Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Rwanda imefunga maelfu ya makanisa na misikiti katika kile serikali ya nchi hiyo inachosema ni kushindwa kukidhi vigezo vya usalama na afya.
Je, Kuna miongozo yoyote ya usalama na afya kwa makanisa na misikiti Tanzania? Tunahitaji kumuiga Kagame katika hili, amefanikwa sana kuiweka nchi ya Rwanda katika mstari ulionyooka kuhusiana na masuala ya kidini.
Je, Kuna miongozo yoyote ya usalama na afya kwa makanisa na misikiti Tanzania? Tunahitaji kumuiga Kagame katika hili, amefanikwa sana kuiweka nchi ya Rwanda katika mstari ulionyooka kuhusiana na masuala ya kidini.