Rwanda: Shule, ofisi zafungwa kwa siku 14 kutokana na maambukizi ya Corona

Rwanda: Shule, ofisi zafungwa kwa siku 14 kutokana na maambukizi ya Corona

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Serikali ya Rwanda kupitia Wizara ya Afya imetangaza kuchukua tahadhari mbalimbali baada ya kutangaza mgonjwa wa Corona nchini humo.

Shule na taasisi za elimu ya juu zitafungwa kwa siku 14 kuanzia kesho. Kuanzia leo ibada zote zitafanyika nyumbani.

Wafanyakazi pia wametakiwa kubaki nyumbani. Biashaa na migahawa itabaki wazi na wateja wametakiwa kukaa umbali wa mita moja.

D07048A2-4468-4F40-9CCB-16955170DAF7.jpeg
 
Haya mambo ni magumu, mpaka hapa hali ni tete. Hadi naogopa mimi.

Hawa virus hawachagui hawabagui. Nilikuwa siogopi sana until trump dinner companion alivokuwa tested positive for coronavirus, Trump nae akapimwa majibu yametanganzwa ni negative lakini sidhani hata kama ni positive wangesema.

Naogopa, leo mimi na familia yangu tumeamua kuanza rasmi kujifungia ndani mpaka hapo baadae.
 
Haya mambo ni magumu, mpaka hapa hali ni tete. Hadi naogopa mimi.

Hawa virus hawachagui hawabagui. Nilikuwa siogopi sana until trump dinner companion alivokuwa tested positive for coronavirus, Trump nae akapimwa majibu yametanganzwa ni negative lakini sidhani hata kama ni positive wangesema.

Naogopa, leo mimi na familia yangu tumeamua kuanza rasmi kujifungia ndani mpaka hapo baadae.
Kwani wewe upo nchi gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawapongeza sana na hii ndio akili.

Binfasi nimeshauri hatua kama hizi katika uzi wangu hapa JF ila kuna watu wamenibeza, nashukuru kwa taarifa hii kama ni ya kweli kwani huenda maoni yetu haya sasa yakapata nguvu.
 
Sisi hatuhitaji hayo, Sisi tunahitaji kuzuia wazungu na wachina kuja nchini kwanza kwa muda wa miezi miwili hadi mitatu.

Rwanda nao ni wanafiki tu, wanachukua hizo measures huku bado wakiruhusu wazungu na wachina kuingia nchini mwao. Huu ni usanii wa kufanya mambo kwa "fasheni"
 
Back
Top Bottom