Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 13,417
- 23,310
Kuomba msaada siyo udhaifu. Hata Russia imeomba msaada North Korea, despite the fact kuwa Russia ni second strongest army globallyNdio hii Congo inayoomba msaada ina jeshi bora kuliko Tanzania?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuomba msaada siyo udhaifu. Hata Russia imeomba msaada North Korea, despite the fact kuwa Russia ni second strongest army globallyNdio hii Congo inayoomba msaada ina jeshi bora kuliko Tanzania?
Usiite ujinga kwa kuwa hujui vigezo vya ripoti. Leta ripoti yako ambayo Congo iko chiniHii report nayo ya kimchongo Congo hao wanaowalipa wanajeshi wake dola 100 ndio iwe jeshi namba 8.
Futa ujinga huo
Hizi report haziko accurate huwa zinatolewa na taasisi ulizoninua silaha...Usiite ujinga kwa kuwa hujui vigezo vya ripoti. Leta ripoti yako ambayo Congo iko chini
Hivi una akili kweli.....Hii report ni ya kiboya, Democratic republic of Congo ndiyo hii inatandikwa na waasi kila siku?
Halafu wanashika namba 8?
Na hapo ndipo kwenye usahihi wake. Wao wana data za ununuzi wa silaha dunia nzima. Sasa kama una question waliowauzia silaha utaamini data gani tena?Hizi report haziko accurate huwa zinatolewa na taasisi ulizoninua silaha...
Practically ni tofauti kabisa...
Uwe unajiongeza.
Jamaa inaonekana chenga sana, kama dish kimeyumba.Hivi una akili kweli....
Ok, endelea kuwaamini.Na hapo ndipo kwenye usahihi wake. Wao wana data za ununuzi wa silaha dunia nzima. Sasa kama una question waliowauzia silaha utaamini data gani tena?
Uzi huu kama ulipanda gari za njano kwenda shule unaweza kuhamia Jamii check. HapakuhusuAliyeelewa anitumie kwa sauti, maana mara Rwanda, mAra Marekani, mara Tz, mara Israe
Nyoe waningongo😂😂😂Kongo kuwa namba 8 napinga mpaka milele, kwasababu ili uwe na jeshi imara inabidi uwe na vitu vikuu 3.
1.Uchumi imara
2.Teknolojia(uwe na silaha kali na za kisasa)
3.Intelejensia bora(uwe na uwezo wa kumjua adui yako kiundani mfano;ana silaha za aina gani,zina uwezo gani,uimara wake na udhaifu wake n.k)
Kongo hana vyote nilivyovitaja hapo. Turudi kwa rwanda, yes ukiilinganisha rwanda na Tanzania yes tz iko juu kijeshi kwa factors 3 nilizozitaja hapo juu.
Hapa afrika Tanzania ni nchi pekee iliyowahi kupigana vita na nchi nyingine na ikashinda. hakuna nchi nyingine iliyowahi kufanya ivo.