Rwanda wana assemble simu na Magari, hapa Tanzania tumekosea wapi?

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,391
Reaction score
3,849
Hivi viwanda vinatoa ajira nyingi sana, Kagame Rais wa Rwanda amefanyayaje ili kuwaingiza wawekezaji hawa kuweka viwnda nchini kwake na si kwetu Tanzania kwenye nafasi kubwa? kwanini sio nchini kwetu kwanini nauliza.

 
Sisi tunaunganisha maneno ya mipasho kwenye vitu nyeti, tunaunganisha siasa kila mahali hata majeshini, tunaunganisha kununua wabunge na madiwani, una uhakika Rwanda wanatushinda kwenye haya? Saa ingine mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni bwana. Mnazidi mno kutudharau!
 
Mzee kagame Kwa kusafiria na kutafuta fursa hajambo. Kila mikutano ya kimataifa humkosi iwe world trade organisation, G20 summit, G7 summit, n.k.
 
Kwanini Rais wetu mpendwa kwanini anashindwa kusafiri ili apate vitu adimu.
Mkuu, siyo lazima yeye. tuna mabalozi kila kona vipi hawa?Je, washauri wake hawashauri?
Shida nyingine ya viongozi wetu wa kiafrica hupenda ku-monopolize kila jambo na kupenda kusikika wao tuuuuu
 
Walisema kaa karibu na warid unukie, unaona hapo yupo karibu na walio nukia kitambo, sie tumebaki kupita barabarani kuwatia uvundo kwa kuwaita majina mabaya, wataaminije waje tuunganishe maendeleo?
 
Wanaomsaidia ni his partners in crime. They are looting DRC's minerals.
Wanafanya collabo ya kudhulmu upande uleee. Sisi sio madhulmati.
 
Hapo ukiiba bolt moja unakufa
Sisi ukiiba billion unahamishwa hiyo ndio tofauti
Naona wawekezaji wamejiridhisha kuwa ukanjanja hakuna hapo
Na sisi tujitahidi kuacha ujanja ujanja kila kampuni itawekeza
 
Si Tanzania ni Tajiri inakila kitu! Madini, mbuga, bandari,wananchi wengi! Basi nchi nitajiri inatosha.

RWASAT1:Satellite ya pili inarushwa next month hiyo hapo.
Kazi yake ni ku gather informations na kuzituma.


A satellite built by three Rwandan engineers and a team of Japanese at Tokyo University, Japan will be launched into orbit next month.


According to Takayoshi Fukuyo, one of the developers, the HTV-8 "Koutonori 8", a cargo ship which stores RWASAT-1 was captured by the robotic arm of the International Space Station on September 28.

RWASAT-1 is a mini satellite, commonly as CubeSats. These are tiny satellites that are deployed into low earth orbit from where they can send information to ground stations.
 

Attachments

  • IMG_20191008_205726.jpg
    22.4 KB · Views: 1
This Amorock assembled in Rwanda, hawa ndio raia wanaostahili kupigiwa salute, bado tuna Nyumbu jazz band tutafika tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…