hahaha mtu kashinda FDI mwaka moja ndio inafanya hakukaliki humu....can you sum up the FDI of Kenya from 2008 to 2018 and compare that to Rwanda's FDI in the same period..FDI inaendana na national events...infact kuna miaka ambazo FDI ya nchi ndogo ndogo kama Zimbabwe zinazidi ya SA...ila ukifananisha ya miaka 10 ndio unaona kumbe SA huwa haichezi na mtu...the same applies to Kenya...2017 was an election year (FDI inashuka mwaka huo)...another example, in 2016, FDI ya Angola ilishinda ya South Africa, Egypt na Nigeria..sababu ni kuwa mwaka huo kulikuwa na recession nchi hizo tatu
View attachment 864489