SA troops arrive in Mozambique to fight insurgents

jana walilipuwa wapi?? tpdf ni vilaza tu wakawaida, na tanzagiza haiwezi ku support oparesheni yoyote ya kijeshi nje ya nchi. subiri matokeo, hivi karibuni tz mtakua mnaomba usaidizi kupambana na hao magaidi nchini kwenyu.

Kinachosikitisha zaidi kwenye hili la Tanzania kuingiwa na uwoga wa mapambano, ni kwamba hawajui wale magaidi taarifa zinasema wengi wao ni wabantu, tena Watanzania kabisa, nafuu yetu huku alshabaab huwa rahisi kidogo kuwagundua maana ni Wasomali, ila wale wa kule ni vijana wa Kibongo kabisa ambao itakua mtihani sana kuwabaini, sasa wakipokea kipigo kutokea kwa Wanyarwanda wataishia kurudi kwao Tanzania na kuendelea kuongezeka kwa kuhubiriana hizo pumba za kidini.
 
Niko Mtwara kwa muda, Mto Ruvuma wote upo unalindwa na TPDF. Hakuna kiumbe kinavuka illegally..

Pia bahari ya Hindi ulinzi umeimarishwa na wavuvi wa usiku wamepewa tahadhari kuvua karibia na rasi ya Msimbati. TPDF inafanya kazi kubwa sana, I wish you guys mngekuwa huku na kuona. I'm so so so proud of these guys!!

Ziko kambi ndogo ndogo nyingi sana kuanzia Msimbati ambako Mto Ruvuma unakutana na Bahari ya Hindi mpaka huko Nyasa ambako Mto unatokea..
 
Madame go slow,not every thing military ,has to be advitised on media,TZ security organs have been conducting covert operations way back for the last 3yrs,remember when those terrorist invaded Southern region of TZ,Mtwara,we followed them,and slaughtered them all,we operated under the ladder,don't be deceived by these Media Propaganda,and Cheap PR stunts about Rwanda,
If what media and Pro Rwanda media are saying is any thing to go by,why has Rwanda not done anything to curb insurgence in their neighbour DRC!charity begins at home,
They failed to destroy those insurgence in DRC,and now they are claminig they are the saviour in Mozambique?!!
Ur fucking kidding me!?
 
Nashangaa wanapoingia mteru wakati hata hao raia wa msumbiji wanaokimbia machafuko wakiingia Tu upande WA tz wanazuiliwa na kurudishwa tena Kwenye kambi za msumbiji Kwa usalama zaidi.....

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
the worse part of it is that, majority of those troops are blacks and are going to parish over there.
 
Acha kujitekenya eti kuwakoloni[emoji1787][emoji1787].....ninachojaribu kukuonyesha hicho I kiingereza n lugha Tu km kizaramo watu wamesoma lkn hawana uhakika WA pesa huyo kiongozi ambaye lugha inampiga chenga ana uhakika WA kuingiza pesa....cha msingi ingiza pesa Tu Mzee Acha kukumbatia kiingereza km nn Mzee[emoji1787][emoji1787]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Hao wanajeshi walikuwa wapi wakati magaidi walikuwa wanashambulia eneo hilo mwaka Jana?
 
Pengine Madam ni nyanyako
 
Yes,Fuk yourself. All what you are saying or thinking you are ze expact in issues you have no clue about.
You are proving you belong to zezetas clan.
 
Botswana wa dude la kimarekani Helculers sisi tuna Trela la sabasaba
 
Usicho kijua ni usiku wa giza ,wakati magaidi wameingia msumbiji serikali ya tz ilishauri msumbiji tufanyo operation kuwamaliza ila chuki ya msumbiji kwa tz ikasababisha wakatae sasa wale magaidi wakapata nguvu ndiyo wakaanza kuteketeza msumbiji ,huo ni ujinga wao
 
Sisi wenyewe tulikuwa tunawataka warudi home tuwashugulikie ndiyo maana walikimbia hiyo ni habari njema kwetu
 
Are you really a Tanzanian? I have never seen a Tanzanian belch this type of sophisticated English before.
Kwani unafikili watz ni malimbukeni kama wakenya [emoji852][emoji852] mkiongozwa na komora096 anatumia Google translate kwa kuandika kwa kiswahili kisha ana copy na kupest kwa kingereza hapa jf ,kisha anajidai mzungu [emoji16][emoji16]kumbe watu tunamchora tu
 
let me start speaking English. Kenyans think knowing English is to be intelligent i.e. you Kenyans are natural fools
Kizungu chako sio kibaya sana. Kiingereza chako ni kizuri kushinda cha Geza Ulole .Naona hukuenda shule kukula tu bali ulikuwa mwanafunzi mwerevu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…