Rwanda na udhamini wa timu ya mpira Arsenal

Rwanda na udhamini wa timu ya mpira Arsenal

Tuko pamoja kaka
Hukupaswa kuandika kizungu ili unihakikishie utashi wako ni sifuri..

Tizama komenti za watu wenye utashi uliojipachika walivyojibu kwa kukumbushana na kuwekana sawa!!
 
Kama Waingereza umeongezeka kwa asilimia 5 je dunia nzima maana EPL game za giant ikiwemo Arsenal znatazmwa na mamilion
Utalii wa Waingereza kwenda Rwanda umeongezeka kwa asilimia 5, ikiwa ni matokeo ya kujitangaza kupitia jezi za Arsenal, ambapo nembo ya 'VISIT RWANDA' imeandikwa begani katika jezi za Arsenal. Kupitia hilo Rwanda imeingiza £36m zaidi ya Tsh Bil 100 kwa mwaka.

Serikali ya Rwanda hutoa £10m kwa mwaka katika klabu ya Arsenal . ,hii inafanya Rwanda kuvuna faida ya £26m kwa mwaka.

Arsenal did not disclose how much the deal is worth, but sources close to the deal say the sponsorship cost £10 million ($13.3m) a year, or $40 million in the three years.

WEKA PESA UPATE PESA

TANZANIA TUNASUBIRI NINI?
 
Tulijiikita kwa Sunderland sio lig nzima tena kwenye uwanja kama wakiwa home lakini wakiwa away watatuuza kupitia jezi watazofanyia warm up.Na hakika ilikuwa cheap inaweza Kuwa nusu kwa kias cha milion paun 10 wanayotoa Rwanda kwa Arsenal..Kitokana na ukubwa ma ushawish wa timu
Tanzania ilishafanya hivyo mwaka 2008. Ilidhamini ligi kuu yani EPL.. Kila kiwanja lazima ungeliona Visit Tanzania...

Kila timu iliokuwa inashiriki ligi mwaka huo, ilikuwa inavaa jezi yenye neno; Visit Tanzania, wakati wote wawapo mazoezini ndio zilikuwa jezi zao za mazoezi zenye huo ujumbe.

Kikubwa tulipaswa kufahamishwa matokeo tuliopata kwa uwekezaji ule....

Wao wamedhamini timu, sisi tulidhamini Ligi nzima.
 
Mapato sio faida, unaweza ukapata mapato 36M ila yakawa na hasara ama faida ikawa 3m etc kama mapato ni 36m then utoe 10m sidhani kama kuna faida hapo.
Kagame nae ameshindwa direct kutaja amount ya Faida ingawa kasema.kijumla kwamba lengo namba moja ongezeko la watalii kwa Mara 3 zaidi.
Mfano :unauza mihogo miaka mitatu wastan watu 15 kwa siku ,Unaanza kuitangaza mihogoo mitandaoni wanakuja wateja 45 ....Utasema.umefanikiwa mihogo 15*100 na kisha 45*100
 
Back
Top Bottom