Rwanda na M23 sasa ni dhahiri

carla del ponte alikuwa ni chief prosecutor wa ICTR, walifanya investigation USHAHIDI ukaja kwamba PK ndiye aliye Angusha ndege na kuwa marais wawili, akiwepo wa rwanda na kutrigger genocide rwanda.
carla del ponte πŸ‘‡

ALIKUTANA NA PK RWANDA NA KUMWAMBIA KUWA TUNAISHAHIDI WEWE NDIYE MUHUSIKA MKUU, NA WALIKUWA NA USHAHIDI MWINGI TU KUWA PK NA RPA WALIUWA WAHUTU NA WATUTSI IKIWEMO WATUTSI WA BISESERO WAPATAO 40,000. NA WATUTSI WA BAGOGWE. NI PK ALIHISIKA LAKINI PK AKAMFUKUZWA RWANDA NA KUMWAMBIA UMEKOSA SIFA YA KUWA CHIEF PROSECUTOR WA ICTR, BAADA YA HAPO carla del ponte AKAKUTANA NA KOFFI ANANI AKAMUELEZA KILAKITU NA KUMWAMBIA AACHANA NA MAMBO HAYO. LAKINI BAADA YA MUDA carla del ponte WALIMFUKUZA ICTR WAKAMUWEKA CHIEF PROSECUTOR MWINGINE AMBAYE ALIAACHANA NA ISSUE YA CRIMES YA RPF.
 
Watusi hawakuwa wahanga zaidi,Bali wahutu
 
Watusi hawakuwa wahanga zaidi,Bali wahutu
Watutsi walikuwa wachache sana hawakufika hata 600,000 kipindi cha genocide.
Lakini watutsi genocide survivors walikuwa ni 300,000.
Mauaji ya kimbali rwanda ilichukua maisha ya watu zaidi ya 1,000,000.
Chakata akili hapo.
 
Watutsi walikuwa wachache sana hawakufika hata 600,000 kipindi cha genocide.
Lakini watutsi genocide survivors walikuwa ni 300,000.
Mauaji ya kimbali rwanda ilichukua maisha ya watu zaidi ya 1,000,000.
Chakata akili hapo.
Ndiyo hapo,sijajua Kuna watutsi wangapi Sasa hv rwanda,huenda waluouliwa hawafiki laki 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…