Rwanda yasema iko tayari kulipiza kisasi dhidi ya DR Congo

Rwanda yasema iko tayari kulipiza kisasi dhidi ya DR Congo

DRC na Tz ni mashamba ya bibi, moja linavunwa kwa vita na lingine linavunwa kwa amani.
 
Hapo ndo unaona kabisa rafkiako ndo adui yako yani USA atawauzia silaha wapgane badala atatue mzozo
Kwanini isiwe Urusi ambao biashara yao kubwa inayofahamika ni SILAHA
 
Ukitazama sura za Hawa maadande wa Rwanda. Unapata picha ya hali ya jeshi lao lote
IMG_20220604_153558.jpg
 
Back
Top Bottom