Kwanini Tz hupenda kuwa na chuki na Kagame? Kosa la Kagame liko wapi? Unadhani kutatua huu mgogoro ni kupeleka wana jeshi kuondoa M23? Kama ni hivyo , tumepeleka majeshi mara ngapi bila kuondoa tatizo?
M23 kwa ufupi ni wa Congolese wenye asili ya kitutsi , wanyamrenga ambao wana pigania haki yao, ni Congolese regime kuwa tambua na kukaa meza moja wajadiliane, mnaweza kuwa na kabila ambalo linapatikana katika nchi mbili au tatu tofauti.
Mkitaka kuwa fukuza waende wapi? Rwanda sio kwao pia, hivyo Kagame kujilinda yuko sahihi pia .
Ni Congo peke ndio wa kuamua kumaliza mgogoro uliopo kwa kukaa chini na kumaliza tofauti zao na kuunganisha raia na makabila yao kuwa wamoja na nchi moja .
Kuilaumu Rwanda kwa kila jambo ni kufunika kombe mwana haramu apite.