Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa sawa
Kuna jamaa anasukuma gpu kwa 35k sijui tapeli ama genuine, kama unataka ya kuboot machineKazi inakaribia kuisha.
Imebaki part ya Graphics Card tu, ambayo bado sina na sijajua nitachukua ipi nilipanga ndio litakua jambo la mwisho kabisa.
Mpaka ilipofika hapa haiwezi kutumika kwasababu processor iliyopo haina intergrated GPU, hivyo inakulazimu kufunga card yoyte kama mtu atahaitaji kuitumia.
View attachment 2449371
gtx 1050ti gpu isiyo na mambo mengi now mitandaoni ni bei gani?Kuna jamaa anasukuma gpu kwa 35k sijui tapeli ama genuine, kama unataka ya kuboot machine
![]()
ni amd model ipi mkuu?Kuna jamaa anasukuma gpu kwa 35k sijui tapeli ama genuine, kama unataka ya kuboot machine
![]()
Bei ndefu mkuu, gpu nyingi za zamani hazijashuka bei sana.gtx 1050ti gpu isiyo na mambo mengi now mitandaoni ni bei gani?
Hata sijui mkuu, nimeziona tuni amd model ipi mkuu?
nimeongea nae hapa ni hd 7570 1gb na 5570 1gbKuna jamaa anasukuma gpu kwa 35k sijui tapeli ama genuine, kama unataka ya kuboot machine
![]()
Zote hazifai kwa gaming mkuu, ila hio 7570 angalau ina uafadhali, itasukuma hizo games za zamani kwa low setting. Pia ipo version ya ddr5 ambayo ni much better,nimeongea nae hapa ni hd 7570 1gb na 5570 1gb
ni kadi za muda kidogo 2012 na 2010
yuko machinga complex.
Hujaiwasha bado mkuu?Kazi inakaribia kuisha.
Imebaki part ya Graphics Card tu, ambayo bado sina na sijajua nitachukua ipi nilipanga ndio litakua jambo la mwisho kabisa.
Mpaka ilipofika hapa haiwezi kutumika kwasababu processor iliyopo haina intergrated GPU, hivyo inakulazimu kufunga card yoyte kama mtu atahaitaji kuitumia.
View attachment 2449371
umechukulia mtandao upi alliepress au? bei ikoje?Nilitingwa mkuu,
Ila ilikua imebaki Graphics card tu.
Nimechukua Saphire AMD radeon RX 6700XT 12GB memory
Bado haijafika, ikifika kazi inakua imekwisha.
Rudia tenaNmetoka kapa