Masanja
JF-Expert Member
- Aug 1, 2007
- 5,319
- 10,416
Hivi wazee kiswahili na kiingereza haviwezi ku-coexist?
Kawa walivyosema wenzangu hapo juu, bwana dunia ya leo bila kidhungu you are out! Mkandara ana hoja nzuri sana, lakini sadly, practicalities za hoja zake ni ngumu sana kwa ulimwengu tunaoishi....
Tanzania ni nchi masikini, kila kitu mpaka sindano kinatolewa nje, sasa mkuu hicho kiswahili ambacho tukikisoma kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu..kitatusaidia vipi? Ungeniambia kwamba kuna kazi za wavumbuzi wetu wanalazimika kuzitoa katika kiingereza ningesema haya..sasa ni uvumbuzi upi tunafanya? we are just beggars..hiki kiswahili..watu wanapiga kele tuu..lakini hata wao hawayaamini maneno yao...Tuache ndoto za alinacha kwamba ubepari unashindwa, kwamba USA inadondoka...(hizo ni ndoto za akina Chavez na wenzake) Ukweli ni kwamba we are still depending on the western world-big time. Hata China (au India) na lugha yao..ni wachina wangapi wanakwenda kusoma vyuo vya USA au UK bila kujua kiingereza? na mind you ni thousands of Chinese students wanaoenda huko magharibi kila mwaka...ila wanajua kichina na wanaweka bidii ya kujifunza kiingereza (kama hujui..ofcourse hutapata admission). Well aware that PhD ya MIT au Princeton huwezi kuilinganisha na ya Shanghai University! Kwa hiyo to me kiingereza bado kina nafasi kubwa sana ya kushape maisha ya dunia ya leo.
Labda nishauri kwamba serikali ichukue juhudi za maksudi kuhakikisha kiswahili hakimezwi na kiingereza. Kwamba masomo yote yaende sambamba. Kadri tunavyokua kiuchumi tunaweza kubadilisha mitaala yetu kuhakikisha kiswahili kinatufaa mbeleni. Kwa sasa kuniambia kwamba tusome kiswahili kuanzia darasa la kwanza ni kuniambia niwe mzalendo kwa nchi yangu, bila mimi kujiangalia.
Kifaransa is just a dead language, France is just suffering from colonial hangover. Ni wapi utakapoomba kazi..ukapewa sharti la kujua kifaransa zaidi ya UN? (and there thousands katika UN ambao hata hiyo French hawajui)! Ni rahisi kukuta mtu anayeongea Kiingereza hajui kifaransa..but si rahisi kukuta mtu anayongea kifaransa hajui kiingereza. Dunia ya leo? wanaweza kuwepo lakini ni huko huko vijijini Ufaransa!
So uamuzi wa Kagame ni safi sana na unastahili kupongezwa. Kwani Kinyarwanda kipo tuu na hakuna atakayezaliwa Rwanda..aeti asijue kinyarwanda kwa kuwa siyo medium language. We mtu na umaskini wako kama Rwanda..leo uanze kuflex muscle eti kiingereza hakifai? wakati hata calculator ni ya kiingereza?
Hii dhana eti watu wanafeli form four kwa ajili ya kiingereza nadhani ni POTOFU. hamjajiuliza kwanini wanafunzi wanapata F YA KISWAHILI? ambayo ni lugha tunayoijua?
Kawa walivyosema wenzangu hapo juu, bwana dunia ya leo bila kidhungu you are out! Mkandara ana hoja nzuri sana, lakini sadly, practicalities za hoja zake ni ngumu sana kwa ulimwengu tunaoishi....
Tanzania ni nchi masikini, kila kitu mpaka sindano kinatolewa nje, sasa mkuu hicho kiswahili ambacho tukikisoma kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu..kitatusaidia vipi? Ungeniambia kwamba kuna kazi za wavumbuzi wetu wanalazimika kuzitoa katika kiingereza ningesema haya..sasa ni uvumbuzi upi tunafanya? we are just beggars..hiki kiswahili..watu wanapiga kele tuu..lakini hata wao hawayaamini maneno yao...Tuache ndoto za alinacha kwamba ubepari unashindwa, kwamba USA inadondoka...(hizo ni ndoto za akina Chavez na wenzake) Ukweli ni kwamba we are still depending on the western world-big time. Hata China (au India) na lugha yao..ni wachina wangapi wanakwenda kusoma vyuo vya USA au UK bila kujua kiingereza? na mind you ni thousands of Chinese students wanaoenda huko magharibi kila mwaka...ila wanajua kichina na wanaweka bidii ya kujifunza kiingereza (kama hujui..ofcourse hutapata admission). Well aware that PhD ya MIT au Princeton huwezi kuilinganisha na ya Shanghai University! Kwa hiyo to me kiingereza bado kina nafasi kubwa sana ya kushape maisha ya dunia ya leo.
Labda nishauri kwamba serikali ichukue juhudi za maksudi kuhakikisha kiswahili hakimezwi na kiingereza. Kwamba masomo yote yaende sambamba. Kadri tunavyokua kiuchumi tunaweza kubadilisha mitaala yetu kuhakikisha kiswahili kinatufaa mbeleni. Kwa sasa kuniambia kwamba tusome kiswahili kuanzia darasa la kwanza ni kuniambia niwe mzalendo kwa nchi yangu, bila mimi kujiangalia.
Kifaransa is just a dead language, France is just suffering from colonial hangover. Ni wapi utakapoomba kazi..ukapewa sharti la kujua kifaransa zaidi ya UN? (and there thousands katika UN ambao hata hiyo French hawajui)! Ni rahisi kukuta mtu anayeongea Kiingereza hajui kifaransa..but si rahisi kukuta mtu anayongea kifaransa hajui kiingereza. Dunia ya leo? wanaweza kuwepo lakini ni huko huko vijijini Ufaransa!
So uamuzi wa Kagame ni safi sana na unastahili kupongezwa. Kwani Kinyarwanda kipo tuu na hakuna atakayezaliwa Rwanda..aeti asijue kinyarwanda kwa kuwa siyo medium language. We mtu na umaskini wako kama Rwanda..leo uanze kuflex muscle eti kiingereza hakifai? wakati hata calculator ni ya kiingereza?
Hii dhana eti watu wanafeli form four kwa ajili ya kiingereza nadhani ni POTOFU. hamjajiuliza kwanini wanafunzi wanapata F YA KISWAHILI? ambayo ni lugha tunayoijua?