Rwanda yavunja rekodi uuzaji Madini nje!

Rwanda yavunja rekodi uuzaji Madini nje!

Nilimsikia anasema anatuhumiwa kuiba. Kiukweli yeye haibi ila wanaoiba huwa wanapitishia Rwanda kwenda kuuza ulaya. Walaumiwe hao wanaonunua.

Nikajiuliza.
Anaruhusuje wezi kupitishia vitu nchini kwake?

Nikajiuliza nchi za wazungu zinapolicy kali sana za kununua madini yenye sintofahamu zenye chanzo damu.

Kabla sijalaumu, au kutuhumu natamani kujuq Rwanda inaelezeaje chanzo cha madini hayo. Na wanunuzi kama ni masoko yale yanayotambulika na sio wachina wajanjawajanja wananunuaje hivyo vitu?
Hivi, haiwezekani nchi ikawa wakala au dalali? Ulaya na Marekani wanayapata vipi madini ya Afrika katika masoko yao? Kwa nini isiwe kwa Rwanda?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Un country minerals wealth protection"
Un wawe na kitengo cha namna hii cha kulinda origin ya mineral kwa nchi zinapotoka, mnunuzi asiruhusiwe kununua madini bila "" "Approved certificate of minerals country origins "",
NA SMUGGLER WA HII KITU AWE ANAPATIWA ADHABU KALI STAHILI. LABDA ITASAIDIA, MINERAL COUNTRIES OWNER WAPIGANIE HILI. /
 
Hivi, haiwezekani nchi ikawa wakala au dalali? Ulaya na Marekani wanayapata vipi madini ya Afrika katika masoko yao? Kwa nini isiwe kwa Rwanda?

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
Hajasema nchini yake ni dalali. Amesema wanapitisha na halaumu au hasemi wanaopitisha ni halali au halamu anataka tulaumu wanaonunua hao wazungu ambao ni haohao wanamlaumu yeye.
 
Watu mnaipamba sana Rwanda, hivi kiuchumi Rwanda ipo juu ya Tanzania? Mimi ninachojua Tanzania Iko juu zaid, Tena Hata Rwanda Kama PK angewapa Watu uhuru wa kuongea mabaya ya serikali yangekua uchi kuliko Huku.Kubanwa Kwa uhuru wa kuongea kunafanya Watu tulio nje ya Rwanda tujue Yale tu ambaye serikali inataka tujue.

Ni wazi kwamba serikali yetu Ina madhaifu kadha wa kadha lakini kiafrica Africa huku hatupo vibaya kama wengi wetu wanavyoandika hapa, Watu waliofika Rwanda, na kutembea nchi nyingi za Africa watakua mashahidi
 
Nilimsikia anasema anatuhumiwa kuiba. Kiukweli yeye haibi ila wanaoiba huwa wanapitishia Rwanda kwenda kuuza ulaya. Walaumiwe hao wanaonunua.

Nikajiuliza.
Anaruhusuje wezi kupitishia vitu nchini kwake?

Nikajiuliza nchi za wazungu zinapolicy kali sana za kununua madini yenye sintofahamu zenye chanzo damu.

Kabla sijalaumu, au kutuhumu natamani kujuq Rwanda inaelezeaje chanzo cha madini hayo. Na wanunuzi kama ni masoko yale yanayotambulika na sio wachina wajanjawajanja wananunuaje hivyo vitu?
duniani mali haramu zote hadi human traffiking makao makuu ni DUBAI huko hakuna sheria kali ila wapo wajinga humu ndo wanawashabikia hao waarabu , China pia anauza Dubai
 
Wazungu wanampenda kwa hilo tu
Mkuu hata wazungu wanatafuta maisha kwa kila njia hata ziwe za kuuwa
Silaha zinauzwa sana ili wapate hela lakini pia watu wafe, ila hawajali

Madini yanatoka kila sehemu na inawezekana zinakuwa na damu lakini zinasafishwa na kuzigonga kama zimetoka Tz kumbe DRC

Hata wao wazungu wamekazana kusema wanaangalia hali ya usalama Mashariki ya kati lakini ukweli unajulikana kwanini wapo huko MAFUTA!
Acha niende Rwanda labda ntabahatisha kupata hata kibali chap chap cha kununua
DUBAI ndo soko la mali haramu kwasasa hao wazungu mtawalaumu kwasababu ya historia yao sio nzuri
 
kwann usihamie huko!!

unajua ni wakongo wa ngap wamekufa?? u son of bitch
kwahiyo ccmu waibe tu kisa wacongo wamekufa , mwenue sifa mpe na sio kumbania , ccmu ni corrupt huyo kagame ni muuaji lkn wananchi wake wananeemeka huko chigali sio ccmu wanaua Tanesco ili wauze majenereta na sola zao
 
DUBAI ndo soko la mali haramu kwasasa hao wazungu mtawalaumu kwasababu ya historia yao sio nzuri
Kama ni madini kwa soko la Ulaya ni ngumu kidogo lakini kama unalipia kodi sawa
Na hao Dubai wao ni kwa sababu kodi yao ni ndogo sana ila masoko kwa sasa ya madini yanaenda Phillipines na Malaysia huko far east ndio mchezo mzima
Wazungu wao pia wamo sana usiseme hawamo kwani wanauza sana silaha na wananunua vingi vya halali na haramu
Wote matajiri ni kwa ajili ya maslahi makubwa na nyuma kuna wasaidizi
Kama una mali peleka far east wala hakuna longolongo la kodi wala nini unauza tu
 
Huu ni wakati sahihi watanzania kua nchi Moja na congo, au wenyewe wa congo kwani wanasemaje?
 
Kagame anaipenda nchi inaifanya kama familia yupo radhi aibe watoto wale chakula. Viongozi wa Tanzania wanaipenda nchi kama shamba,wapo radhi wavune waende kuuza sokoni
Wakati huo huyu kahaba anatamani usiku na mchana kuwakabidhi waarabu nyani za tanganyika
 
Back
Top Bottom