Rwanda yawa nchi ya pili kukumbwa na Corona Afrika mashariki

Rwanda yawa nchi ya pili kukumbwa na Corona Afrika mashariki

Sio kweli unavyosema, testing hufanywa kwa mtu mwenye kuonyesha dalili pekee, kama hana dalili hafanyiwi testing, anachofanyiwa ni kuwekwa chini ya karantini kwa siku 14 kama ataonyesha dalili, na katika kipindi hicho cha karantini, haruhusiwi kuchanganyika na watu, hivyo sio sawa ukisema kwamba mtu ambaye hahapimwa anahatarisha watu wengine.

Kaka lazima ukubali kwamba, kama ugonjwa haujaingia nchini, nguvu lazima ziwekwe katika "Screening not testing", ukishaanza kuzagaa ndio testing inaanza kuwa muhimu. Kwanza itaanza katika maabara moja nchi nzima, kadri ugonjwa unavyoeenea ndio umuhimu wa kueneza sehemu za kupima nchi nzima unapojitokeza. Hapo Kenya ni sehemu moja tu ndio inapima Corona, kwanini usiwashauri wasambaze vipimo nchi nzima kwa sasa?, jibu ni kwamba kwasababu bado ugonjwa haujafika nchi nzima. Prudent use of public resourses.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasema kila mmoja apimwe mjadala ulikua umuhimu wa kua na test kit.
Kuhusu kuhatarisha wengine... mfano umepima joto la mtu likawa juu ukampeleka karantini, labda ana flu. baadae ukampima mwingine joto lake likawa juu, nae ukampeleka karantini pamoja na yule wa kwanza. chances are yule wa kwanza ataambukizwa na huyu wa pili.
 
Sijasema kila mmoja apimwe mjadala ulikua umuhimu wa kua na test kit.
Kuhusu kuhatarisha wengine... mfano umepima joto la mtu likawa juu ukampeleka karantini, labda ana flu. baadae ukampima mwingine joto lake likawa juu, nae ukampeleka karantini pamoja na yule wa kwanza. chances are yule wa kwanza ataambukizwa na huyu wa pili.
Wanapokua katika isolation unit maana yake hawawezi kuambukizana na wala hawawezi kuambukiza wahudumu wa afya, hiyo ndio maana ya isolation.

Ukweli ni kwamba testing haina msaada sana katika kinga, lengo kubwa ni kujiridhisha kama kweli ameambukizwa ili kufuatilia watu aliokua karibu nao, lakini "by the time huyo mtu amepimwa na majibu yamepatikana, tayari ameshawaambukiza wengine.

Njia nzuri ya kuzuia maambukizi ni "early Screening & Isolation".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanapokua katika isolation unit maana yake hawawezi kuambukizana na wala hawawezi kuambukiza wahudumu wa afya, hiyo ndio maana ya isolation.

Ukweli ni kwamba testing haina msaada sana katika kinga, lengo kubwa ni kujiridhisha kama kweli ameambukizwa ili kufuatilia watu aliokua karibu nao, lakini "by the time huyo mtu amepimwa na majibu yamepatikana, tayari ameshawaambukiza wengine.

Njia nzuri ya kuzuia maambukizi ni "early Screening & Isolation".

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa utajiridhishaje bila kupima?
Quarantine zina vitanda kadhaa kwa maana hiyo waliokua quarantined wanaweza kuabukizana kama hujapima kuhakikisha aliekua quarantined anao. Ndo maana mataifa mengine wanashauri watu kujifanyia karantini majumbani.
 
Kwa iyo unataka kuniambia Rwanda walipeleka samples SA au Kenya.Haya umeshinda fara ww.
DRC,Rwanda Garbon walijuaje case za CoronaVirus?
Stupidity at its peak. Mliuliza kuhusu list ya nchi za Afrika zilizopata kits mapema, baada ya nchi za S.A na Senegal. Ambazo hapo awali mwanzo wa Feb. ndio zilikuwa na uwezo wa kupima uwepo wa COVID-19 kwenye samples, hapa Afrika. Nikawapa update ya W.H.O ya Feb. 13 ambapo nchi zingine 5 za ziada zilikuwa zimepata kits pia, kwa jumla zikawa nchi 17. Senegal, S.A. na nchi zingine kumi, Kenya ikiwepo. Sijui mlitegemea kwamba Tz ilikuwa kwenye orodha hiyo? Hamna ufahamu wa masuala nyeti kuhusu nchi yenu? Tangu mwezi wa Feb. nchi zingine pia zime'set up' lab zao na zikapata kits pia. K.m. Rwanda wana lab moja. Coronavirus: RBC boss explains country's preparedness and readiness Hadi sasa hivi hamjajibu swali langu.
 
Sasa utajiridhishaje bila kupima?
Quarantine zina vitanda kadhaa kwa maana hiyo waliokua quarantined wanaweza kuabukizana kama hujapima kuhakikisha aliekua quarantined anao. Ndo maana mataifa mengine wanashauri watu kujifanyia karantini majumbani.
Mbona unabisha vitu usivyovijua kaka?, acha kutumia akili yako katika mambo ya kitaalamu haya kaka. Waulize madaktari na manesi watakuelimisha.

Kanuni kubwa wanayofundishwa watoa huduma ya Afya ni kwamba, haikubaliki kamwe mgonjwa kupata ugonjwa wa kuambukizwa akiwa Hospitali, sasa hiyo ni hospitali gani ambayo inaruhusu wagonjwa kuambukizana?, ikitokea hivyo maana yake hawawezi kupona na hakuna faida ya wao kupelekwa Hospitali.

Lengo la kupelekwa Hospitali ni ili asiambukize watu wengine, sasa hao wagonjwa wengine akiwaambukiza kwani wao sio watu?. Katika mgonjwa ambayo ni hatari na yanaambukiza kwa kasi, wanatengwa kiasi hawawezi kuambukizana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stupidity at its peak. Mliuliza kuhusu list ya nchi za Afrika zilizopata kits mapema, baada ya nchi za S.A na Senegal. Ambazo hapo awali mwanzo wa Feb. ndio zilikuwa na uwezo wa kupima uwepo wa COVID-19 kwenye samples, hapa Afrika. Nikawapa update ya W.H.O ya Feb. 13 ambapo nchi zingine 5 za ziada zilikuwa zimepata kits pia, kwa jumla zikawa nchi 17. Senegal, S.A. na nchi zingine kumi, Kenya ikiwepo. Sijui mlitegemea kwamba Tz ilikuwa kwenye orodha hiyo? Hamna ufahamu wa masuala nyeti kuhusu nchi yenu? Tangu mwezi wa Feb. nchi zingine pia zime'set up' lab zao na zikapata kits pia. K.m. Rwanda wana lab moja. Coronavirus: RBC boss explains country's preparedness and readiness Hadi sasa hivi hamjajibu swali langu.
Kenya Least Prepared To Battle Coronavirus- America Journal
Jibu hilo hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stupidity at its peak. Mliuliza kuhusu list ya nchi za Afrika ambazo zilipata kits mapema, baada ya nchi za S.A na Senegal. Ambazo hapo awali mwanzo wa Feb. ndio zilikuwa na uwezo wa kupima uwepo wa COVID-19 kwenye samples hapa Afrika. Nikawapa update ya W.H.O ya Feb. 13 ambapo nchi zingine 5 za ziada zilikuwa zimepata kits pia, kwa jumla ikawa nchi 17. Senegal, S.A. na nchi zingine kumi, Kenya ikiwepo. Sijui mlitegemea kwamba Tz ilikuwa kwenye orodha hiyo? Hamna ufahamu wa masuala nyeti kuhusu nchi yenu? Tangu mwezi wa Feb. nchi zingine zime'set up' lab zao na zikapata kits pia. K.m. Rwanda wana lab moja. Coronavirus: RBC boss explains country's preparedness and readiness Hadi sasa hivi hamjajibu swali langu.
Wewe unaonekana una bahatishabahatisha tu... Mara "zamani zilikuwa hizi zikaongezeka zingine na Kenya" ..ukaleta ramani,ukaulizwa mbona Rwanda haipo? mara "mwanzoni haikuwepo itakuwa imeongezwa sahivi,hiyo list ni ya February" uhakika huna...., hata picha yenyewe uliyoleta hapo juu hatujui kama ni WHO kama unavyoclaim...haya mambo hayaendi kienyeji jomba.
 
Wewe unaonekana una bahatishabahatisha tu... Mara "zamani zilikuwa hizi zikaongezeka zingine na Kenya" ..ukaleta ramani,ukaulizwa mbona Rwanda haipo? mara "mwanzoni haikuwepo itakuwa imeongezwa sahivi,hiyo list ni ya February" uhakika huna...., hata picha yenyewe uliyoleta hapo juu hatujui kama ni WHO kama unavyoclaim...haya mambo hayaendi kienyeji jomba.
We vipi, mnachosha na huu upumbavu wenu. Hizo taarifa zinatoka moja kwa moja kwa updates za WHO-AFRO, Regional Office ya W.H.O hapa Afrika. Unajua updates inamaanisha nini? Leta taarifa kutoka kwa GoT kuhusu lab na kits za kupima COVID-19 nchini Tz. Kama huna baki kimya, wanaokubebea akili zako watajibu kwa niaba yako.
 
We vipi, mnachosha na huu upumbavu wenu. Hizo taarifa zinatoka moja kwa moja kwa updates za WHO-AFRO, Regional Office ya W.H.O hapa Afrika. Unajua updates inamaanisha nini? Leta taarifa kutoka kwa GoT kuhusu lab na kits za kupima COVID-19 nchini Tz. Kama huna baki kimya, wanaokubebea akili zako watajibu kwa niaba yako.
Unapata wapi nguvu za kushupalia lab, wakati Kenya ni nchi ya mwisho katika uwezo wa kukabiliana na Corona?
Kenya Least Prepared To Battle Coronavirus- America Journal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unabisha vitu usivyovijua kaka?, acha kutumia akili yako katika mambo ya kitaalamu haya kaka. Waulize madaktari na manesi watakuelimisha.

Kanuni kubwa wanayofundishwa watoa huduma ya Afya ni kwamba, haikubaliki kamwe mgonjwa kupata ugonjwa wa kuambukizwa akiwa Hospitali, sasa hiyo ni hospitali gani ambayo inaruhusu wagonjwa kuambukizana?, ikitokea hivyo maana yake hawawezi kupona na hakuna faida ya wao kupelekwa Hospitali.

Lengo la kupelekwa Hospitali ni ili asiambukize watu wengine, sasa hao wagonjwa wengine akiwaambukiza kwani wao sio watu?. Katika mgonjwa ambayo ni hatari na yanaambukiza kwa kasi, wanatengwa kiasi hawawezi kuambukizana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatuishi kwenye vacuum. Watu kupata maambukizi wodini sio jambo geni.
Wataalam kusema kitu haimaanishi usitumie akili. (Hata mwendo kasi pale jangwani palijengwa na wataalam)
Ninachoongea kina maantik labda ukatae tu kuelewa. Tumeona hizo x beds isolation wards (sio rooms) inamaana waliowekwa karantini wanaweza kuambukizana ikitokea umechanganya wasio na walioathirika. Swali ni utahakikishaje huwachanganyi bila kua na uwezo wa kuwapima korona?
 
Hatuishi kwenye vacuum. Watu kupata maambukizi wodini sio jambo geni.
Wataalam kusema kitu haimaanishi usitumie akili. (Hata mwendo kasi pale jangwani palijengwa na wataalam)
Ninachoongea kina maantik labda ukatae tu kuelewa. Tumeona hizo x beds isolation wards (sio rooms) inamaana waliowekwa karantini wanaweza kuambukizana ikitokea umechanganya wasio na walioathirika. Swali ni utahakikishaje huwachanganyi bila kua na uwezo wa kuwapima korona?
Ninarudia tena, mtu yeyote mwenye dalili za Corona akifika Hospitalini alichukuliwa kwamba tayari ameambukizwa, kwahiyo madaktari na wauguzi wanachukua tahadhari zote kuhakikisha kwamba hawezi kuwaambukiza wao wenyewe na hawezi kuambukiza mtu mwengine yeyote wakiwemo wagonjwa wenzake wakati wanaendelea kusubiri majibu ya vipimo vyake, endapo majibu hayapatikani, wataendelea kumuhudumia kama mwenye virusi hadi siku 14 zikimalizika ndio ukweli inajulikana.

Madaktari wamefundishwa mazingira yote, kufanya kazi ukiwa na vipimo au kufanya kazi bila kuwa na vipimo, kwa kutumia Signs and symptoms ili kuwatibu na ku-manage wagonjwa, sio kila sehemu au kila nchi kuna vipimo, lakini wagonjwa wapo kila sehemu, ni lazima daktari aweze kukabiliana na mazingira yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LOL taarifa ya Tanzania ipo straightforward, Tanzania haina Corona period Una lingine?
Nani amesema kwamba mna Corona? Shukuru, kama ulifanikiwa kufika kidato cha kwanza ilikuwa ni purely kwa neema za Mungu.
LOL Mpuuzi sana wewe Testing new virus labs ndio Corona test kits?
Mambo mengine sio lazima uongelee kama akili yako ni finyu kupita upeo wa issue husika.
Hii kwa kimombo ndio huwa wanaita gibberish ni sawa na ile lugha ambayo kijitoto huwa kinatumia kikijifunza kuongea.
 
Ninarudia tena, mtu yeyote mwenye dalili za Corona akifika Hospitalini alichukuliwa kwamba tayari ameambukizwa, kwahiyo madaktari na wauguzi wanachukua tahadhari zote kuhakikisha kwamba hawezi kuwaambukiza wao wenyewe na hawezi kuambukiza mtu mwengine yeyote wakiwemo wagonjwa wenzake wakati wanaendelea kusubiri majibu ya vipimo vyake, endapo majibu hayapatikani, wataendelea kumuhudumia kama mwenye virusi hadi siku 14 zikimalizika ndio ukweli inajulikana.

Madaktari wamefundishwa mazingira yote, kufanya kazi ukiwa na vipimo au kufanya kazi bila kuwa na vipimo, kwa kutumia Signs and symptoms ili kuwatibu na ku-manage wagonjwa, sio kila sehemu au kila nchi kuna vipimo, lakini wagonjwa wapo kila sehemu, ni lazima daktari aweze kukabiliana na mazingira yote

Sent using Jamii Forums mobile app
Unachosema ni kwa wagonjwa 2 au wa 3 ie (Wachache). Ukitumia screening ambayo accurate wala reliable kama kupima joto la mwili kuenea kwa korona can be exponential. So Your approach is "right" but pedestrian to say the least.
 
We vipi, mnachosha na huu upumbavu wenu. Hizo taarifa zinatoka moja kwa moja kwa updates za WHO-AFRO, Regional Office ya W.H.O hapa Afrika. Unajua updates inamaanisha nini? Leta taarifa kutoka kwa GoT kuhusu lab na kits za kupima COVID-19 nchini Tz. Kama huna baki kimya, wanaokubebea akili zako watajibu kwa niaba yako.


Mshaanza ufala wenu here is the list of countries with laboratories that can give confirmatory test for COVID-19! Kunyaland is no where to be seen! From Africa only SA n Senegal r in the list!
Screenshot 2020-03-15 18.29.42.png
 
Unachosema ni kwa wagonjwa 2 au wa 3 ie (Wachache). Ukitumia screening ambayo accurate wala reliable kama kupima joto la mwili kuenea kwa korona can be exponential. So Your approach is "right" but pedestrian to say the least.
Temperature Screening methodology has very high "Sensitivity" and low " specificity". Sensitivity yake ni zaidi ya 95%, hao wanaokosekana ni chini ya 5%. Kumbuka duniani hakuna kipimo chochote kile ambacho ni 100% sensitive, hata hiyo laboratory test ya Corona, sensitivity yake haivuki 97%. Nadhani ulishasikia story nyingi tu kwamba kuna watu walipimwa wakagundulika wana maambukizi ya VVU, lakini walipopima tena sehemu ingine wakaonekana hawama.

Jaribu kutumia Google usome maana na matumizi tofauti ya vipimo vyenye tofauti ya "Sensitivity vs Specificity.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Temperature Screening methodology has very high "Sensitivity" and low " specificity". Sensitivity yake ni zaidi ya 95%, hao wanaokosekana ni chini ya 5%. Kumbuka duniani hakuna kipimo chochote kile ambacho ni 100% sensitive, hata hiyo laboratory test ya Corona, sensitivity yake haivuki 97%. Nadhani ulishasikia story nyingi tu kwamba kuna watu walipimwa wakagundulika wana maambukizi ya VVU, lakini walipopima tena sehemu ingine wakaonekana hawama.

Jaribu kutumia Google usome maana na matumizi tofauti ya vipimo vyenye tofauti ya "Sensitivity vs Specificity.

Sent using Jamii Forums mobile app
C'mon Its not rocket science!
Chukulia kesi ya kenya kama mfano, huyo mgonjwa wa kwanza alipanda ndege tatu hadi anafika Kenya. Kwenye ndege ya pili iliotua London, ndo alikaa pembeni ya mtu alikua anakohoa. Manake toka anaambukizwa hadi kufika airport na kupimwa ni masaa chini ya 12, sasa kwa maturity ya korona ya siku 14. Hakuna posibility ya thermo gun kugundua chochote. Sensitivity not withstanding
 
Mshaanza ufala wenu here is the list of countries with laboratories that can give confirmatory test for COVID-19! Kunyaland is no where to be seen! From Africa only SA n Senegal r in the list!
View attachment 1389688
Aisee mnachosha sana, hiyo ilikuwa mapema kabla ya Kenya na nchi zingine za Afrika kuanza mikakati ya kupata kits na labs pia. Hapa kuna taarifa kutoka kwa W.H.O-AFRO. Hizi nazo ni taarifa kutoka Kenya, baada ya Kenya kumaliza rasmi shughuli ya ku'set up' kits kwenye labs pale KEMRI mapema mwezi huu. Kenya now in position to test for COVID-19
 
C'mon Its not rocket science!
Chukulia kesi ya kenya kama mfano, huyo mgonjwa wa kwanza alipanda ndege tatu hadi anafika Kenya. Kwenye ndege ya pili iliotua London, ndo alikaa pembeni ya mtu alikua anakohoa. Manake toka anaambukizwa hadi kufika airport na kupimwa ni masaa chini ya 12, sasa kwa maturity ya korona ya siku 14. Hakuna posibility ya thermo gun kugundua chochote. Sensitivity not withstanding
Ndani ya masaa hayo, hata wangechukua damu yake alipotua hapo JKIA siku hiyo, hiyo Corona test pia isingeonyesha kama alikua na Virusi, kwasababu bado "antibodies Against Corona Viruses" zilikua bado hazijatengenezwa mwilini, kama ambavyo kipimo cha joto kilivyomkosa(5%), hata kipimo hicho cha damu pia kingemkosa(3%), ndio sababu wanawekwa chini ya karantini ili kutoa muda wa hizo "Signs&Symptoms" zijitokeeze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndani ya masaa hayo, hata wangechukua damu yake alipotua hapo JKIA siku hiyo, hiyo Corona test pia isingeonyesha kama alikua na Virusi, kwasababu bado "antibodies Against Corona Viruses" zilikua bado hazijatengenezwa mwilini, kama ambavyo kipimo cha joto kilivyomkosa(5%), hata kipimo hicho cha damu pia kingemkosa(3%), ndio sababu wanawekwa chini ya karantini ili kutoa muda wa hizo "Signs&Symptoms" zijitokeeze

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawekwa karantini kwa vigezo gani? Wakati hana homa? najaribu kukuonyesha ilivyo impractical kuzuia maambukizi kuingia (undetectable few hours baada ya maabukizi) kilichopratical ni kuzuia kuenea kwa virusi. Sasa how effective is a test kit compared to a thermo gun in the fight agaist the spread of the Corona virus, huu ndo mjadala.
I rest my case
 
Wanawekwa karantini kwa vigezo gani? Wakati hana homa? najaribu kukuonyesha ilivyo impractical kuzuia maambukizi kuingia (undetectable few hours baada ya maabukizi) kilichopratical ni kuzuia kuenea kwa virusi. Sasa how effective is a test kit compared to a thermo gun in the fight agaist the spread of the Corona virus, huu ndo mjadala.
I rest my case
Thank you indeed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom