Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehehehtanzania ndio tunajifanya tuna roho ngumu majamaa kutoka nchi za ulaya yanaingia bila hofu halafu huyo mwanamke anatuambia amewapima hawana virus wakati mtu anaweza akakaa navyo siku 14 bila kuonesha dalili zozote
Acha porojo kwenye mambo mhimu mkuuSisi hatuhitaji hayo, Sisi tunahitaji kuzuia wazungu na wachina kuja nchini kwanza kwa muda wa miezi miwili hadi mitatu.
Rwanda nao ni wanafiki tu, wanachukua hizo measures huku bado wakiruhusu wazungu na wachina kuingia nchini mwao. Huu ni usanii wa kufanya mambo kwa "fasheni"
Ondoa shaka, you are safe, Mungu amekulinda!Haya mambo ni magumu, mpaka hapa hali ni tete. Hadi naogopa mimi.
Hawa virus hawachagui hawabagui. Nilikuwa siogopi sana until trump dinner companion alivokuwa tested positive for coronavirus, Trump nae akapimwa majibu yametanganzwa ni negative lakini sidhani hata kama ni positive wangesema.
Naogopa, leo mimi na familia yangu tumeamua kuanza rasmi kujifungia ndani mpaka hapo baadae.
Hhhhahaikifia tz mnishtue
,nataka nimpigie simu mhindi nipo kwenye self isolation siku 21 sitakuwepo kazini....
#CORONAVIRUS: Serikali ya Tanzania imesitisha mashindano ya michezo ya UMISETA na UMITASHUMTA yaliyokuwa yafanyike hivi karibuni ikiwa ni katika kuchukua tahadhari ya kujikinga na maambukizi ya #coronaSerikali ya Rwanda kupitia Wizara ya Afya imetangaza kuchukua tahadhari mbalimbali baada ya kutangaza mgonjwa wa Corona nchini humo.
Shule na taasisi za elimu ya juu zitafungwa kwa siku 14 kuanzia kesho. Kuanzia leo ibada zote zitafanyika nyumbani.
Wafanyakazi pia wametakiwa kubaki nyumbani. Biashaa na migahawa itabaki wazi na wateja wametakiwa kukaa umbali wa mita moja.
View attachment 1388754
Huu ugonjwa umekuwa biashara sasa.
Nyinyi na akina nani??!Sisi tunasubiri tupate kisa cha Corona ndipo tuanze kuchukua tahadhari.
Kwa sasa mask ni ndio biashara na hazipo.Ya kuuza nini na kununua nini?
Rwanda wamechukua hatua hiyo baada ya ugonjwa kuingia humoSisi tunasubiri tupate kisa cha Corona ndipo tuanze kuchukua tahadhari.
Kwahiyo?Rwanda wamechukua hatua hiyo baada ya ugonjwa kuingia humo
Sisi na wakina Magdalena.Nyinyi na akina nani??!
Jikite kwenye mada wewe.Sisi na wakina Magdalena.
Ndivyo ilivyo...Kwahiyo?
WAMEPANIKI BURE TU.
MNAUPA KIKI SANA HUU UGONJWA WAKATI AFRICA SIO ISHU WALA NINI.
Sent using Jamii Forums mobile app