SA troops arrive in Mozambique to fight insurgents

Vitu vingine ni kukaa na kufikiri kwa undani kwanini tupeleke wanajeshi wakati hao jamaa wakizidiwa wanaweza kukimbilia tanzania. Wanajeshi ambao wangepelekwa msumbiji wamesogezwa mpakani kulinda. Kumbeni mpaka kati ta tz na mozambique unazaidi ya km 600 na unavichochoro kibao,
 
Ndio hawa hapa Wazee wa kazi kutoka Rwanda
 
Your take is that ze position of ze inline wizara usika?
Swali tu.
 
Wapo mmoja mmoja japo utakuta aidha waliishi sana nje ya nchi.
Eti utakuta aidha aliishi sana nje ya nchi, yani mko na ulofa mob abt Tz, I like it that way though
 
Waduwanzi kinoma
 
Yes,Fuk yourself. All what you are saying or thinking you are ze expact in issues you have no clue about.
You are proving you belong to zezetas clan.
Why u catching feelings mf
 
Eti utakuta aidha aliishi sana nje ya nchi, yani mko na ulofa mob abt Tz, I like it that way though

Napenda namna hizi kauli zetu hukuingia mpaka kwenye uti wa mgongo.......hehehe!! Pole lakini nothing personal tunasogesha siku tu kila tukipata fursa ya kuboeka.
 
Napenda namna hizi kauli zetu hukuingia mpaka kwenye uti wa mgongo.......hehehe!! Pole lakini nothing personal tunasogesha siku tu kila tukipata fursa ya kuboeka.
Zinaingiaje kwa uti wa mgongo, me nawashangaa mlivyo wajinga, the way mnanyenyekea iyo lugha.
To de extent miakili yenu inahisi this whole Tz, mtu anayeongea English you think is perfect, ni lazima atakuwa ameishi nje.
Nawadharau kinoma
 
Zinaingiaje kwa uti wa mgongo, me nawashangaa mlivyo wajinga, the way mnanyenyekea iyo lugha.
To de extent miakili yenu inahisi this whole Tz, mtu anayeongea English you think is perfect, ni lazima atakuwa ameishi nje.
Nawadharau kinoma

Siku utajua kuzungumza English ndio utajua raha yake, kwa sasa pole tu.....kwa Mtz kukizungumza tena kwa ufasaha lazima aidha amesomea Kenya au Ulaya lakini sio nyie wa hapo kwa Mpalange miaka yote, maana kingereza huwa mnakutana nacho kuanzia sekondari, na hata wale wana bahatika kufundishwa international schools huwa wanaponzwa sana nyie wengine maana wakija mtaani hawana namna ila kukiacha shuleni.

Lugha yoyote ile lazima uitumie ndio uwe mtimilifu, sasa nyie kikiwashinda mnaanza zile sounds zenu oohhh!! Cha mkoloni, mimi sio mtumwa, so kama cha mkoloni na wewe sio mtumwa huwa unafundishwa cha nini shuleni kama utashindwa kukitumia, huo ni ujuha aisei.
 
Insha lote hili umeliandika, ni Takataka tu, English naijua sana na sijasoma nje wala international skuli.
Mahn, if this is really what goes through your mind. Wewe ni fara kinoma joh [emoji1787]
 
Hao magaidi wakijaribu kuingia nchini watapewa kipigo cha mbwa Koko, watapigwa wachakae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…