Hivi hao Rwanda uchumi wao huwa unategrmea nini? Bora hata sisi tuna bandari hata wakiksusa watajileta wenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumetekeleza miradi mingi ila wewe kwa akili zako unaona mradi mmoja na kuchukulia ndo hali kila mahali.....kuna miradi mingi Tanzania imekwama kama bagamoyo ila najua uko hapa umelipwa kusifia magufooliUchumi wa makaratasi
Mnakwama mradi wa Bandari ya Lamu tangu 2012 pumzi budget imekata
Mngekuwa na Uchumi mzuri mngetekelza Miradi yenu bila mkwamo
Unataka kutuaminishia kuwa mzigo kutoka dar una-teleport Hadi port bell? Hapana tumia kichwa Kama kifuniko ya shingo bruh!Hiyo reli ya portbell (20km) tuliifufua sisi kwa gharama zetu ili mizigo ya WFP iweze fika Kampala kupitia Mwanza (ikiwa kwenye mabehewa yake), nyinyi mnadakia tuu kutumia kazi zilizofanywa na wanaume.
Hata hivyo mlolongo wa usafiri bado ni mrefu sana kwa mizigo ya Rwanda kupitia njia hiyo. Kutoka Naivasha itaabidi mtumie maroli kupakia mizigo kwenye reli ya mkoloni, halafu mpakie kwenye meli (sidhani kama mnayo meli ya kubebe mabehewa), mtoke hapo pale Port Bell mpakue na kuweka kwenye malori. Logistic mbovu sana hiyo.
Miradi gani imekwama [emoji23]Tumetekeleza miradi mingi ila wewe kwa akili zako unaona mradi mmoja na kuchukulia ndo hali kila mahali.....kuna miradi mingi Tanzania imekwama kama bagamoyo ila najua uko hapa umelipwa kusifia magufooli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, ila mzigo ukiwekwa kwenye mabehewa Dar haupakuliwi mpaka ukifika Port Bell kupitia ziwa Victoria. Wakati ule wa Mombasa ukifika Naivasha unapakuliwa na kuwekwa kwenye malori na kupelekwa kupandishwa kwenye ile reli ya zamani. Kutoka hapo ndiyo inakwenda mpaka Port Bell kupitia ziwani.Unataka kutuaminishia kuwa mzigo kutoka dar una-teleport Hadi port bell? Hapana tumia kichwa Kama kifuniko ya shingo bruh!
Hawawezi amini hili waache! Wanaona ile dry port Naivasha wame-hit jackport wakati seamless movement of goods hamna! Imagine ukiachia mbali ku-move goods toka SGR kwenda malori au SGR kwenda MGR hata hiyo pipeline yao mafuta yakifika Kisumu inabidi yaingizwe kwenye wagons tena kwa vile hawana oil tankers! Wakati sie mafuta Tanga/Dar yanapakiwa kwa treni na safari moko mpaka port Bell kwa kutumia reli na ferry wagon MV Umoja!Hapana, ila mzigo ukiwekwa kwenye mabehewa Dar haupakuliwi mpaka ukifika Port Bell kupitia ziwa Victoria. Wakati ule wa Mombasa ukifika Naivasha unapakuliwa na kuwekwa kwenye malori na kupelekwa kupandishwa kwenye ile reli ya zamani. Kutoka hapo ndiyo inakwenda mpaka Port Bell kupitia ziwani.
Bagamoyo mradi gani Anko???Tumetekeleza miradi mingi ila wewe kwa akili zako unaona mradi mmoja na kuchukulia ndo hali kila mahali.....kuna miradi mingi Tanzania imekwama kama bagamoyo ila najua uko hapa umelipwa kusifia magufooli
Sent using Jamii Forums mobile app
Speed and quantity favors Kenya on that front.Hapana, ila mzigo ukiwekwa kwenye mabehewa Dar haupakuliwi mpaka ukifika Port Bell kupitia ziwa Victoria. Wakati ule wa Mombasa ukifika Naivasha unapakuliwa na kuwekwa kwenye malori na kupelekwa kupandishwa kwenye ile reli ya zamani. Kutoka hapo ndiyo inakwenda mpaka Port Bell kupitia ziwani.
Alright! I digress.Speed and quantity favors Kenya on that front.
Bagamoyo tumeachana nao mlevi tu angekubaliana naoTumetekeleza miradi mingi ila wewe kwa akili zako unaona mradi mmoja na kuchukulia ndo hali kila mahali.....kuna miradi mingi Tanzania imekwama kama bagamoyo ila najua uko hapa umelipwa kusifia magufooli
Sent using Jamii Forums mobile app
Lamu inasonga vizuri enda uangalie updatesBagamoyo tumeachana nao mlevi tu angekubaliana nao
Lamu mliyojinasibu nayo imewashinda hela hamna
πππππππππ