Rwanda yapeleka Wanajeshi zaidi Msumbiji kuwakabili magaidi

Rwanda yapeleka Wanajeshi zaidi Msumbiji kuwakabili magaidi

Kagame amepeleka wa tusti wenzie Mozambique kulinda maslahi ya kampuni ya total ya France. Sio kupigana na magaidi. KILA KITU DUNIANI KINAUZWA TATIZO BEI AMJAAFIKIANA
 
Kinacho isaidia rwanda kiintekijensia
1. Nchi ndogo
2. Nchi ya wanaofanana kwa asilimia kubwa(akitokea mtu wa taifa jingine kujipenyeza huko ni rahisi kumbaini)
3. Ili umteke kiintelijensia unapaswa kutengeneza wasaliti wa humohumo nchini mwake(jambo ambalo hata wao wanalijua kuwa kufanya hivyo ni kujisogeza karibu na kabuli kokote kule duniani utakako kuwa)

UNLIKE nchi fulani fulani za hapa east afrika ambapo mtu kutoka msumbiji/zimbabwe/congo/butundi anaweza kuingia tu na akaishi kisela and no body cares.
Sabato njema
Yes ila watu watakujuwa ila hawatakuwa na time na wewe mpaka pale utakapo wazinguwa
 
Naunga mkono hoja, vyama vikubwa visidharau vyama vidogo, nchi kubwa tusidharau nchi ndogo na kuziita "hivi vinchi. Rwanda ndio inayoongoza nchi zote za Africa Mashariki kwenye Easy to do bussiness index
Kitendo cha kuita nchi majirani zako kuwa ni "vinchi" ni uungwana?!
P

Nchi ndogo muhimu kuheshimu nchi kubwa, zenye historia kubwa na zitakazo wasaidia wakiwa wakimbizi na kuanza kuuana.

Nchi ambazo zitasaidia kuleta Amani mambo yakivurugika na kuwaunganisha tena.
 
Nchi ndogo muhimu kuheshimu nchi kubwa, zenye historia kubwa na zitakazo wasaidia wakiwa wakimbizi na kuanza kuuana.

Nchi ambazo zitasaidia kuleta Amani mambo yakivurugika na kuwaunganisha tena.
Kagame ni mtovu wa nidhamu,uzee unamyumbisha kwa kuuishi ujana,anadeka na kujiona hana wa kumkemea.Ana changamoto sana.Anadhani anaweza kuwaambia wanaume wenzie atawapiga halafu na wao waufyate.Anakwama sehemu na siku zake zinahesabika.
 
CHADEMA inafanya nini kwenye mapigano kuanzia DRC,Rwanda hadi Cabo Delgado?Au bado nina hangover ya kimpumu?Bila jibu,Sabato imekataliwa kuwa njema.
Anajaribu kutuma ujumbe kuwa ni magaidi wanawapa siraha magaidi wenzao wa msumbiji! Kwa asiyemjua huyu mjamaa syapata
Mbowe akihutubia USA anakuwa anawagawia magaidi silaha?Kavurugwa huyo mjukuu wa Mgaya.😂😂
Mimi kaniacha hoi nikaamua kumuacha apite na midabwada yake.
 
Ni rahisi sana mnyarwanda, mburundi, mkenya, mnaijeria, mbotswana, mmalawi, mganda, mmozambiq, mmisri, muethiopia, msomali, mtunisia, msouth Africa, mlibya, mkongo, nghana, msenegali, mkameruni, mzambia, n.k kuishi bongo tena wanajichanganya wanakua wabongo na wanaoa bongo wanaolewa bongo hadi wanalowea bongo ni ngumu kumgundua maana wengi tumechanganyikana vururuvururu,

Hakuna muonekano mmoja wa ID (single ID) ya mtanzania km walio wanyarwanda wao wana ID yao moja (single ID) ya Pua ndefu na Kimo kirefu cha miili yao na wengi ni wembamba, ukimuona tu kimuonekano unamjua tu huyu ni mnyarwanda hujiulizi maswali mengi
Bongo ni kama U.S.A tu. Kimbilio la watu wa mataifa tofauti. Hata huko Rwanda kikinuka tutawapokea tena.
 
Ni rahisi sana mnyarwanda, mburundi, mkenya, mnaijeria, mbotswana, mmalawi, mganda, mmozambiq, mmisri, muethiopia, msomali, mtunisia, msouth Africa, mlibya, mkongo, nghana, msenegali, mkameruni, mzambia, n.k kuishi bongo tena wanajichanganya wanakua wabongo na wanaoa bongo wanaolewa bongo hadi wanalowea bongo ni ngumu kumgundua maana wengi tumechanganyikana vururuvururu,

Hakuna muonekano mmoja wa ID (single ID) ya mtanzania km walio wanyarwanda wao wana ID yao moja (single ID) ya Pua ndefu na Kimo kirefu cha miili yao na wengi ni wembamba, ukimuona tu kimuonekano unamjua tu huyu ni mnyarwanda hujiulizi maswali mengi
Mhutu na mtutsi wapo sawa !.Hakina nchi iliyogawika kama Rwanda.Watutsi ni 15% ya idadi ya raia wote was Rwanda huku wahutu wakiwa 85% lakini uchumi wote na nafasi kubwa kubwa zikishikiliwa na Watutsi.

Unaposema hali ya usalama Rwanda ni bora kulikoTanzania nina kila sababu ya kukuona hujui Rwanda wala Tanzania.
 
Unaposema hali ya usalama Rwanda ni bora kulikoTanzania nina kila sababu ya kukuona hujui Rwanda wala Tanzania.
Brother haujanielewa emu tulia Kwanza kabla haujaandika comments soma kwa umakini usikurupuke utaumbuka, fuatilia comments after comments usidandie bus kwa mbele utaumia,
 
Nina wasiwasi isijekuwa PK anataka kujaza askari kusini kimtego ...
 
Back
Top Bottom