Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo sio Dewj, ni Said Salim Bakhresa, watu wawil tofaut haoDewji ambaye ni mwarabu ana networth ya $3 B ndani ya uchumi yenu ya $60 B. Hivi hamna aibu mtu mmoja akimiliki 5% ya uchumi wenu. Sasa mbona unajipiga kifua kwa sababu ya mwarabu anayemiliki uchumi wenu kiasi kikubwa hivyo?
Kwa hivyo mna mabilionea wawili waarabu dah! Maajabu haya.Huyo sio Dewj, ni Said Salim Bakhresa, watu wawil tofaut hao
Alafu Dewj kazaliwa hapa hapa , Mali yote imepatikana hapa hapa
Hata marekan inajisifia Jeff Benzo , lakn hana asili ya marekan , yeye ndio first generation ya uzao wao
Sent using Jamii Forums mobile app
And who said he is not rich? I must be engaging a dimwit here!Tunaposema he is probably the richest man in this region sio kwamba tunaotea , the man ni tajiri kweli kweli , 3.5 bil USD.. I believe he is more than thatView attachment 1370083
Sent using Jamii Forums mobile app
Chris Kirubi ni mwanasiasa? Manu Chandaria ni mwanasiasa? Peter Munga ni mwanasiasa? SK Macharia ni mwanasiasa? James Mwangi ni mwanasiasa?Duh, matajiri wa Kenya wote ni Wanasiasa? Wanawaibia sana aisee, enough is enough
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na huyo mjinga. Kenyan companies are all over Tanzania hata nashangaa ni nini hiyo anaongeaHaving companies outside Tanzania is not a big deal,we also have kenya's company in Tanzania.View attachment 1370114
Sent using Jamii Forums mobile app
Moi was arguably the richest person in Kenya, much richer than UK. I think he didn't want a lot of media attention regarding his wealthJuzi tu baada ya Moi kuaga ilissmekana kuwa utajiri wake unafika $3 billion.
Sent using Jamii Forums mobile app
Moi was arguably the richest person in Kenya, much richer than UK. I think he didn't want a lot of media attention regarding his wealth
Even Forbes lists his net worth at $500m, meaning the other figures you listed above are absolutely right. Uhuru Kenyatta is rich, but he can't reach the levels of the late Daniel Moi and Nicholas Biwott, Naushad Merali, Manu Chandaria and the likes
The Ndegwas, another filthy rich family and even the Odingas
Even Forbes lists his net worth at $500m, meaning the other figures you listed above are absolutely right. Uhuru Kenyatta is rich, but he can't reach the levels of the late Daniel Moi and Nicholas Biwott, Naushad Merali, Manu Chandaria and the likes
Kwann huyo mnaesema n billionaire hayuko Forbes? Why?Chris Kirubi ni mwanasiasa? Manu Chandaria ni mwanasiasa? Peter Munga ni mwanasiasa? SK Macharia ni mwanasiasa? James Mwangi ni mwanasiasa?
No body said Tanzania hakuna kampuni ya Kenya, usitafute pa kujifichaAchana na huyo mjinga. Kenyan companies are all over Tanzania hata nashangaa ni nini hiyo anaongea
Utajiri unaotokana na siasa ni WIZIThe Ndegwas, another filthy rich family and even the Odingas
They can't justify how they got it, ni WIZIWakenya huficha Mali zao nakumbuka ile kesi ya Uhuru ya ICC aliambia mahakama kwamba ana shamba hekari mbili tu na gari moja Hana Mali yeyote ,kitu ambacho sio ukweli hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe , kwahiyo Kenya n Mali ya WANASIASA sio, no chance kwa mkenya wa kawaida, case closedMoi was arguably the richest person in Kenya, much richer than UK. I think he didn't want a lot of media attention regarding his wealth