SA troops arrive in Mozambique to fight insurgents

SA troops arrive in Mozambique to fight insurgents

jana walilipuwa wapi?? tpdf ni vilaza tu wakawaida, na tanzagiza haiwezi ku support oparesheni yoyote ya kijeshi nje ya nchi. subiri matokeo, hivi karibuni tz mtakua mnaomba usaidizi kupambana na hao magaidi nchini kwenyu.

Kinachosikitisha zaidi kwenye hili la Tanzania kuingiwa na uwoga wa mapambano, ni kwamba hawajui wale magaidi taarifa zinasema wengi wao ni wabantu, tena Watanzania kabisa, nafuu yetu huku alshabaab huwa rahisi kidogo kuwagundua maana ni Wasomali, ila wale wa kule ni vijana wa Kibongo kabisa ambao itakua mtihani sana kuwabaini, sasa wakipokea kipigo kutokea kwa Wanyarwanda wataishia kurudi kwao Tanzania na kuendelea kuongezeka kwa kuhubiriana hizo pumba za kidini.
 
Sawa lakini mipaka haidhibitiki ikiwa hujajenga ukuta. Kwa hivyo wangojee watapigwa na jeshi la Rwanda watatorokea huko kwenu. Vijana wengi wa hilo kundi ni raia wa Tanzania. Hata waliowashambulia walikuwa ni vijana wa nyumbani walikuwa wanaongea kiswahili chenu.
Niko Mtwara kwa muda, Mto Ruvuma wote upo unalindwa na TPDF. Hakuna kiumbe kinavuka illegally..

Pia bahari ya Hindi ulinzi umeimarishwa na wavuvi wa usiku wamepewa tahadhari kuvua karibia na rasi ya Msimbati. TPDF inafanya kazi kubwa sana, I wish you guys mngekuwa huku na kuona. I'm so so so proud of these guys!!

Ziko kambi ndogo ndogo nyingi sana kuanzia Msimbati ambako Mto Ruvuma unakutana na Bahari ya Hindi mpaka huko Nyasa ambako Mto unatokea..
 
Why is SADC, the most useless body in Africa upset when they were dragging their feet until Kagame's tiny country decided to come to the rescue of Mozambique? Big countries like South Africa and Tanzania had been afraid of sending full combat units to Mozambique for many months and now they are complaining about Rwanda helping Mozambique? Stupid African countries.
Madame go slow,not every thing military ,has to be advitised on media,TZ security organs have been conducting covert operations way back for the last 3yrs,remember when those terrorist invaded Southern region of TZ,Mtwara,we followed them,and slaughtered them all,we operated under the ladder,don't be deceived by these Media Propaganda,and Cheap PR stunts about Rwanda,
If what media and Pro Rwanda media are saying is any thing to go by,why has Rwanda not done anything to curb insurgence in their neighbour DRC!charity begins at home,
They failed to destroy those insurgence in DRC,and now they are claminig they are the saviour in Mozambique?!!
Ur fucking kidding me!?
 
Niko Mtwara kwa muda, Mto Ruvuma wote upo unalindwa na TPDF. Hakuna kiumbe kinavuka illegally..

Pia bahari ya Hindi ulinzi umeimarishwa na wavuvi wa usiku wamepewa tahadhari kuvua karibia na rasi ya Msimbati. TPDF inafanya kazi kubwa sana, I wish you guys mngekuwa huku na kuona. I'm so so so proud of these guys!!

Ziko kambi ndogo ndogo nyingi sana kuanzia Msimbati ambako Mto Ruvuma unakutana na Bahari ya Hindi mpaka huko Nyasa ambako Mto unatokea..
Nashangaa wanapoingia mteru wakati hata hao raia wa msumbiji wanaokimbia machafuko wakiingia Tu upande WA tz wanazuiliwa na kurudishwa tena Kwenye kambi za msumbiji Kwa usalama zaidi.....

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 




SA troops arrive in Mozambique to fight insurgents

dailymaverick.co.za/article/2021-07-21-sa-troops-arrive-in-mozambique-to-fight-insurgents/amp
July 21, 2021
WhatsApp-Image-2021-07-21-at-07.50.51-1000x748.jpeg


The advance party has arrived, despite calls for the defence minister to focus her forces on South Africa’s own ‘attempted insurrection’.

South African soldiers have begun arriving in Mozambique’s northernmost province of Cabo Delgado as part of a regional standby force being deployed to help Mozambique defeat violent Islamic State-affiliated extremists. Rwandan forces have already gone into battle with the insurgents, sources said.

Officials from the South African government and the Southern African Development Community (SADC) and local security analysts confirmed that leading elements of the SADC standby force – including its South African commander – were already in Mozambique.
Military sources said small contingents of special forces from the standby force, including South Africans, had been flown into Pemba, the provincial capital of Cabo Delgado, on Monday.

Pictures have been circulating of a South African National Defence Force (SANDF) C-130 Hercules transport aircraft unloading troops and equipment, apparently at Pemba airport.

This week the DA called on Defence Minister Nosiviwe Mapisa-Nqakula to delay the deployment of SANDF troops to Mozambique until there was “absolute certainty that internal security threats have been contained”.

DA defence spokesperson Kobus Marais said on Saturday the deployment of 25,000 SANDF troops to KwaZulu-Natal and Gauteng to ensure stability and security after last week’s looting and arson “will stretch our national defence capabilities to the limit”.

“Priority should be placed on stabilising the security situation in the country and restoring law and order. South Africa’s ability to meet its international military assistance obligations is only possible if our own internal security is stable and secure,” Marais said.

However, it appears the defence minister has decided to go ahead with the Mozambique deployment anyway as several security sources in Mozambique as well as SADC and South African officials have confirmed the arrival of advance elements.

A Botswana Defence Force transport aircraft unloading troops and equipment at Pemba (Supplied)

But Mapisa-Nqakula had told members of Parliament’s defence portfolio committee on Sunday that an advance party of the SADC force would determine if the full proposed force was needed. Though the size of the proposed standby intervention force has not been officially revealed, a provisional report drafted by military experts in April proposed a force of almost 3,000 troops, comprising three infantry battalions and two special forces squads, with support elements and attack helicopters as well as patrol ships and aircraft and a submarine.

Meanwhile, Rwandan troops, who arrived in Cabo Delgado on Friday, have already engaged in a firefight with the insurgents, according to security sources in Mozambique. They said on Tuesday the Rwanda Defence Force (RDF) soldiers set off early on a patrol from Afungi – the suspended liquid natural gas processing plant – into the forest around nearby Palma and then encountered the insurgents at the village of Quionga.

“As the insurgents retreated towards the Tanzanian border, a total of 30 insurgents were reportedly killed by the Rwandan units. Late afternoon the RDF was still patrolling the forest areas around Afungi,” the military analyst said.


He also reported several attacks by the insurgents on civilians in Muidumbe district to the southwest, including the villages of Nampanha and Mandava, on Monday.

And on Tuesday Mozambique security forces rescued, unhurt, the pilot of a light aircraft that had been forced to crash land on the beach south of the coastal town of Mocímboa da Praia, which has been occupied by insurgents since August 2020.

The source said on Monday the aircraft, presumably chartered by a private company removing equipment from Afungi, had lost its propeller while flying over Mocímboa da Praia. The pilot had managed to glide the aircraft south of the town before landing. Government forces in helicopters had tried to lift the aircraft but failed and so decided to destroy it.

It is not clear what the aircraft was doing over Mocímboa da Praia. There is some speculation that it might have been doing photo reconnaissance.

The source said that at dawn on Tuesday a Mozambique government patrol had launched an attack on insurgents at Saba Saba village on the border between the Mocímboa da Praia and Muidumbe districts.

Mid-morning on Tuesday government forces also launched a mechanised attack on insurgents at Mitope village in Mocímboa da Praia.

And some Rwandan forces had deployed to the town of Nangade in Nangade district, west of Palma.

Meanwhile, a dhow carrying people displaced by the fighting, from Ibo to the provincial capital of Pemba in the south, had sunk and 11 women and children had drowned, the security source said.

DM




MY TAKE
I hope TPDF is ready to face them as they are trying to cross into Tanzania!

the worse part of it is that, majority of those troops are blacks and are going to parish over there.
 
Kwa nchi kama Tanzania ambapo kingereza ni changamoto hata kwa viongozi, utakua una gubu kama unasugua benchi kwa kukosa ajira. Hiyo nchi yenu bado hamna muamko kwenye mambo mengi tu, hivyo akitokea mchakarikaji na mjanja wa lugha anapiga mwingi, na ndio maana Wakenya huzuiwa kabisa kupewa vibali hata kama wanakidhi vigezo vyote, maana kiukweli mkiachia Wakenya waingie watakavyo wataishia kuwakoloni.

Ona hapa hii picha fursa zilivyo kwa Watanzania waliosomea Kenya

View attachment 1868913
Acha kujitekenya eti kuwakoloni[emoji1787][emoji1787].....ninachojaribu kukuonyesha hicho I kiingereza n lugha Tu km kizaramo watu wamesoma lkn hawana uhakika WA pesa huyo kiongozi ambaye lugha inampiga chenga ana uhakika WA kuingiza pesa....cha msingi ingiza pesa Tu Mzee Acha kukumbatia kiingereza km nn Mzee[emoji1787][emoji1787]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Niko Mtwara kwa muda, Mto Ruvuma wote upo unalindwa na TPDF. Hakuna kiumbe kinavuka illegally..

Pia bahari ya Hindi ulinzi umeimarishwa na wavuvi wa usiku wamepewa tahadhari kuvua karibia na rasi ya Msimbati. TPDF inafanya kazi kubwa sana, I wish you guys mngekuwa huku na kuona. I'm so so so proud of these guys!!

Ziko kambi ndogo ndogo nyingi sana kuanzia Msimbati ambako Mto Ruvuma unakutana na Bahari ya Hindi mpaka huko Nyasa ambako Mto unatokea..
Hao wanajeshi walikuwa wapi wakati magaidi walikuwa wanashambulia eneo hilo mwaka Jana?
 
Madame go slow,not every thing military ,has to be advitised on media,TZ security organs have been conducting covert operations way back for the last 3yrs,remember when those terrorist invaded Southern region of TZ,Mtwara,we followed them,and slaughtered them all,we operated under the ladder,don't be deceived by these Media Propaganda,and Cheap PR stunts about Rwanda,
If what media and Pro Rwanda media are saying is any thing to go by,why has Rwanda not done anything to curb insurgence in their neighbour DRC!charity begins at home,
They failed to destroy those insurgence in DRC,and now they are claminig they are the saviour in Mozambique?!!
Ur fucking kidding me!?
Pengine Madam ni nyanyako
 
Madame go slow,not every thing military ,has to be advitised on media,TZ security organs have been conducting covert operations way back for the last 3yrs,remember when those terrorist invaded Southern region of TZ,Mtwara,we followed them,and slaughtered them all,we operated under the ladder,don't be deceived by these Media Propaganda,and Cheap PR stunts about Rwanda,
If what media and Pro Rwanda media are saying is any thing to go by,why has Rwanda not done anything to curb insurgence in their neighbour DRC!charity begins at home,
They failed to destroy those insurgence in DRC,and now they are claminig they are the saviour in Mozambique?!!
Ur fucking kidding me!?
Yes,Fuk yourself. All what you are saying or thinking you are ze expact in issues you have no clue about.
You are proving you belong to zezetas clan.
 
Botswana wa dude la kimarekani Helculers sisi tuna Trela la sabasaba
 
Hapana mkuuu wale kenge km watavuka mipaka kuja huku tutasaga meno maana wale mbweha ni wasumbufu sana ogopa mtu aliyedanganywa akifa anaenda kwa Mola moja kwa moja hao hua ni hatari sana.Twende tu tukawasaidie maana Rwanda wamepeleka jeshi na south ndo wamepeleka sisi majirani wa pua na mdomo tunasubiri nn?
Usicho kijua ni usiku wa giza ,wakati magaidi wameingia msumbiji serikali ya tz ilishauri msumbiji tufanyo operation kuwamaliza ila chuki ya msumbiji kwa tz ikasababisha wakatae sasa wale magaidi wakapata nguvu ndiyo wakaanza kuteketeza msumbiji ,huo ni ujinga wao
 
Sawa lakini mipaka haidhibitiki ikiwa hujajenga ukuta. Kwa hivyo wangojee watapigwa na jeshi la Rwanda watatorokea huko kwenu. Vijana wengi wa hilo kundi ni raia wa Tanzania. Hata waliowashambulia walikuwa ni vijana wa nyumbani walikuwa wanaongea kiswahili chenu.
Sisi wenyewe tulikuwa tunawataka warudi home tuwashugulikie ndiyo maana walikimbia hiyo ni habari njema kwetu
 
Are you really a Tanzanian? I have never seen a Tanzanian belch this type of sophisticated English before.
Kwani unafikili watz ni malimbukeni kama wakenya [emoji852][emoji852] mkiongozwa na komora096 anatumia Google translate kwa kuandika kwa kiswahili kisha ana copy na kupest kwa kingereza hapa jf ,kisha anajidai mzungu [emoji16][emoji16]kumbe watu tunamchora tu
 
let me start speaking English. Kenyans think knowing English is to be intelligent i.e. you Kenyans are natural fools
Kizungu chako sio kibaya sana. Kiingereza chako ni kizuri kushinda cha Geza Ulole .Naona hukuenda shule kukula tu bali ulikuwa mwanafunzi mwerevu.
 
Back
Top Bottom