Rwanda na udhamini wa timu ya mpira Arsenal

Tuko pamoja kaka
Hukupaswa kuandika kizungu ili unihakikishie utashi wako ni sifuri..

Tizama komenti za watu wenye utashi uliojipachika walivyojibu kwa kukumbushana na kuwekana sawa!!
 
Kama Waingereza umeongezeka kwa asilimia 5 je dunia nzima maana EPL game za giant ikiwemo Arsenal znatazmwa na mamilion
 
Tulijiikita kwa Sunderland sio lig nzima tena kwenye uwanja kama wakiwa home lakini wakiwa away watatuuza kupitia jezi watazofanyia warm up.Na hakika ilikuwa cheap inaweza Kuwa nusu kwa kias cha milion paun 10 wanayotoa Rwanda kwa Arsenal..Kitokana na ukubwa ma ushawish wa timu
 
Mapato sio faida, unaweza ukapata mapato 36M ila yakawa na hasara ama faida ikawa 3m etc kama mapato ni 36m then utoe 10m sidhani kama kuna faida hapo.
Kagame nae ameshindwa direct kutaja amount ya Faida ingawa kasema.kijumla kwamba lengo namba moja ongezeko la watalii kwa Mara 3 zaidi.
Mfano :unauza mihogo miaka mitatu wastan watu 15 kwa siku ,Unaanza kuitangaza mihogoo mitandaoni wanakuja wateja 45 ....Utasema.umefanikiwa mihogo 15*100 na kisha 45*100
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…