Rwanda Nzovwe ni nani?

Rwanda Nzovwe ni nani?

K A B U R U

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2011
Posts
891
Reaction score
1,199
Tarehe 26/4/2019 ni maadhimisho ya Muungano wa Tanzania. Tukio la kitaifa linalochagizwa siku hiyo ni mkutano wa Mh Rais na Wananchi wa Mbeya katika uwanja wa Rwanda Nzovwe. Katika kudadisi nimeona niwaulize wadau hapa JF, hili jina Rwanda Nzovwe limetoka wapi? Nahisi ni jina la mtu, na mpaka viwanja vikapewa jina lake, basi kutakuwa na kitu cha kumbukumbu ambacho sio vibaya mwenye kukijua akatueleza.
 
Tarehe 26/4/2019 ni maadhimisho ya Muungano wa Tanzania. Tukio la kitaifa linalochagizwa siku hiyo ni mkutano wa Mh Rais na Wananchi wa Mbeya katika uwanja wa Rwanda Nzovwe. Katika kudadisi nimeona niwaulize wadau hapa JF, hili jina Rwanda Nzovwe limetoka wapi? Nahisi ni jina la mtu, na mpaka viwanja vikapewa jina lake, basi kutakuwa na kitu cha kumbukumbu ambacho sio vibaya mwenye kukijua akatueleza.
Ni Luanda au Rwanda?
 
Back
Top Bottom