Rais wa Rwanda Paul Kagame na serikali yake wamelalamikia vikwazo vilivyowekwa na Uingereza dhidi yake.
Serikali ya Rwanda imesema vikwazo vilivyowekwa na Uingereza kuihusu Rwanda baada ya kushutumiwa kuunga mkono machafuko nchini DRC kwa kutoa misaada ya kijeshi na zana kwa kundi la waasi la M23 sasa wameelewa Uingereza ipo upande upi hasa,
Aidha, vikwazo hivyo vitaleta mtikisiko katika serikali na wananchi kwa ujumla na kamwe watasimamia usalama wa raia wao na kutoogopa vikwazo ingawa vina madhara dhidi yao, msemaji wa serikali ya Rwanda Bi Yolande Makolo amesema wamepewa shutuma zisizo na ukweli juu ya kuunga mkono wanamgambo waasi wa M23.
Kwani kuna siku wananchi wa eastern DRC walilalamikia kuwa sehemu ya DRC? Makundi ya wahuni yavamie nchi kwa ufadhili wa nchi nyingine halafu wananchi waulizwe kama wanataka kujitenga au la? Hakuna referendum ya hivyo.
Rais wa Rwanda Paul Kagame na serikali yake wamelalamikia vikwazo vilivyowekwa na Uingereza dhidi yake.
Serikali ya Rwanda imesema vikwazo vilivyowekwa na Uingereza kuihusu Rwanda baada ya kushutumiwa kuunga mkono machafuko nchini DRC kwa kutoa misaada ya kijeshi na zana kwa kundi la waasi la M23 sasa wameelewa Uingereza ipo upande upi hasa,
Aidha, vikwazo hivyo vitaleta mtikisiko katika serikali na wananchi kwa ujumla na kamwe watasimamia usalama wa raia wao na kutoogopa vikwazo ingawa vina madhara dhidi yao, msemaji wa serikali ya Rwanda Bi Yolande Makolo amesema wamepewa shutuma zisizo na ukweli juu ya kuunga mkono wanamgambo waasi wa M23.
Kama ulaya walikubali Ukraine ikamegwa na Urus kule Crimea basi hawana sifa ya kuzuia hayo huko Congo. Lakini pia Trump na wajinga wenzake wanasema Russia yupo sawa kuivamia Ukraine basi hata Rwanda afanye anavyoona ni sawa.
Kwani kuna siku wananchi wa eastern DRC walilalamikia kuwa sehemu ya DRC? Makundi ya wahuni yavamie nchi kwa ufadhili wa nchi nyingine halafu wananchi waulizwe kama wanataka kujitenga au la? Hakuna referendum ya hivyo.
Baada ya Uingereza kuikatia misaada Rwanda hivi punde kutokana na mauaji ya Halaiki huko Congo ili kuiba madini Hatimaye Uingereza imeungana na Ubelgiji kuiwekea kukata misaada Rwanda.
Rwanda ilijibu mapigo kwa ubelgiji kwa kuiwekea Vikwazo.
Inavodaiwa Vikwazo Lukuki vinakuja baada ya Marekani kuanza na viongozi wa M23
je inauwezo wa kuiwekea vikwazo pia uingereza.
Kama ulaya walikubali Ukraine ikamegwa na Urus kule Crimea basi hawana sifa ya kuzuia hayo huko Congo. Lakini pia Trump na wajinga wenzake wanasema Russia yupo sawa kuivamia Ukraine basi hata Rwanda afanye anavyoona ni sawa.
Rais wa Rwanda Paul Kagame na serikali yake wamelalamikia vikwazo vilivyowekwa na Uingereza dhidi yake.
Serikali ya Rwanda imesema vikwazo vilivyowekwa na Uingereza kuihusu Rwanda baada ya kushutumiwa kuunga mkono machafuko nchini DRC kwa kutoa misaada ya kijeshi na zana kwa kundi la waasi la M23 sasa wameelewa Uingereza ipo upande upi hasa,
Aidha, vikwazo hivyo vitaleta mtikisiko katika serikali na wananchi kwa ujumla na kamwe watasimamia usalama wa raia wao na kutoogopa vikwazo ingawa vina madhara dhidi yao, msemaji wa serikali ya Rwanda Bi Yolande Makolo amesema wamepewa shutuma zisizo na ukweli juu ya kuunga mkono wanamgambo waasi wa M23.