Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
Kwanini rwanda ashindwe kupigana na drc?"... wanataka vita dhidi yao..." My assy. Yaani Rwanda apigane na DR Congo? Licha ya instability. Watachakaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini rwanda ashindwe kupigana na drc?"... wanataka vita dhidi yao..." My assy. Yaani Rwanda apigane na DR Congo? Licha ya instability. Watachakaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule DRC Kuna wahutu kibao wakipewa silaha wataichaka Rwanda, Kagame anajua hilo"... wanataka vita dhidi yao..." My assy. Yaani Rwanda apigane na DR Congo? Licha ya instability. Watachakaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana loloteWe Bahima unawajua vizuri kweli?
Wewe una sikia DRC kwenye radio au vipi afrika tupo wa 8 ulimwenguni tupo wa 68 chezeni Na motoDRC ana jesho gani likampiga Rwanda Mkuu?
Wewe angalia kwenye statistics za inch zenye nguvu za kijeshi afrikaYaani huwa sipati jibu kitu gani kinachosababisha miaka nenda miaka Rudi congo haitengenezi organized army
Ila ni urafiki wa mashakaKagame baada ya kupatana na Museven kaanzisha chokochoko kwa Tsekedi
Sio ukorofi tunaonewa jamaani🤣 eti ka nchi kadogo,shida inaanzia hapo. kumbuka nyuki anamkimbiza tembo😂😂Kigali kuna ukorofi.
Kwanini isiwe Urusi ambao biashara yao kubwa inayofahamika ni SILAHAHapo ndo unaona kabisa rafkiako ndo adui yako yani USA atawauzia silaha wapgane badala atatue mzozo