Saa 12? Huku Dar inaenda saa ya 15 saasa umeme wanezima Leo shezni hawa kabisa na saa hizi 19:41 wanezima tena pumbavu
TANESCOuda huu huu wamekata Wanatafuta kisingizio cha kupiga pesa.
Itakuwa wamekata nchi nzima. Muda huo huo kuna nilikuwa naongea na dogo yuko nyanda za juu kusini kasema umeme umekatika. Hii combination ya kamba za maharage itatuliza sana. Itakuwa zile tirioni walizopewa na mama zimekata sasa wanatafuta justification ya kumchomoa mama mpunga mwingine.Saa 12? Huku Dar inaenda saa ya 15 saasa umeme wanezima Leo shezni hawa kabisa na saa hizi 19:41 wanezima tena pumbavu
TANESCO
Wangese sana TANESCO unakataje umeme bila maelezo kwanini usitoe sababu za kukatika kwa umeme? Mbaya zaidi unakata zaidi ya masaa 12 haujui kwamba kuna watu ili maisha yao yaende wanategemea huo umeme sasa siku nzima leo watu wameingia hasara kwa upuuzi wa watu wachache shezni kabisa hawa watuItakuwa wamekata nchi nzima. Muda huo huo kuna nilikuwa naongea na dogo yuko nyanda za juu kusini kasema umeme umekatika. Hii combination ya kamba za maharage itatuliza sana. Itakuwa zile tirioni walizopewa na mama zimekata sasa wanatafuta justification ya kumchomoa mama mpunga mwingine.
Wamekata tena jioni hii, yaan jamaa wanajifanyia wanavyotaka wao tu tena wanakata umeme hakuna maelezo yoyote asubuhi walikata wakajishtukia wakarudisha yaan leo pia walitaka watupigishe msuaki siku nzima TANESCO mizinguo sana yaan TANESCO mnazingua sana au mmeajiri magasho nini? Toeni taarifa kwanini mnakata umeme sio mnakata tu bila maelezo yoyoteWanazingua sana hawa jamaa