Rwanda vs Tanzania Military system what in public makes Rwanda Stronger vs Tanzania and why Rwanda shouldn't try it.

Rwanda vs Tanzania Military system what in public makes Rwanda Stronger vs Tanzania and why Rwanda shouldn't try it.

snipa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
4,437
Reaction score
2,043
download.jpeg


Guys Leo nimeona nizungumzie kuhusu air defense system ambazo Rwanda Wana deploy.

Asilimia kubwa ya system ambazo ziko public Rwanda anazinunua zinatoka Russia lakini watz wengi wamekua na hofu kwamba Rwanda anakuwa more strong zaidi ya Tanzania na kubwa ambacho pia wengi hawaelewi ni efficiency ya ufanyaji kazin wa air defense system.

Natoa fact ambazo zipo logic naanza hapa.

Rwanda ni nchi ndogo sana kama ilivyo Israel,
Israel anayo iron dome system ambayo kwa Sasa trump anaitaka iwepo marekani, lakini trump tusisahau ni mwanasiasa kwahiyo anaweza ongea vitu ambavyo ni impractical, kwanini nasema hivi, narudi kwa Rwanda, Ili watu wote wanaofikiri Rwanda inaweza kuwa strong kuliko Tanzania.

Iron Dome inafanya kazi na ilishajaribiwa na Iran, asilimia kubwa ya ballistic missile zilipita kwenye iron dome ambayo Israel wanaitegemea.
Marekani Ina ukubwa wa zaidi ya mara 490 ya Israel,
Israel ni nchi ndogo sana tuachane na mambo ya Yesu kwamba Israel ni taifa teule, hicho kitu kwenye practice hakipo kwasabu Israel anategemea air attack na air defense.
Trump akitaka aweke iron dome marekani bajet inaweza zidi one T $ kwasabu tu ya ukubwa wa marekani.

Tanzania tukisema wanunue air defense system kama za Rwanda basi tunaweza lala njaa zaidi ya miaka na tutakufa wote hivyo basi ground attack kwa Rwanda inatosha kuipoteza kabisa, na Rwanda ikawa kama ka mkoa ka TZ
Rwanda ni nchi ndogo sana kwahiyo wanaweza weka shield za air defense lakini ground wakafeli kwa zaidi ya 90%, kwa wote mnao ona huu Uzi mwambieni Kagame atafeli, TZ haiwezi ndiomana ukimpa fact anakimbilia mauaji ya kimbali kama Israel anavyokimbilia genocide kwa Adolf.

Trump kuweka iron dome marekani itamgharimu pesa nyingi sana ndiomana wanataka wajaribu kudeploy from space sio ground kama Israel.
Israel anapewa Kila kitu na Marekani mpaka F35 anapewa body tu na anaruhusiwa kuweka system zake kwasabu nchi zote ambazo marekani anawapa F35 ni part ya NATO kwahiyo Hana haha ya kuwapa body za F35 kwasabu ukiattack hizo nnchi unakuja umeattack NATO.

Tanzania hata Rwanda aagize system gani tutampiga ground na hato toboa.

snipa
 
View attachment 3224959

Guys Leo nimeona nizungumzie kuhusu air defense system ambazo Rwanda Wana deploy.

Asilimia kubwa ya system ambazo ziko public Rwanda anazinunua zinatoka Russia lakini watz wengi wamekua na hofu kwamba Rwanda anakuwa more strong zaidi ya Tanzania na kubwa ambacho pia wengi hawaelewi ni efficiency ya ufanyaji kazin wa air defense system.

Natoa fact ambazo zipo logic naanza hapa.

Rwanda ni nchi ndogo sana kama ilivyo Israel,
Israel anayo iron dome system ambayo kwa Sasa trump anaitaka iwepo marekani, lakini trump tusisahau ni mwanasiasa kwahiyo anaweza ongea vitu ambavyo ni impractical, kwanini nasema hivi, narudi kwa Rwanda, Ili watu wote wanaofikiri Rwanda inaweza kuwa strong kuliko Tanzania.

Iron Dome inafanya kazi na ilishajaribiwa na Iran, asilimia kubwa ya ballistic missile zilipita kwenye iron dome ambayo Israel wanaitegemea.
Marekani Ina ukubwa wa zaidi ya mara 490 ya Israel,
Israel ni nchi ndogo sana tuachane na mambo ya Yesu kwamba Israel ni taifa teule, hicho kitu kwenye practice hakipo kwasabu Israel anategemea air attack na air defense.
Trump akitaka aweke iron dome marekani bajet inaweza zidi one T $ kwasabu tu ya ukubwa wa marekani.

Tanzania tukisema wanunue air defense system kama za Rwanda basi tunaweza lala njaa zaidi ya miaka na tutakufa wote hivyo basi ground attack kwa Rwanda inatosha kuipoteza kabisa, na Rwanda ikawa kama ka mkoa ka TZ
Rwanda ni nchi ndogo sana kwahiyo wanaweza weka shield za air defense lakini ground wakafeli kwa zaidi ya 90%, kwa wote mnao ona huu Uzi mwambieni Kagame atafeli, TZ haiwezi ndiomana ukimpa fact anakimbilia mauaji ya kimbali kama Israel anavyokimbilia genocide kwa Adolf.

Trump kuweka iron dome marekani itamgharimu pesa nyingi sana ndiomana wanataka wajaribu kudeploy from space sio ground kama Israel.
Israel anapewa Kila kitu na Marekani mpaka F35 anapewa body tu na anaruhusiwa kuweka system zake kwasabu nchi zote ambazo marekani anawapa F35 ni part ya NATO kwahiyo Hana haha ya kuwapa body za F35 kwasabu ukiattack hizo nnchi unakuja umeattack NATO.

Tanzania hata Rwanda aagize system gani tutampiga ground na hato toboa.

snipa
Acha kuandika hisia kwa kuwa umeona tu picha ya gari sphiscated uwanja wa vita likiwa chini ya M23. KUIFANANISHA Tanzania ambayo ubora wa jeshi lake ni namba 15 Africa dhidi ya Rwanda ambayo haiko hata kwenye top 25 ni kuidhalilisha Tanzania.

Screenshot_20250131_105207_Chrome.jpg
 
Acha kuandika hisia kwa kuwa umeona tu picha ya gari sphiscated uwanja wa vita likiwa chini ya M23. KUIFANANISHA Tanzania ambayo ubora wa jeshi lake ni namba 15 Africa dhidi ya Rwanda ambayo haiko hata kwenye top 25 ni kuidhalilisha Tanzania.

View attachment 3224980
Hii report ni ya kiboya, Democratic republic of Congo ndiyo hii inatandikwa na waasi kila siku?
Halafu wanashika namba 8?
 
Acha kuandika hisia kwa kuwa umeona tu picha ya gari sphiscated uwanja wa vita likiwa chini ya M23. KUIFANANISHA Tanzania ambayo ubora wa jeshi lake ni namba 15 Africa dhidi ya Rwanda ambayo haiko hata kwenye top 25 ni kuidhalilisha Tanzania.

View attachment 3224980
Jinga sana.
Kwahiyo kwa report Yako wewe kama wewe unaamini msumbiji Iko juu ya TZ?
 
Hii report ni ya kiboya, Democratic republic of Congo ndiyo hii inatandikwa na waasi kila siku?
Halafu wanashika namba 8?
Raisi wa congo ni kikundi Cha wahuni, wa US wanaotumia UN kuexploit Africa kwasabu bila Congo hawatoboi kuanzia electric system zao mpaka smartphones.
Mercenaries wote wa congo wanalipwa na US indirectly.
Congo wanafanya mapinduzi sio coup d'etat.
 
Hii report ni ya kiboya, Democratic republic of Congo ndiyo hii inatandikwa na waasi kila siku?
Halafu wanashika namba 8?
Nani anawatandika DRC?? Mbona una hitimisho la kipumbavu sana!! Goma siyo DRC bali ni sehemu ya DRC. Hapo kuna masilahi ya nchi nyingi, approach yake siyo kama unavyoona wewe
 
Acha kuandika hisia kwa kuwa umeona tu picha ya gari sphiscated uwanja wa vita likiwa chini ya M23. KUIFANANISHA Tanzania ambayo ubora wa jeshi lake ni namba 15 Africa dhidi ya Rwanda ambayo haiko hata kwenye top 25 ni kuidhalilisha Tanzania.

View attachment 3224980
Madesa (Simbi) mengine ni hatari sana - unaweza kudisco.
 
Leta takwimu zako zilizo sahihi wewe kenge ndiyo uponde zangu. Siyo kutoa blanket statement kama hiyo
Sijaponda takwimu zako ila wewe hujielewi, na huelewi unachokisema, we unafikiri military capabilities zipo public kama unavyofikiri Kwa mnemba, ndiomana infact kabisa UK now hayupo top 5 na huwezi mfananisha na inchi kam Iran, kilichobaki ni kutegemea tu NATO, na mbaya zaidi trump ndio huyo.
 
Acha kuandika hisia kwa kuwa umeona tu picha ya gari sphiscated uwanja wa vita likiwa chini ya M23. KUIFANANISHA Tanzania ambayo ubora wa jeshi lake ni namba 15 Africa dhidi ya Rwanda ambayo haiko hata kwenye top 25 ni kuidhalilisha Tanzania.

View attachment 3224980
Ndio hii Congo inayoomba msaada ina jeshi bora kuliko Tanzania?
 
Kongo kuwa namba 8 napinga mpaka milele, kwasababu ili uwe na jeshi imara inabidi uwe na vitu vikuu 3.
1.Uchumi imara
2.Teknolojia(uwe na silaha kali na za kisasa)
3.Intelejensia bora(uwe na uwezo wa kumjua adui yako kiundani mfano;ana silaha za aina gani,zina uwezo gani,uimara wake na udhaifu wake n.k)

Kongo hana vyote nilivyovitaja hapo. Turudi kwa rwanda, yes ukiilinganisha rwanda na Tanzania yes tz iko juu kijeshi kwa factors 3 nilizozitaja hapo juu.

Hapa afrika Tanzania ni nchi pekee iliyowahi kupigana vita na nchi nyingine na ikashinda. hakuna nchi nyingine iliyowahi kufanya ivo.
 
Acha kuandika hisia kwa kuwa umeona tu picha ya gari sphiscated uwanja wa vita likiwa chini ya M23. KUIFANANISHA Tanzania ambayo ubora wa jeshi lake ni namba 15 Africa dhidi ya Rwanda ambayo haiko hata kwenye top 25 ni kuidhalilisha Tanzania.

View attachment 3224980
Hii report nayo ya kimchongo Congo hao wanaowalipa wanajeshi wake dola 100 ndio iwe jeshi namba 8.
Futa ujinga huo
 
Sijaponda takwimu zako ila wewe hujielewi, na huelewi unachokisema, we unafikiri military capabilities zipo public kama unavyofikiri Kwa mnemba, ndiomana infact kabisa UK now hayupo top 5 na huwezi mfananisha na inchi kam Iran, kilichobaki ni kutegemea tu NATO, na mbaya zaidi trump ndio huyo.
Acheni kumu overrate huyu fididido, hana lolote zaidi ya kulialia na sympathy ya 1994 genocide.

Screenshot_20250205_062135_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom