johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
πππ Kwa hio Rwanda hauwezi kwenda ukaishi kisela?UNLIKE nchi fulani fulani za hapa east afrika ambapo mtu kutoka msumbiji/zimbabwe/congo/butundi anaweza kuingia tu na akaishi kisela and no body cares.
ππ nirahisi mtu kotoka uganda anayecharaza kiswahili kuishi hapo geita kahama bukoba na kucheza draft na wana kuliko mmakonde kuishi rwanda kwanza kufanana nao hufanani nao utachunguzwa kirahisi mnooπππ Kwa hio Rwanda hauwezi kwenda ukaishi kisela?
Umeeleweka vizuri!ππ nirahisi mtu kotoka uganda anayecharaza kiswahili kuishi hapo geita kahama bukoba na kucheza draft na wana kuliko mmakonde kuishi rwanda kwanza kufanana nao hufanani nao utachunguzwa kirahisi mnoo
Labda chadema imeshika dola mkuuCHADEMA inafanya nini kwenye mapigano kuanzia DRC, Rwanda hadi Cabo Delgado? Au bado nina hangover ya kimpumu? Bila jibu, Sabato imekataliwa kuwa njema.
Yawezekana bila kuiweka CHADEMA kwenye nyuzi zinakosa wachangiaji!Maana binadamu wana mbinu sana.Labda chadema imeshika dola mkuu
Ova
Mada ni UgaidiCHADEMA inafanya nini kwenye mapigano kuanzia DRC,Rwanda hadi Cabo Delgado?Au bado nina hangover ya kimpumu?Bila jibu,Sabato imekataliwa kuwa njema.
Umeshindwa kuiunganisha hoja. Inaning'inia. Kuanza upya siyo ujinga gitogito.Mada ni Ugaidi
Duh..... si kwa makorokocho hayo, duhChadema ni chama cha wastani barani Africa lakini kwa wiki mbili Tatu kimekuwa gumzo huko Merekani na Ulaya
Lakini kilichonishangaza ni namna Nchi kubwa ya Msumbiji inavyoitegemea nchi ndogo ya Rwanda kiulinzi
Baada ya magaidi kuuwa askari kadhaa wa Msumbiji mh Kagame ametuma Wanajeshi zaidi nchini humo kuimarisha Ulinzi
Sabato njema!
Ni rahisi sana mnyarwanda, mburundi, mkenya, mnaijeria, mbotswana, mmalawi, mganda, mmozambiq, mmisri, muethiopia, msomali, mtunisia, msouth Africa, mlibya, mkongo, nghana, msenegali, mkameruni, mzambia, n.k kuishi bongo tena wanajichanganya wanakua wabongo na wanaoa bongo wanaolewa bongo hadi wanalowea bongo ni ngumu kumgundua maana wengi tumechanganyikana vururuvururu,ππ nirahisi mtu kotoka uganda anayecharaza kiswahili kuishi hapo geita kahama bukoba na kucheza draft na wana kuliko mmakonde kuishi rwanda kwanza kufanana nao hufanani nao utachunguzwa kirahisi mnoo
Nilidhani BASHIRU ALLY KUPIGA BOMU lingine kumbe Kamanda Mbowe kuhutubia TaifaChadema ni chama cha wastani barani Africa lakini kwa wiki mbili Tatu kimekuwa gumzo huko Merekani na Ulaya
Lakini kilichonishangaza ni namna Nchi kubwa ya Msumbiji inavyoitegemea nchi ndogo ya Rwanda kiulinzi
Baada ya magaidi kuuwa askari kadhaa wa Msumbiji mh Kagame ametuma Wanajeshi zaidi nchini humo kuimarisha Ulinzi
Sabato njema!
Itakuwa ulikuwa haujazaliwa wakati Israeli ilipozichakaza nchi za kiaarabu kwenye vita vya siku sita, hivyo ukubwa wa nchi si uimara wa jeshi.Chadema ni chama cha wastani barani Africa lakini kwa wiki mbili Tatu kimekuwa gumzo huko Merekani na Ulaya
Lakini kilichonishangaza ni namna Nchi kubwa ya Msumbiji inavyoitegemea nchi ndogo ya Rwanda kiulinzi
Baada ya magaidi kuuwa askari kadhaa wa Msumbiji mh Kagame ametuma Wanajeshi zaidi nchini humo kuimarisha Ulinzi
Sabato njema!
Basi akafika.Ajatembeeeeeaaaa.Ndiyo hivyo.Una buku hapo?Marekani kule Rocky mountains.Ndiyo hapo sasa.Mume wa Nancy Pelosi,nyundo mkichwa.Vichwa vya treni Tanzania.Umeelewa mkuu?Ndiyo hiyo hadithi ya John πππππDuh.....
Naunga mkono hoja, vyama vikubwa visidharau vyama vidogo, nchi kubwa tusidharau nchi ndogo na kuziita "hivi vinchi. Rwanda ndio inayoongoza nchi zote za Africa Mashariki kwenye Easy to do bussiness indexChadema ni chama cha wastani barani Africa lakini kwa wiki mbili Tatu kimekuwa gumzo huko Merekani na Ulaya
Lakini kilichonishangaza ni namna Nchi kubwa ya Msumbiji inavyoitegemea nchi ndogo ya Rwanda kiulinzi
Baada ya magaidi kuuwa askari kadhaa wa Msumbiji mh Kagame ametuma Wanajeshi zaidi nchini humo kuimarisha Ulinzi
Sabato njema!
Anajaribu kutuma ujumbe kuwa Chadema ni magaidi wanawapa siraha magaidi wenzao wa msumbiji! Kwa asiyemjua huyu mjamaa atapata shida sana.CHADEMA inafanya nini kwenye mapigano kuanzia DRC,Rwanda hadi Cabo Delgado?Au bado nina hangover ya kimpumu?Bila jibu,Sabato imekataliwa kuwa njema.
CCM wamevurugwa hadi wnaongea kwa lugha za kichawiBasi akafika.Ajatembeeeeeaaaa.Ndiyo hivyo.Una buku hapo?Marekani kule Rocky mountains.Ndiyo hapo sasa.Mume wa Nancy Pelosi,nyundo mkichwa.Vichwa vya treni Tanzania.Umeelewa mkuu?Ndiyo hiyo hadithi ya John πππππ
Mimi pia nilikuwa natafakariπCHADEMA inafanya nini kwenye mapigano kuanzia DRC,Rwanda hadi Cabo Delgado?Au bado nina hangover ya kimpumu?Bila jibu,Sabato imekataliwa kuwa njema.