heri nusu shari kuliko shari kamili.
Msakila M Kabende
Jf Member