Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 587
- 800
Rais wa Rwanda Paul Kagame na serikali yake wamelalamikia vikwazo vilivyowekwa na Uingereza dhidi yake.
Serikali ya Rwanda imesema vikwazo vilivyowekwa na Uingereza kuihusu Rwanda baada ya kushutumiwa kuunga mkono machafuko nchini DRC kwa kutoa misaada ya kijeshi na zana kwa kundi la waasi la M23 sasa wameelewa Uingereza ipo upande upi hasa,
Aidha, vikwazo hivyo vitaleta mtikisiko katika serikali na wananchi kwa ujumla na kamwe watasimamia usalama wa raia wao na kutoogopa vikwazo ingawa vina madhara dhidi yao, msemaji wa serikali ya Rwanda Bi Yolande Makolo amesema wamepewa shutuma zisizo na ukweli juu ya kuunga mkono wanamgambo waasi wa M23.
Deutch Welle.(DW)
Serikali ya Rwanda imesema vikwazo vilivyowekwa na Uingereza kuihusu Rwanda baada ya kushutumiwa kuunga mkono machafuko nchini DRC kwa kutoa misaada ya kijeshi na zana kwa kundi la waasi la M23 sasa wameelewa Uingereza ipo upande upi hasa,
Aidha, vikwazo hivyo vitaleta mtikisiko katika serikali na wananchi kwa ujumla na kamwe watasimamia usalama wa raia wao na kutoogopa vikwazo ingawa vina madhara dhidi yao, msemaji wa serikali ya Rwanda Bi Yolande Makolo amesema wamepewa shutuma zisizo na ukweli juu ya kuunga mkono wanamgambo waasi wa M23.
Deutch Welle.(DW)