Saa 12 bila umeme Lushoto

Saa 12 bila umeme Lushoto

Ahyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2019
Posts
2,310
Reaction score
5,482
Hii hali kwa sasa imekuwa ni zaidi ya kero, masaa 12 hakuna umeme.

Mmeshawahi waza ni shughuli ngapi zinasimama kwa kutokuwepo kwa umeme?

Na je mkawaza ni kiasi gani cha mapato kinapotea kwa wakati huo ambao umeme haupo?

Kuweni serious hata kama ni marekebisho si kwa muda wa masaa 12.

Mama ulitaka waripotiwe, anza na Lushoto.
 
Saa 12? Huku Dar inaenda saa ya 15 saasa umeme wanezima Leo shezni hawa kabisa na saa hizi 19:41 wanezima tena pumbavu

TANESCO
 
Saa 12? Huku Dar inaenda saa ya 15 saasa umeme wanezima Leo shezni hawa kabisa na saa hizi 19:41 wanezima tena pumbavu

TANESCOuda huu huu wamekata Wanatafuta kisingizio cha kupiga pesa.

Saa 12? Huku Dar inaenda saa ya 15 saasa umeme wanezima Leo shezni hawa kabisa na saa hizi 19:41 wanezima tena pumbavu

TANESCO
Itakuwa wamekata nchi nzima. Muda huo huo kuna nilikuwa naongea na dogo yuko nyanda za juu kusini kasema umeme umekatika. Hii combination ya kamba za maharage itatuliza sana. Itakuwa zile tirioni walizopewa na mama zimekata sasa wanatafuta justification ya kumchomoa mama mpunga mwingine.
 
Itakuwa wamekata nchi nzima. Muda huo huo kuna nilikuwa naongea na dogo yuko nyanda za juu kusini kasema umeme umekatika. Hii combination ya kamba za maharage itatuliza sana. Itakuwa zile tirioni walizopewa na mama zimekata sasa wanatafuta justification ya kumchomoa mama mpunga mwingine.
Wangese sana TANESCO unakataje umeme bila maelezo kwanini usitoe sababu za kukatika kwa umeme? Mbaya zaidi unakata zaidi ya masaa 12 haujui kwamba kuna watu ili maisha yao yaende wanategemea huo umeme sasa siku nzima leo watu wameingia hasara kwa upuuzi wa watu wachache shezni kabisa hawa watu
 
Wanazingua sana hawa jamaa
Wamekata tena jioni hii, yaan jamaa wanajifanyia wanavyotaka wao tu tena wanakata umeme hakuna maelezo yoyote asubuhi walikata wakajishtukia wakarudisha yaan leo pia walitaka watupigishe msuaki siku nzima TANESCO mizinguo sana yaan TANESCO mnazingua sana au mmeajiri magasho nini? Toeni taarifa kwanini mnakata umeme sio mnakata tu bila maelezo yoyote
 
Nyumba zetu Zina ulinzi unategemea umeme CCTV camera ziwake na waya ziwe na Moto 24/7 hakuna backup generator sasa TANESCO mnazima umeme tukivamiwa mtatujibia nini au mna agenda za Siri au mmeanza tena ule mradi wenu wa kuuza magenerator?
 
Wewe unazungumzia Lushoto!

Hii ni nchi nzima.
 
Back
Top Bottom